Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Ni swali tata kwangu,kwani Adam na Hawa walipoanzisha familia walimzaa kaini na Habili,Kaini kutokana na wivu wa sadaka zake kukataliwa na Mungu akamuua Habili kwa wivu kwa kua sadaka yake...
14 Reactions
201 Replies
37K Views
Biblia ina Vitabu 73 lakini isiwe Mpaka wakusoma hivyo 73 tu, Canon ya Vitabu 73 iliapitishwa mwaka 382 na Baraza la Maaskofu wa Roma kuna Vitabu Vilipitishwa vikiwa Havina Sifa E.g (Waebrania)...
81 Reactions
268 Replies
96K Views
Habari za Usiku wana Jamii Forums !!Hope wote ni wazima wa Afya. Ushawahi kuskia chuo kinachoitwa MIT (Massachusetts institute of Technology)? Bas nikujuze kwamba MIT Ni miongoni kati ya Vyuo...
14 Reactions
34 Replies
6K Views
Wakuu habarini za kupumzika ? Naomba niingie kwenye hoja yangu: Nina maswali mengi Sana kuhusu uumbaji,ila Leo nimeamua niwaulize swali moja tu linalohusu posion of the heart kwenye miili...
5 Reactions
169 Replies
8K Views
Wadau naomba kuuliza kwa anayejua, uhai ulianzaje?
2 Reactions
53 Replies
3K Views
Habari za muda huu, wana Jamii forums. Bila shaka mko vyema. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa katika matumizi ya vitu hivi viwili, yaani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi ndo itakavyokuwa baada na miaka ya mbeleni huko kuhusiana na Milky way galaxy yetu na Andromeda galaxy kuhusiana na mgongano unaotajwa kuja kutokea .. Galaxy hizi mbili hazitakuwa na mfumo...
14 Reactions
74 Replies
11K Views
Habari za weekend wana JF, kuna swali nimekua nikijiuliza muda mrefu sana na kuna mada iliwekwa humu JF ambapo wachangiaji wengi kina Wick na Malcom Lumumba waliijadili hii issue ila kwa kugusia...
23 Reactions
254 Replies
33K Views
Tarehe 22 july, 1955 Pan american ilianza safari yake kutoka New york kuelekea Miami ikiwa na wafanyakzi 4 na abilia 57. lakini chaajabu katikati ya safari ndege hiyo ikapoteza mawasiliano na...
28 Reactions
423 Replies
97K Views
Mfumo wetu wa jua na sayari zake vimo ndani ya galaxy inayoitwa milky way(kilimia). Galaxy ya kilimia ina umbo kama sahani iliyogawanyika kwenye mikia (arms)mbalimbali. Sahani hiyo ina upana wa...
18 Reactions
51 Replies
6K Views
Habari za jioni wana JF leo nina mada sensitive kidogo ila ni muhimu sisi waafrika tujifunze mambo haya ili tuweze kufahamu historia yetu na wapi tunaelekea ila nahitaji utulivu unaposoma ili...
71 Reactions
320 Replies
40K Views
Wasomi wengi wanapoangalia suala la akili kuna vitu wanasahau. kuwa kuna multiple intelligence. or variety of intelligence. unaweza ukawa na akili ya darasani au akili ya uwanjani ikiwa umchezaji...
109 Reactions
379 Replies
86K Views
[13:50, 4/17/2015] alphilly: MAAJABU YA NYOTA AINA YA COMMET/COMET. Katika Ulimwengu tunaoishi kuna maajabu Mengi sana ya aina yake. Kamamtakuwa na kumbukumbu mzuri basi mtakuwa na kumbukumbu...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Kote duniani, jamii mbalimbali wamekuwa na hadithi juu ya binadam wenye maumbo makubwa kupata kuishi kwenye jamii zao kwenye zama zilizo tangulia. Kwamba binadam hao walikuwa na maumbo makubwa na...
9 Reactions
27 Replies
7K Views
Siku ya jumamosi tarehe4 jeshi la Marekani lilifanikiwa kuitungua baloon ya upelelezi, surveillance baloon/ spy baloon, kama ilivyoelekezwa na Rais Biden. Baloon hiyo inayosemekana ni ya jamuhuri...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
NDUMBA ZA KUWAWEZESHA KUONA MAMBO YATAKAYO TOKEA MBELENI. Wachawi wa nchi wanazo ndumba zenye uwezo wa kuwasaidia kujua mambo yatakayo tokea mbeleni, hivyo basi kama kuna hatari yoyote ile...
3 Reactions
14 Replies
8K Views
Juzi nilikutana na rafiki yangu ambaye tunashirikiana kwa mengi tu. Amekuwa ni mfanyabiashara kwa muda mrefu sana wa maisha yake. Hapa katikati, halihalisi imekuwa sio nzuri kibiashara, na...
13 Reactions
41 Replies
3K Views
Sio 1942 tena, na hauhitaji nguo za magome na ndevu nyingi ndo uelewe kuwa ni vitu vinne vinayapa maana maisha yako. #Cha kwanza KISAIDIA WATU Maisha yasiyo na maana kuliko yote inabidi yawe yale...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Sumerian Civilisation, ndiyo Ustaarabu wa kwanza kuwahi kutokea duniani kati ya mwaka 4500 - 2000 BC katika Eneo la Mesopotamia (Iraq). Vitabu vya Historia havina uhakika wa mahali "Sumers"...
2 Reactions
206 Replies
35K Views
NIBIRU - PLANET X Will a planet called Nibiru bring about the end of the world on December 21, 2012? Let's start by looking at where this idea of the world being destroyed by a planet came...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom