Je, umewahi kujiangalia kwa muda mrefu kwenye kioo?

Saad30

JF-Expert Member
May 26, 2020
1,815
3,637
Habari nyingi kwenu.

Huwa nafanya jambo hili sana ila sijui nini maana yake...

Kuna wakati naamua kuitazama sura yangu kwenye kioo kama sekunde 30 hadi dakika moja baada ya hapo naona sura inabadilika na kuwa ni sura ya kutisha sana..

Wakuu sasa naomba mwenye uelewa wa hili jambo anijue na hii sio mimi tu naamini ni kwa viumbe vyote binadamu wanya hadi wadudu.

Kama huamini fanya sasa hivi jaribio hili la kujitazama usoni muda mrefu lazima sura yako itabadilika tu.

Naomba kuelimishwa juu ya hili.
 
Sura ya kiutu uzima.
Screenshot_20220119-072455.jpg
 
Mtoa mada katoa swali la kitaalamu kidogo japo mme-troll kwa alichokiuliza.

Ipo hivi Ukijiangalia kwenye kioo kwa muda wa dakika moja unakua unajiona wewe halisi ikizidi dakika moja Mind yako inaanza kukudanganya kwaba wewe ni mzuri/mbaya. Ndio maana kadri ya jinsi unavyojiangalia kwenye kioo muda mrefu ndio unaanza kujiona mzuri/mbaya. Kwanini??

Ubongo wako unachoka kuangalia kitu kimoja tu muda mrefu hivyo unaanza kukuletea sifa zingine mpya usoni mwako ambazo si halisi ili uridhike kwamba wewe ni mzuri/mbaya iliuache kujiangalia au inafanya hivyo ili kukutia hamasa kwamba nawe ni mzuri.
Kumbe ukweli wanajua wakuonao, so ukijiangalia kwenye kioo usijisifu Kwamba ni mzuri acha watu wakuambie.
This is scientific correct!

Unaweza kusoma zaidi hapa jinsi ubongo/Mind unavyotudanganya kuona vitu visivyo halisi (Illusion)

Habari nyingi kwenu.

Huwa nafanya jambo hili sana ila sijui nini maana yake...

Kuna wakati naamua kuitazama sura yangu kwenye kioo kama sekunde 30 hadi dakika moja baada ya hapo naona sura inabadilika na kuwa ni sura ya kutisha sana..

Wakuu sasa naomba mwenye uelewa wa hili jambo anijue na hii sio mimi tu naamini ni kwa viumbe vyote binadamu wanya hadi wadudu.

Kama huamini fanya sasa hivi jaribio hili la kujitazama usoni muda mrefu lazima sura yako itabadilika tu.

Naomba kuelimishwa juu ya hili.

Pepo hilo....😏

uliona nni?

inabadilika kuwa na umbile gani mkuu?
Au unakusudia uzee?

Umefanana na kiboko mkuu😁😁😁😁

Ipo siku kitakuja kukuandikia invalid face

Kioo hakidanganyi,

Unatishaaaaaaaaaaaaaa

Vitu vyepesi hivyo muwe mnaweka na picha.

Una kasura kama umemeza ndimu mkuu?😂😂joke. Mimi kuna sehemu naiangaliaga kwenye kioo aki huwa nashangaa Mungu alifikiria nini 😂
 
Mtoa mada katoa swali la kitaalamu kidogo japo mme-troll kwa alichokiuliza.

Ipo hivi Ukijiangalia kwenye kioo kwa muda wa dakika moja unakua unajiona wewe halisi ikizidi dakika moja Mind yako inaanza kukudanganya kwaba wewe ni mzuri/mbaya. Ndio maana kadri ya jinsi unavyojiangalia kwenye kioo muda mrefu ndio unaanza kujiona mzuri/mbaya. Kwanini??

Ubongo wako unachoka kuangalia kitu kimoja tu muda mrefu hivyo unaanza kukuletea sifa zingine mpya usoni mwako ambazo si halisi ili uridhike kwamba wewe ni mzuri/mbaya iliuache kujiangalia au inafanya hivyo ili kukutia hamasa kwamba nawe ni mzuri.
Kumbe ukweli wanajua wakuonao, so ukijiangalia kwenye kioo usijisifu Kwamba ni mzuri acha watu wakuambie.
This is scientific correct!

Unaweza kusoma zaidi hapa jinsi ubongo/Mind unavyotudanganya kuona vitu visivyo halisi (Illusion)

Hakuna kitu cha namna hii nitapinga mpk kesho.
 
Wataalamu wa elimu ya mambo yasiyoonekana usema ukitazama kioo unaacha sura yako pale pia kioo unasa sura za hata visivyoonekana mfano wachawi,majini nk thus awashauri watoto ambao awajaanza kuongea kuruhusu kuwaonyesha vipo wao huwa wanaona kilichomo kwenye kioo.
Mtoto akishaanza tu kuongea au kupata ufahamu ule uwezo wake wa kuona visivyoonekana unakufa.
Mbwa, bubu, kichaa, wanyama,ndege,watoto wachanga uona visivyoonekana lakini hawana uwezo wa kuongea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom