Vitu visivyo na Mwanzo wala Mwisho

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
May 4, 2016
218
297
Salaam nyingi sana kwenu wadau wa Jukwaa hili linalotumia ubongo mwingi sana huku nguvu za Mwili zikiwa kisoda.

Katika mambo ambayo nimewahi kuyafikiria na sikuwahi kupata majibu au kukaribiana na majibu ni kuhusu vitu vinavyofikirisha akili sana. Kwa upeo wangu vitu hivi nadhani havina mwanzo wala mwisho.

1. Ulimwengu, hapa namaanisha sayari zote, magimba yote, ombwe, nyota, jua na vyote ambavyo vipo katika pande zote za ulimwengu. Kwa upande wa Dunia utazunguka lakini utarudi ulipoanzia. Kwa upande wa nje ya Dunia ukiondoka hakuna mwisho ni kwa upande wowote utakaoelekea kwasababu ukisema kuna mwisho kinachothibitisha mwisho ni kitu gani?

2. Suala la Mungu. Mungu tunaambiwa hakuanza wala hana mwisho. Hii maana yake hakuna kilichosababisha uwepo wa Mungu, yeye alijikuta tu yupo.

Tafakuri za mambo haya yote huenda ni ngumu Kutokana na upeo mdogo wenye ukomo yaani ni sawa na kuku amtafakari anayemfuga kwamba alitokea wapi na mwisho wake ni upi, kamwe hatapata majibu.

Kuna stori Moja kwenye maandiko ya kihistoria ndani ya Kanisa Katoliki kuhusu Mtakatifu Agustino, kwamba alipita ufukweni mwa bahari akiwa amejaa mawazo mengi kumtafakari Mungu hasa mwanzo wake na mwisho wake, akakutana na mtoto mmoja anachota maji kwa kifuniko kidogo mithili ya kisoda kutoka baharini na kujaza kwenye kishimo alichochimba pembeni ya bahari, Mtakatifu Agustino akamuuliza, we mtoto unafanya nini? Mtoto akajibu, nataka kuhamisha maji ya baharini yote yaingie kwenye kishimo hiki kidogo, Mtakatifu Agustino akamwambia yule mtoto, we mjinga sana bahari ilivyo kubwa hivyo itahamiaje kwenye kishimo kidogo hicho! Naye mtoto akajibu, na wewe ulivyo na akili ndogo utaweza kumtafakari Mungu alivyo mkubwa na ukapata majibu?

Pamoja na yote naomba tushirikishane pengine mtu amewahi kusoma tafiti mbalimbali kuhusu ukomo au mwisho wa mambo niliyoyazungumzia.
 
Dunia haina mwanzo wala mwisho, inaendelea milele,baada ya umbali wa uwezo wa jua ni barafu tupu na barafu inaendelea bila ya kikomo,ila ufahamu wetu kuhusu dunia ndio umetengezewa mazingira ya kuwa dunia ina mwisho na mabara Saba bahari nne n.k na ikafinyangwa na kuwekwa kwenye vitabu kama chungwa, ila hali halisi nje ya vitabu dunia haina mwisho na sio sayari.

Maana ya ulimwengu ni mfumo wa dunia na vitu vyote, jua,mwezi, sayari na nyota zote zimo ndani ya mfumo wa dunia,hakuna outer space na nje ya dunia hakuna kitu na hakuna Mwenye uwezo wa kutoka nje ya dunia,wala hakuna kitu kinaweza kuingia duniani kutoka popote,sisi binadamu na viumbe vyote tunaingia duniani kwa kuzaliwa na tonaondoka kwa kufa,mlango wa kuingia duniani ni kuzaliwa tu na si vinginevyo, na mlango wa kutokea ni kifo tu.
Hayo maigizo ya science ya kuwa dunia ni duara inaruka na kuelea na kuzunguka ni maigizo ya kuzuga akili za watu tu, wasijitambue na wasiwe na uwezo kujua hali halisi ya kila kitu,
hakuna sayari hata moja inayofanana na dunia, yaani kuwa na ardhi na udongo n.k, na dunia sio sayari dunia ndio ulimwengu mzima.
Mwezi hauna ardhi ya mtu au kitu kwenda kutua kwa maana hiyo hakuna mtu aliewahi kwenda mwezini na kutua,uzushi tuloaminishwa watu walikwenda mwezini ni maigizo matupu.
Kiuhalisia inawezekana watu wengi washakwenda mwezini kwa kuuzunguka na kuutafiti, lakini tafiti hizo hazisemwi wala haziwekwi kwenye vitabu,sababu mwezi haupo mbali na ardhi kama wanvyodai kuwa upo 238,000 miles kutoka ardhini, mwezi upo karibu na ardhi yaani chini ya 3000 miles wala sio mkubwa kama inavyosemwa na jua pia lipo umbali huo huo na Lina ukubwa sawa na mwezi,mwezi unaweza ukafikwa kwa vyombo vyenye uwezo wa kupaa vya kawaida tu sio rocket.
Jua, mwezi sayari na nyota zote zipo karibu na ardhi na vyote vina uhusiano na dunia hii au ulimwengu huu wa dunia na vitu vyote vilivyo duniani mpaka sisi binadamu.lakini elimu zetu zipo kutupumbaza tu na kutufumba macho na maskio na kutuaminisha vitu visivyo halisi, takriban sote tunaishi duniani mpaka tunakufa hatujui dunia ni kitu gani au iko wapi au sisi binadamu ni nani hasa,akili zetu zote zimetawaliwa na uongo uliotaarishwa kabla sote hatujazaliwa dunia nzima.

Wengi wetu hapa hatutaelewa nnachosema na wengine watabeza,kwa sababu akili zetu zimewahiwa kabla ya sisi kuwa na uwezo wa kuona kitu chochote na kupandikizwa uongo mtupu wa kila kitu. Na wengi hapa hamtaweza kufahamu kwa sababu hapana maelezo ya kutosha ya kukamilisha nlichosema ila tujaribu kufunga vitabu na video za outer space kisha tufungue macho yetu na tuutazame uhalisia ulivyo,toka nje litazame jua kisha ujiulize hivi kweli hili jua lipo umbali wa 53 million miles, au toka usiku uzitazame nyota kisha ujiulize hivi kweli macho yangu yana uwezo wa kuona umbali wa 4.5 trillion miles na macho ya bibi yangu kizee pia yanaona mbali hivi,” science inasema nyota iliyo karibu sana ni 4.5 trillion miles”

Kwa ufupi vitu vyote ni uzushi mtupu,ila hatuna nguvu za akili kuweza kufikiria kwa makini na hatuna muda wa kutosha wa maisha,sote tumewekwa vilema wa akili kwa makusudi,hata uwe na elimu gani,hata uwe msomi kiasi gani huna ufahamu wowote. Tunabakia kuwa na majivuno na kujisifu na kiburi cha elimu za kutunga,kiuhalisia hatujui chochote
 
Dunia haina mwanzo wala mwisho, inaendelea milele,baada ya umbali wa uwezo wa jua ni barafu tupu na barafu inaendelea bila ya kikomo,ila ufahamu wetu kuhusu dunia ndio umetengezewa mazingira ya kuwa dunia ina mwisho na mabara Saba bahari nne n.k na ikafinyangwa na kuwekwa kwenye vitabu kama chungwa, ila hali halisi nje ya vitabu dunia haina mwisho na sio sayari.

Maana ya ulimwengu ni mfumo wa dunia na vitu vyote, jua,mwezi, sayari na nyota zote zimo ndani ya mfumo wa dunia,hakuna outer space na nje ya dunia hakuna kitu na hakuna Mwenye uwezo wa kutoka nje ya dunia,wala hakuna kitu kinaweza kuingia duniani kutoka popote,sisi binadamu na viumbe vyote tunaingia duniani kwa kuzaliwa na tonaondoka kwa kufa,mlango wa kuingia duniani ni kuzaliwa tu na si vinginevyo, na mlango wa kutokea ni kifo tu.
Hayo maigizo ya science ya kuwa dunia ni duara inaruka na kuelea na kuzunguka ni maigizo ya kuzuga akili za watu tu, wasijitambue na wasiwe na uwezo kujua hali halisi ya kila kitu,
hakuna sayari hata moja inayofanana na dunia, yaani kuwa na ardhi na udongo n.k, na dunia sio sayari dunia ndio ulimwengu mzima.
Mwezi hauna ardhi ya mtu au kitu kwenda kutua kwa maana hiyo hakuna mtu aliewahi kwenda mwezini na kutua,uzushi tuloaminishwa watu walikwenda mwezini ni maigizo matupu.
Kiuhalisia inawezekana watu wengi washakwenda mwezini kwa kuuzunguka na kuutafiti, lakini tafiti hizo hazisemwi wala haziwekwi kwenye vitabu,sababu mwezi haupo mbali na ardhi kama wanvyodai kuwa upo 238,000 miles kutoka ardhini, mwezi upo karibu na ardhi yaani chini ya 3000 miles wala sio mkubwa kama inavyosemwa na jua pia lipo umbali huo huo na Lina ukubwa sawa na mwezi,mwezi unaweza ukafikwa kwa vyombo vyenye uwezo wa kupaa vya kawaida tu sio rocket.
Jua, mwezi sayari na nyota zote zipo karibu na ardhi na vyote vina uhusiano na dunia hii au ulimwengu huu wa dunia na vitu vyote vilivyo duniani mpaka sisi binadamu.lakini elimu zetu zipo kutupumbaza tu na kutufumba macho na maskio na kutuaminisha vitu visivyo halisi, takriban sote tunaishi duniani mpaka tunakufa hatujui dunia ni kitu gani au iko wapi au sisi binadamu ni nani hasa,akili zetu zote zimetawaliwa na uongo uliotaarishwa kabla sote hatujazaliwa dunia nzima.

Wengi wetu hapa hatutaelewa nnachosema na wengine watabeza,kwa sababu akili zetu zimewahiwa kabla ya sisi kuwa na uwezo wa kuona kitu chochote na kupandikizwa uongo mtupu wa kila kitu. Na wengi hapa hamtaweza kufahamu kwa sababu hapana maelezo ya kutosha ya kukamilisha nlichosema ila tujaribu kufunga vitabu na video za outer space kisha tufungue macho yetu na tuutazame uhalisia ulivyo,toka nje litazame jua kisha ujiulize hivi kweli hili jua lipo umbali wa 53 million miles, au toka usiku uzitazame nyota kisha ujiulize hivi kweli macho yangu yana uwezo wa kuona umbali wa 4.5 trillion miles na macho ya bibi yangu kizee pia yanaona mbali hivi,” science inasema nyota iliyo karibu sana ni 4.5 trillion miles”

Kwa ufupi vitu vyote ni uzushi mtupu,ila hatuna nguvu za akili kuweza kufikiria kwa makini na hatuna muda wa kutosha wa maisha,sote tumewekwa vilema wa akili kwa makusudi,hata uwe na elimu gani,hata uwe msomi kiasi gani huna ufahamu wowote. Tunabakia kuwa na majivuno na kujisifu na kiburi cha elimu za kutunga,kiuhalisia hatujui chochote
Na ndo mana watu wa wazamani ambao mifumo ya Elimu ya kisasa yenye kufunga fahamu na kumsahaulisha binadamu uhalisia wake na kusudi lake, bado walikuwa nafikra ya kutambua na kuyaelewa mazingira katika uhalisia wake na kuamini kuna nguvu/mwanzilishi wa huu ulimwengu na vyote vilivyomo ndani yake.
Ila kizazi cha sasa kinapotezwa watu wasiamini kabisa katika Uumbaji na kumuamini Muumba wa ulimwengu na vyote vilimo ndani yake. Ni nguvu kubwa inayotumika kuhakikisha hilo linatimia na kufanikiwa na ili haya uweze kuyatambua na kuyaelewa basi ya kupasa kuwa nje na huru kifikra na kimawazo ya ufahamu wako wa darasani.
 
Dunia haina mwanzo wala mwisho, inaendelea milele,baada ya umbali wa uwezo wa jua ni barafu tupu na barafu inaendelea bila ya kikomo,ila ufahamu wetu kuhusu dunia ndio umetengezewa mazingira ya kuwa dunia ina mwisho na mabara Saba bahari nne n.k na ikafinyangwa na kuwekwa kwenye vitabu kama chungwa, ila hali halisi nje ya vitabu dunia haina mwisho na sio sayari.

Maana ya ulimwengu ni mfumo wa dunia na vitu vyote, jua,mwezi, sayari na nyota zote zimo ndani ya mfumo wa dunia,hakuna outer space na nje ya dunia hakuna kitu na hakuna Mwenye uwezo wa kutoka nje ya dunia,wala hakuna kitu kinaweza kuingia duniani kutoka popote,sisi binadamu na viumbe vyote tunaingia duniani kwa kuzaliwa na tonaondoka kwa kufa,mlango wa kuingia duniani ni kuzaliwa tu na si vinginevyo, na mlango wa kutokea ni kifo tu.
Hayo maigizo ya science ya kuwa dunia ni duara inaruka na kuelea na kuzunguka ni maigizo ya kuzuga akili za watu tu, wasijitambue na wasiwe na uwezo kujua hali halisi ya kila kitu,
hakuna sayari hata moja inayofanana na dunia, yaani kuwa na ardhi na udongo n.k, na dunia sio sayari dunia ndio ulimwengu mzima.
Mwezi hauna ardhi ya mtu au kitu kwenda kutua kwa maana hiyo hakuna mtu aliewahi kwenda mwezini na kutua,uzushi tuloaminishwa watu walikwenda mwezini ni maigizo matupu.
Kiuhalisia inawezekana watu wengi washakwenda mwezini kwa kuuzunguka na kuutafiti, lakini tafiti hizo hazisemwi wala haziwekwi kwenye vitabu,sababu mwezi haupo mbali na ardhi kama wanvyodai kuwa upo 238,000 miles kutoka ardhini, mwezi upo karibu na ardhi yaani chini ya 3000 miles wala sio mkubwa kama inavyosemwa na jua pia lipo umbali huo huo na Lina ukubwa sawa na mwezi,mwezi unaweza ukafikwa kwa vyombo vyenye uwezo wa kupaa vya kawaida tu sio rocket.
Jua, mwezi sayari na nyota zote zipo karibu na ardhi na vyote vina uhusiano na dunia hii au ulimwengu huu wa dunia na vitu vyote vilivyo duniani mpaka sisi binadamu.lakini elimu zetu zipo kutupumbaza tu na kutufumba macho na maskio na kutuaminisha vitu visivyo halisi, takriban sote tunaishi duniani mpaka tunakufa hatujui dunia ni kitu gani au iko wapi au sisi binadamu ni nani hasa,akili zetu zote zimetawaliwa na uongo uliotaarishwa kabla sote hatujazaliwa dunia nzima.

Wengi wetu hapa hatutaelewa nnachosema na wengine watabeza,kwa sababu akili zetu zimewahiwa kabla ya sisi kuwa na uwezo wa kuona kitu chochote na kupandikizwa uongo mtupu wa kila kitu. Na wengi hapa hamtaweza kufahamu kwa sababu hapana maelezo ya kutosha ya kukamilisha nlichosema ila tujaribu kufunga vitabu na video za outer space kisha tufungue macho yetu na tuutazame uhalisia ulivyo,toka nje litazame jua kisha ujiulize hivi kweli hili jua lipo umbali wa 53 million miles, au toka usiku uzitazame nyota kisha ujiulize hivi kweli macho yangu yana uwezo wa kuona umbali wa 4.5 trillion miles na macho ya bibi yangu kizee pia yanaona mbali hivi,” science inasema nyota iliyo karibu sana ni 4.5 trillion miles”

Kwa ufupi vitu vyote ni uzushi mtupu,ila hatuna nguvu za akili kuweza kufikiria kwa makini na hatuna muda wa kutosha wa maisha,sote tumewekwa vilema wa akili kwa makusudi,hata uwe na elimu gani,hata uwe msomi kiasi gani huna ufahamu wowote. Tunabakia kuwa na majivuno na kujisifu na kiburi cha elimu za kutunga,kiuhalisia hatujui chochote
hahahahaha
Sikupingi Aisee maana Kwa hiyo I'd Yako inaonesha wewe ni mkazi wa Mchambawima na kama tujuavyo nyie ndugu zetu na Elimu ni mbingu na ardhi Aisee hebu rudia kusoma ulichokiandika
Halafu jipige kifuani mara tatu
Halafu tamka maneno haya

Mimi ni mjinga!
😁😁😁😁☝️
 
Salaam nyingi sana kwenu wadau wa Jukwaa hili linalotumia ubongo mwingi sana huku nguvu za Mwili zikiwa kisoda.

Katika mambo ambayo nimewahi kuyafikiria na sikuwahi kupata majibu au kukaribiana na majibu ni kuhusu vitu vinavyofikirisha akili sana. Kwa upeo wangu vitu hivi nadhani havina mwanzo wala mwisho.

1. Ulimwengu, hapa namaanisha sayari zote, magimba yote, ombwe, nyota, jua na vyote ambavyo vipo katika pande zote za ulimwengu. Kwa upande wa Dunia utazunguka lakini utarudi ulipoanzia. Kwa upande wa nje ya Dunia ukiondoka hakuna mwisho ni kwa upande wowote utakaoelekea kwasababu ukisema kuna mwisho kinachothibitisha mwisho ni kitu gani?

2. Suala la Mungu. Mungu tunaambiwa hakuanza wala hana mwisho. Hii maana yake hakuna kilichosababisha uwepo wa Mungu, yeye alijikuta tu yupo.

Tafakuri za mambo haya yote huenda ni ngumu Kutokana na upeo mdogo wenye ukomo yaani ni sawa na kuku amtafakari anayemfuga kwamba alitokea wapi na mwisho wake ni upi, kamwe hatapata majibu.

Kuna stori Moja kwenye maandiko ya kihistoria ndani ya Kanisa Katoliki kuhusu Mtakatifu Agustino, kwamba alipita ufukweni mwa bahari akiwa amejaa mawazo mengi kumtafakari Mungu hasa mwanzo wake na mwisho wake, akakutana na mtoto mmoja anachota maji kwa kifuniko kidogo mithili ya kisoda kutoka baharini na kujaza kwenye kishimo alichochimba pembeni ya bahari, Mtakatifu Agustino akamuuliza, we mtoto unafanya nini? Mtoto akajibu, nataka kuhamisha maji ya baharini yote yaingie kwenye kishimo hiki kidogo, Mtakatifu Agustino akamwambia yule mtoto, we mjinga sana bahari ilivyo kubwa hivyo itahamiaje kwenye kishimo kidogo hicho! Naye mtoto akajibu, na wewe ulivyo na akili ndogo utaweza kumtafakari Mungu alivyo mkubwa na ukapata majibu?

Pamoja na yote naomba tushirikishane pengine mtu amewahi kusoma tafiti mbalimbali kuhusu ukomo au mwisho wa mambo niliyoyazungumzia.
Ulimwengu hauna mwisho kwa sababu unatanuka kwa speed ya mwanga (expand at the speed of light) tangu uanze kwenye bigbang.... so huwezi pima mwisho wake kwa sababu kitendo cha kutanuka ni endelevu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi mada za kitoto. Hivi lini kidato cha nne wamefanya mtihani!?

Unapoongelea Mungu unaongelea Mungu yupi!?
1. Wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo
2. Mungu wa wahidu
3. Mungu wa waafrika
4. Mungu wangu
Au yupi!?
 
Salaam nyingi sana kwenu wadau wa Jukwaa hili linalotumia ubongo mwingi sana huku nguvu za Mwili zikiwa kisoda.

Katika mambo ambayo nimewahi kuyafikiria na sikuwahi kupata majibu au kukaribiana na majibu ni kuhusu vitu vinavyofikirisha akili sana. Kwa upeo wangu vitu hivi nadhani havina mwanzo wala mwisho.

1. Ulimwengu, hapa namaanisha sayari zote, magimba yote, ombwe, nyota, jua na vyote ambavyo vipo katika pande zote za ulimwengu. Kwa upande wa Dunia utazunguka lakini utarudi ulipoanzia. Kwa upande wa nje ya Dunia ukiondoka hakuna mwisho ni kwa upande wowote utakaoelekea kwasababu ukisema kuna mwisho kinachothibitisha mwisho ni kitu gani?

2. Suala la Mungu. Mungu tunaambiwa hakuanza wala hana mwisho. Hii maana yake hakuna kilichosababisha uwepo wa Mungu, yeye alijikuta tu yupo.

Tafakuri za mambo haya yote huenda ni ngumu Kutokana na upeo mdogo wenye ukomo yaani ni sawa na kuku amtafakari anayemfuga kwamba alitokea wapi na mwisho wake ni upi, kamwe hatapata majibu.

Kuna stori Moja kwenye maandiko ya kihistoria ndani ya Kanisa Katoliki kuhusu Mtakatifu Agustino, kwamba alipita ufukweni mwa bahari akiwa amejaa mawazo mengi kumtafakari Mungu hasa mwanzo wake na mwisho wake, akakutana na mtoto mmoja anachota maji kwa kifuniko kidogo mithili ya kisoda kutoka baharini na kujaza kwenye kishimo alichochimba pembeni ya bahari, Mtakatifu Agustino akamuuliza, we mtoto unafanya nini? Mtoto akajibu, nataka kuhamisha maji ya baharini yote yaingie kwenye kishimo hiki kidogo, Mtakatifu Agustino akamwambia yule mtoto, we mjinga sana bahari ilivyo kubwa hivyo itahamiaje kwenye kishimo kidogo hicho! Naye mtoto akajibu, na wewe ulivyo na akili ndogo utaweza kumtafakari Mungu alivyo mkubwa na ukapata majibu?

Pamoja na yote naomba tushirikishane pengine mtu amewahi kusoma tafiti mbalimbali kuhusu ukomo au mwisho wa mambo niliyoyazungumzia.

Swali Nnje Ya Mada Ivi Kuna Mtakatifu Yoyote Kutoka Africa
 
Dunia haina mwanzo wala mwisho, inaendelea milele,baada ya umbali wa uwezo wa jua ni barafu tupu na barafu inaendelea bila ya kikomo,ila ufahamu wetu kuhusu dunia ndio umetengezewa mazingira ya kuwa dunia ina mwisho na mabara Saba bahari nne n.k na ikafinyangwa na kuwekwa kwenye vitabu kama chungwa, ila hali halisi nje ya vitabu dunia haina mwisho na sio sayari.

Maana ya ulimwengu ni mfumo wa dunia na vitu vyote, jua,mwezi, sayari na nyota zote zimo ndani ya mfumo wa dunia,hakuna outer space na nje ya dunia hakuna kitu na hakuna Mwenye uwezo wa kutoka nje ya dunia,wala hakuna kitu kinaweza kuingia duniani kutoka popote,sisi binadamu na viumbe vyote tunaingia duniani kwa kuzaliwa na tonaondoka kwa kufa,mlango wa kuingia duniani ni kuzaliwa tu na si vinginevyo, na mlango wa kutokea ni kifo tu.
Hayo maigizo ya science ya kuwa dunia ni duara inaruka na kuelea na kuzunguka ni maigizo ya kuzuga akili za watu tu, wasijitambue na wasiwe na uwezo kujua hali halisi ya kila kitu,
hakuna sayari hata moja inayofanana na dunia, yaani kuwa na ardhi na udongo n.k, na dunia sio sayari dunia ndio ulimwengu mzima.
Mwezi hauna ardhi ya mtu au kitu kwenda kutua kwa maana hiyo hakuna mtu aliewahi kwenda mwezini na kutua,uzushi tuloaminishwa watu walikwenda mwezini ni maigizo matupu.
Kiuhalisia inawezekana watu wengi washakwenda mwezini kwa kuuzunguka na kuutafiti, lakini tafiti hizo hazisemwi wala haziwekwi kwenye vitabu,sababu mwezi haupo mbali na ardhi kama wanvyodai kuwa upo 238,000 miles kutoka ardhini, mwezi upo karibu na ardhi yaani chini ya 3000 miles wala sio mkubwa kama inavyosemwa na jua pia lipo umbali huo huo na Lina ukubwa sawa na mwezi,mwezi unaweza ukafikwa kwa vyombo vyenye uwezo wa kupaa vya kawaida tu sio rocket.
Jua, mwezi sayari na nyota zote zipo karibu na ardhi na vyote vina uhusiano na dunia hii au ulimwengu huu wa dunia na vitu vyote vilivyo duniani mpaka sisi binadamu.lakini elimu zetu zipo kutupumbaza tu na kutufumba macho na maskio na kutuaminisha vitu visivyo halisi, takriban sote tunaishi duniani mpaka tunakufa hatujui dunia ni kitu gani au iko wapi au sisi binadamu ni nani hasa,akili zetu zote zimetawaliwa na uongo uliotaarishwa kabla sote hatujazaliwa dunia nzima.

Wengi wetu hapa hatutaelewa nnachosema na wengine watabeza,kwa sababu akili zetu zimewahiwa kabla ya sisi kuwa na uwezo wa kuona kitu chochote na kupandikizwa uongo mtupu wa kila kitu. Na wengi hapa hamtaweza kufahamu kwa sababu hapana maelezo ya kutosha ya kukamilisha nlichosema ila tujaribu kufunga vitabu na video za outer space kisha tufungue macho yetu na tuutazame uhalisia ulivyo,toka nje litazame jua kisha ujiulize hivi kweli hili jua lipo umbali wa 53 million miles, au toka usiku uzitazame nyota kisha ujiulize hivi kweli macho yangu yana uwezo wa kuona umbali wa 4.5 trillion miles na macho ya bibi yangu kizee pia yanaona mbali hivi,” science inasema nyota iliyo karibu sana ni 4.5 trillion miles”

Kwa ufupi vitu vyote ni uzushi mtupu,ila hatuna nguvu za akili kuweza kufikiria kwa makini na hatuna muda wa kutosha wa maisha,sote tumewekwa vilema wa akili kwa
ahhhh pale unapotaka kuwa mwalimu wakati somo lenyewe kwako shida
 
Back
Top Bottom