Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
1. Daudi pamoja na kudharaulika umbile lake lakini alimuua Goliath 2. Petro pamoja na kuaminiwa kote lakini aliweza kumkana yesu Mara tatu 3. Yusuph pamoja na kukataliwa na nduguze lakini...
5 Reactions
158 Replies
12K Views
Salute.. Anaitwa James Hobson a.k.a Hacksmith ni Injinia,mbunifu na mtengenezaji wa video za YouTube. Hua anachukua idea za uongo kutoka kwenye Video games, movies na Comics mbalinbali. Huyu...
33 Reactions
133 Replies
21K Views
Zaidi ya viongozi na watafiti 1,000 wa teknolojia, akiwemo Elon Musk, wamezitaka maabara za ujasusi za bandia kusitisha maendeleo ya mifumo ya hali ya juu zaidi, na kuonya kwamba zana za AI...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Nchi nyingi, hasa zile zinazozalisha dhahabu huwa zinachapisha sarafu za dhahabu na kuuza. Sarafu hizi zina mambo mengi. Kwanza watu hununua kama kito kutokana na uzuri wake. Pili watu hununua...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna jamaa kwake kafunga vipaza sauti hua anaweka mawaidha na dua kiislamu, ni jambo jema sana hili. Ila sasa katika mawaidha aliyoyaweka jana usiku saa 4 kaweka mawaidha yanayohusu Kifo, kwakweli...
85 Reactions
388 Replies
90K Views
Kumekuwa na juhuudi kubwa sana zinazofanywa na nchi za magharibi juu ya kueneza ushoga duniani. Wanatumia gharama ya fedha kubwa sana ili wafanikiwe kueneza ushoga duniani. Swali 1. Je,wao...
21 Reactions
120 Replies
16K Views
Chakula Cha Ubongo Ni hakika muda huenda kama upanga unavyokata Napenda nikushirikishe machache niliyojifunza sote tupate kuchukua hatua ♤♡Kila Hatua Na Watu Wake Usilazimishe mtu katika safari...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
The Power of Positive Self-Talk Mental strength is the ability to overcome challenges, cope with stress, and persevere in the face of adversity. It is an important characteristic that helps...
11 Reactions
10 Replies
3K Views
Asalam allaykum, Bwana yesu asifiwe, Habarini nyote mnaoendelea kupigania katika ndoto zenu. Ungana nami katika maada fupi isemayo ni "kitu gani kina kudrive katika maisha yako" "Driving force"...
3 Reactions
8 Replies
724 Views
JINAMIZI: Hiki ni kile kinacho aminika kuwa kiumbe chenye kukaba watu pale wanapolala chali au kuwasababishia watu kushindwa kukwepa wala kutingishika, lakini si kiumbe kama inavyoaminika na...
10 Reactions
113 Replies
29K Views
QUANTUM IMMOTALITY Wasaalam kuna mtaalamu alipata kusema "UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA" kama hujanielewa kwenye...
30 Reactions
168 Replies
27K Views
Nimekuwa nikiwaza usiku na mchana kuhusu "Deep State" nikijiuliza hivi ni nini hasa? Kwangu mimi Deep State ni kikundi cha wahuni ambacho kinaincontrol Serikali kuu, Deep state linaundwa na...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha...
13 Reactions
56 Replies
5K Views
Habari wanabodi.! Nimetengeneza thread hii mahususi kwa wale wote wanaopenda kufuatilia thread zangu humu Jamii Intelligence na kujifunza mambo ya kiroho au powers ili waweze kupata urahisi wa...
12 Reactions
60 Replies
31K Views
Wakuu. Kuna suala linaniumiza sana Kichwa. Mwaka 1996 Inaasemekana papa JOHN PAUL II Alikanyaga Ardhi ya Tanzania na Kupiga MAGOTI na kuibusu? 1. Hiki kitu hakijawahi kufanya na papa yoyote JE...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Duniani tumo binadamu wa aina tatu kiakili na wote tunaishi pamoja in harmony na tumegawanyika katika makundi makuu matatu kiutendaji na utekelezaji wa akili zetu. Kundi la kwanza ni wale...
14 Reactions
57 Replies
12K Views
Habari JF Wanadamu ni wanafiki sana tena pengine nahisi wengi tunafanya mambo hayo ya kipumbavu kwa mihemko na kufwata mkumbo kibaya zaidi kwa mfano una darasa lina wanafunzi 40 wachukue hao...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi mtu wa kwanza aliyejua kusoma na kuandika alifundishwa na nani? Au walimu wa kwanza waliowafundisha watu kusoma na kuandika wao walifundishwa na nani? Hivi hii kitu ilikuwaje wazee?
7 Reactions
36 Replies
4K Views
Miaka ya mwanzo wakati ukristo unaanza kulikuwa na vuguvugu la wayahudi na wakristo. Watu hawa walikuwa wakipinga kuwa kwenye dini zozote. Waliamini mtu anaweza kumuabudu Mungu bila kuwa kwenye...
9 Reactions
133 Replies
18K Views
Ugonjwa uliolipuka mwishoni mwa mwaka 2019 ambao kwa sasa unaelekea umedhibitwa kikamilifu baada ya miaka mitatu bado haujajulikana chanzo chake. Hizi hapa ni baadhi ya nadharia za chanzo chake...
0 Reactions
2 Replies
573 Views
Back
Top Bottom