Jana nilibahatika kufanya maongezi na mzee moja wa zamani sana age inakimbilia kama miaka 90 now.
nilimuuliza maswali mengi sana yanayohusu imani ila tukaenda mpaka miaka ya nyuma kidogo kutokana...
KIOO
kioo ni moja kati ya vifaa vinavyotumika kuonyesha kitu kama copy yake jinsi ilivyo kwa akili ya kila mtu natural bila kufundishwa hujua hivyo,
Lakini kwa kitaalamu kioo kinatambulika kama...
CHAPTER ONE
(Line between life and death)
The universe is composed of different types of the living species from the ones that can be seen with the aid of powerful...
Matokeo ya mwanadamu kubadilika tabia yanachagizwa sana na kitu gani?
Je ni anasikiliza na kuruhusu sana hisia zimtawale kutokana na matukio yanayompelekea abadili mtindo wake wa maisha (Tabia)...
Habari wakuu.
Nimeekaa na kuwaza na kuwazua hizi dini zimeletwa tumuogope MUNGU au tumpende MUNGU?
Miaka ya tangu na tangu kulikuwa hakuna dini ila tuliamini kwamba kuna mbaye anaongoza hii...
Salute Comrades
Tunaishi katika dunia ambayo vitu ambavyo ni vyakweli vinaonekana ni Uongo (Conspiracy) na Vitu vya uongo vinaonekana ni Kweli. Lakini pia kuweka mahaba ya dini mbele kupita kiasi...
Intelligent people are typically crafty, focused, and intensely informed individuals who have used their highly learned abilities to solve problems in the past. Intelligent people have a history...
Kumekuwa na maswali mengi kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu kuona aina za karatasi za foili kwenye vyombo mbalimbali vya anga za mbali.
Nadhani tunafahamu kuwa jua huzalisha joto kali sana na...
Fahamu kwanini self healing ni ngumu kuliko self distraction.
Self healing ni tendo gumu sana ila linawezekana. Sababu kubwa ni:
(i) Self healing inatoka ndani ya mwili kuathiri dunia, kuathiri...
Kiukweli ule ulinzi ni balaa ...kulikuwa na FFU na wale TISS wenye sare kama za jeshi na wengine wasio na uniforms wakiwa na silaha kali. Askari wenyewe wanaonekana si wa mchezo mchezo tuliowazoea...
Kwa mtu yeyote mwenye kukifahamu vizuri hiki chombo kinachojishugulisha na biashara ya pesa wao wasema kupanda na kuvuna atuhabarishe.
Kila kona ya Dar na baadhi ya Mikoa hapa nyumbani TZ DECI...
Heri ya mwaka mpya Mungu azidi kuwabariki na kuwapa mibaraka yake ktk mwaka 2017
Nafahamu nimegusa imani zenu Waislam na Roman Catholic mtanisamehe sina lengo la kuwakwaza nikushirikishana ili...
Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.
Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)...
Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi...
INTELEJENSIA ILIVYOWEZA WAOKOA WAISRAEL KATIKA VITA YA SIKU SITA (SIX DAYS WAR)
Hii ni Vita ambayo mpaka leo imekuwa mwiba mchungu kwa mataifa mengi ya kiarabu. Na kiuhalisia ni vita ambayo...
13 STRANGE SUPERSTITIONS
Bizarre beliefs from around the world
Do you avoid ladders, pavement cracks and black cats? Or are you far too rational to believe in old wives' tales? Whatever your...
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mshana Jr amekuwa msaada mkubwa kwangu kwenye kujifunza mambo mengi. Nami sasa naona nianze sasa kuwafundisha wengine ..
ULIMWENGU WA 3D NA 4D
Unajua kila mtu...
Waadventista Wasabato ni Wakristo Waadventisti wa madhehebu yanayosisitiza ujio wa pili wa Yesu yakisema uko jirani kutokea na kwamba utawahi wafuasi wake wakishika Sabato, si Jumapili.
Kati ya...
Neno AKILI ni neno ambalo limezoeleka na linatumika sana karibia kila mtu analitumia neno hili lakini unaweza ukamuuliza mtu na akashindwa kukujibu au akajibu anavyojua yeye juu ya neno hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.