Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Habari,
Katika hali ya kawaida leo nimeona tuandike hili kidogo kwamba kwa maandiko Shetani aliasi Mbinguni Mwenyezi Mungu akamleta Duniani kama adhabu, Leo hii tunaaswa tuishi katika kumpendeza Mungu ikiwa yeye mwenyewe alishindwa kukaa na Shetani??😷 Kama alikikuka Matakwa ya Mwenyezi Mungu kwa nini hakumungamizwa???
Jitu limemshindwa mwenyewe katika hali ya kawaida mwanadamu utaweza vipi?????
Tumeumbwa kwa mfano wa Mwenyezi Mungu vipi Shetani aletwe kwetu ikiwa ni kitu cha dakika moja tu asingekuwepo kutukumbusha???
🙏🙏🙏🙏
Katika hali ya kawaida leo nimeona tuandike hili kidogo kwamba kwa maandiko Shetani aliasi Mbinguni Mwenyezi Mungu akamleta Duniani kama adhabu, Leo hii tunaaswa tuishi katika kumpendeza Mungu ikiwa yeye mwenyewe alishindwa kukaa na Shetani??😷 Kama alikikuka Matakwa ya Mwenyezi Mungu kwa nini hakumungamizwa???
Jitu limemshindwa mwenyewe katika hali ya kawaida mwanadamu utaweza vipi?????
Tumeumbwa kwa mfano wa Mwenyezi Mungu vipi Shetani aletwe kwetu ikiwa ni kitu cha dakika moja tu asingekuwepo kutukumbusha???
🙏🙏🙏🙏