mtarimbo
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,529
- 3,919
E bwana embu tuchangiane mawazo huyu kiumbe shetani ni kiumbe mwenye nguvu sana ,kiukweli anatisha ,ni hivi
Yako mengi ambayo ameyafanya yanatisha kiukweli tunahitaji msaada wa Mungu siyo rahisi kupona ,maana huku duniani ndiko alikotupwa ,maana maandiko matakatifu yanasimulia kulitokea vita kuu mbinguni ,aisee labda hatujui ila ni vita iliyisheheni maarifa ya hali ya juu ,zana zenye uwezo wa kutisha,silaha zenye kuangamiza mwili na roho.
Huyu kiumbe aliwasha moto yaani aliliamsha kwelikweli,Mikael mkuu wa majeshi ikabidi aombe msaada ,ndipo ushindi mwembamba ukapatikana.
Najiuliza sisi binadamu ambao hata ulimwengu wa roho hatuujui,wala hatuna silaha yoyote ya maana tutatoboa?
- Ameweza kumiliki jeshi la mbinguni
- Ameharibu mipango mingi ya Muumbaji,
- Licha ya kumjua Mungu bado anamtunishia kifua
- Ametawala sehemu kubwa ya ulimwengu wa Nuru na ulimwengu wa Giza ndio kaubeba kabisa
Yako mengi ambayo ameyafanya yanatisha kiukweli tunahitaji msaada wa Mungu siyo rahisi kupona ,maana huku duniani ndiko alikotupwa ,maana maandiko matakatifu yanasimulia kulitokea vita kuu mbinguni ,aisee labda hatujui ila ni vita iliyisheheni maarifa ya hali ya juu ,zana zenye uwezo wa kutisha,silaha zenye kuangamiza mwili na roho.
Huyu kiumbe aliwasha moto yaani aliliamsha kwelikweli,Mikael mkuu wa majeshi ikabidi aombe msaada ,ndipo ushindi mwembamba ukapatikana.
Najiuliza sisi binadamu ambao hata ulimwengu wa roho hatuujui,wala hatuna silaha yoyote ya maana tutatoboa?