TheNinja
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 249
- 151
Nianze tu kwa kusema sijui ni kwanini na ni nini katika maisha yangu toka nikiwa mdogo.
Nimekuwa na tabia ya kuota nafanya kitu flan na itapita miaka kama mitano hivi au zaidi nakutana na kile kitu nilichoota siku za nyuma na ninakumbuka kama nishaota hili tukio.
Kwa mfano, nishawahi kuota nipo nyumbani kwangu nawapa kuku chakula kwenye kibanda chao,(wakati naota nilikuwa nimepanga) lakini miaka ya baadae nikafanikiwa kujenga na hilo tukio la kuwapa kuku chakula likatoke.
Sasa hali hii imekuwa kwenye matukio mengi mpk najiogopa .
Wadau mnaweza kunisaidia nini hii.
Asanteni
Nimekuwa na tabia ya kuota nafanya kitu flan na itapita miaka kama mitano hivi au zaidi nakutana na kile kitu nilichoota siku za nyuma na ninakumbuka kama nishaota hili tukio.
Kwa mfano, nishawahi kuota nipo nyumbani kwangu nawapa kuku chakula kwenye kibanda chao,(wakati naota nilikuwa nimepanga) lakini miaka ya baadae nikafanikiwa kujenga na hilo tukio la kuwapa kuku chakula likatoke.
Sasa hali hii imekuwa kwenye matukio mengi mpk najiogopa .
Wadau mnaweza kunisaidia nini hii.
Asanteni