Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

impongo

JF-Expert Member
Feb 18, 2015
8,732
7,611
Heri ya mwaka mpya Mungu azidi kuwabariki na kuwapa mibaraka yake ktk mwaka 2017

Nafahamu nimegusa imani zenu Waislam na Roman Catholic mtanisamehe sina lengo la kuwakwaza nikushirikishana ili kila mmoja wetu ajue Ukweli katika imani yake na kweli hutuweka huru.

Nitaeleza kwa uchache na kile nilichokifahamu na kujua jinsi hizi imani zetu Si matakwa ya Mwenyezi Mungu Bali ni matakwa ya ibirisi kupotosha kweli iliyopo.

Nitaelezea kwa uchache na kila nitakapo pata mda nitaendelea.

[}}Uislam ni Iman iliyoanzishwa na mtume Muhammad saw miaka zaidi ya 600 baada ya kifo cha Yesu Kristo Mwana wa Mungu.

}}Uislam ulianzishwa na kanisa la Rumi (Roman Catholic) hii ni baada ya wa Rumi kuua watakatifu wengi ktk kanisa moja (Catholic) la Yesu na wakafanikiwa kubadiri ibada za kumtukuza Mungu na kuanzisha ibada za masanamu ya miungu yao kama tuonavyo yalivyo pambwa sehemu mbalimbali za kuabudia.

}}Mtume Muhammad asiye fahamu kusoma wala kuandika alianzishaje Uislam?

Baada ya warumi kuharibu kanisa la Mungu kuna baadhi ya waamini waliendelea kuwa na Iman thabiti ya mafundisho sahihi ya Yesu Kristo vugu vugu la kulitenga kanisa la Rumi lilikuwa kubwa na hapo wa Rumi ndipo walitafta njia ya kukabiliana na na hali hii kwa njia nyingine bila kujulikana.

Waliwatafta watu vijana wengi wa kiarabu katika Saudia na wakawatengenezea muongozo uliotengenezwa kutokana na baadhi ya vitabu Biblia agano la Kale (Vitabu vya Torati) na kutengeneza Qur'an na aya zake kama walivyoona inafaa.
Na kiongozi aliyepewa jukumu ni kijana shupavu, hodari, mchangamfu aliye itwa Muhammad ingawa alikuwa hakusoma lakini alikuwa mwelevu wa hali ya juu kwa chochote alicho ulizwa.
(hizi scientific katika Quran watunzi ni Rumi kwa msaada wa Torati)

Muhammad alipewa nguvu za Mungu Jupiter, Sun ili awe na nguvu na ushawishi kwa kulieneneza Neno alilotumwa na alifanikiwa kuteka sehemu kubwa ya Dunia warumi wakafanikiwa ktk azima yao kuawala Dunia.

Hadi Leo hii ma billion ya wafuasi hawajui chochote juu ya hili wamekuwa wafia Dini laiti wangejua nini kipo nyuma ya pazia.

Muhammad alitimiza azima ya wa Rumi na kuwa mtu maarufu no.2 baada ya yesu na akaabadili baadhi ya sheria kwa kuwa alikuwa na nguvu nyingi kufanya alichotaka akawa na wafuasi wengi na akajitoa kwa wa Rumi na kuhararisha kama imani aliyopokea kutoka kwa Mungu lakini hili haliondoi Ukweli kuwa Uislam ni tawi la Rumi.

Nia ya Rumi kuanzisha Uislam ilikuwa ni kutaka waendelee kuwa na ushawishi ianzishwe Dini iliyo kinyume wao waonekane wapo sawa ktk wale waliojitenga na ibada za kishetani

Kila nitakapo pata muda nitaendelea kuweka sawa ukweli ujulikane utuweke huru.

Ndugu zangu Wa Roman na Muslim nisamehe kama nita wakwaza Ukweli unauma na Nina fahamu wengi ni waumini hamjui chochote.

Karibuni
 
How Is the World Diverted and Controlled!
(Waliopewa upeo mkubwa saana kujua mambo kuzidi wengine wamesababisha haya yote )

miaka si mingi iliyopita hapa Tanzania ilisikika kuwa mtoto mwenye akili nyingi katika jumuiya zenye wakatolic na akawa ni mkatolic kulikuwa na mpango wa kumchukua huyu na kumwendeleza kielimu kwenye shule za Mission kwa ajili ya matazamio tegemeo.
Siku hizi sisikii sana sijui wame-adopt mhinu gani tena!!
 
Vp wewe ni Mungu au malaika wake mbona unasema kama unamamlaka fulan hivi amaizing!!

Hivi mtu akizungumza kitu kwa confidence anakuwa Mungu? Imeandikwa wapi mkuu? Ninachojua, Mungu ametoa Mamlaka mengi na ya aina mbali mbali kwa WALE WAMWAMINIO NA KUMWABUDU KATIKA ROHO NA KWELI.

Ninashauri ukubali kuwa mwanfunzi wa Yesu. Ujifunze kwake yeye ambaye ni mnyenyekevu na mpole ambaye mzigo wake ni mwepesi na nira yake ni laini.

Ukiijua kweli, kweli itakuweka huru, na kweli ikikuweka huru, utakuwa huru kweli kweli!.

DINI ISIYOKUWA NA MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI INAKUSAIDIA NINI ZAIDI YA KUWA MLINZI WA MASLAHI YA WATU WACHACHE WANAONUFAIKA NA MFUMO HUO WA DINI?

KIPI NI KIZURI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO, DINI AMA IMANI?

IMANI ISIYOKUSAIDIA WALA KUKUFUNGUA, INA FAIDA GANI ZAIDI YA KULISHA NA KUFURAHISHA MASHETANI? MASHETANI AMBAYO MWISHO WAKE NI KATIKA ZIWA LA MOTO NA WAFUASI WAKE WOTE?

Ni vizuri kukubali kujifunza, ukaelewa na ukachallenge kwa hoja badala ya kuchallenge kwa emotions.

BY THE WAY, NINAOMBA TUJADILIANE MIMI NA WEWE. 'UKATOLIKI WA RUMI NAO NI UKRISTO?" Hii ndiyo iwe agenda yetu kuelekea tafakuri ya mada kwamba urumi ulianzisha controversial faith kwa hila na nia y akutimiza azma yake.
 
uko sahihi mkuu quran iliandikwa kwa msaada wa jesuits wale ndo waandishi wa kitabu hicho na sio kama waislam wanavodai ilishushwa
Sasa mkuu, hao kwenye red mbona walianzisha hicho chama mwaka 1544, wakati huo uislamu ulianza miaka ya 600? Unamaanisha kitabu kitukufu kiliandikwa kuanzia mwaka 1544? Na kama ni hivyo, inamaana waislamu walitumia nini kama kiongozi cha imani yao kabla kitabu kitukufu hakijaandikwa?
 
Hivi mtu akizungumza kitu kwa confidence anakuwa Mungu? Imeandikwa wapi mkuu? Ninachojua, Mungu ametoa Mamlaka mengi na ya aina mbali mbali kwa WALE WAMWAMINIO NA KUMWABUDU KATIKA ROHO NA KWELI.

Ninashauri ukubali kuwa mwanfunzi wa Yesu. Ujifunze kwake yeye ambaye ni mnyenyekevu na mpole ambaye mzigo wake ni mwepesi na nira yake ni laini.

Ukiijua kweli, kweli itakuweka huru, na kweli ikikuweka huru, utakuwa huru kweli kweli!.

DINI ISIYOKUWA NA MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI INAKUSAIDIA NINI ZAIDI YA KUWA MLINZI WA MASLAHI YA WATU WACHACHE WANAONUFAIKA NA MFUMO HUO WA DINI?

KIPI NI KIZURI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO, DINI AMA IMANI?

IMANI ISIYOKUSAIDIA WALA KUKUFUNGUA, INA FAIDA GANI ZAIDI YA KULISHA NA KUFURAHISHA MASHETANI? MASHETANI AMBAYO MWISHO WAKE NI KATIKA ZIWA LA MOTO NA WAFUASI WAKE WOTE?

Ni vizuri kukubali kujifunza, ukaelewa na ukachallenge kwa hoja badala ya kuchallenge kwa emotions.

BY THE WAY, NINAOMBA TUJADILIANE MIMI NA WEWE. 'UKATOLIKI WA RUMI NAO NI UKRISTO?" Hii ndiyo iwe agenda yetu kuelekea tafakuri ya mada kwamba urumi ulianzisha controversial faith kwa hila na nia y akutimiza azma yake.
Nimekuelewa sana mtoa mada

Hatuwezi kuita RC kuwa nao ni wakristo maana baada ya kuasi Mungu aliliacha kanisa hili na kukabidhi wengine fimbo ya wokovu itakayowarudisha watu kama nyakati za kanisa la kwanza katika utakatifu wake

Nasisitiza na mimi,RC ni genge la waliojifunga na waliofungwa wote vipofu hakuna ajuae hatma ya imani yake ni mkumbo unaowapeleka tuu
 
Na wewe unadini? Dini yako ni ipi? Inamwamini Mungu au ni imani ya ufuasi wa kinachosemwa ambacho si cha Mungu? Hiyo dini ndiyo inakufundisha kuishi maisha ya kutukana watu matusi ya hivyo badala ya kuelezea habari ya tumaini lako? Kama huna tumaini na unachokiabudu na kukiamini hukijui, utashi wako ni upi? Ni kwamba watu wote waishi katika giza kama wewe halfu wakijidanganya wana Mungu ili mwisho wake iweje?

Ningefurahi kama ungemwambia ni mpumbavu, mjinga au lolote lile linalolingana na ulivyomwelewa kwa kumaanisha kwamba anahitaji msaada wa kiufahamu hata kama hajitambui. Au kuonyesha kwamba hafai hata kunena kwa kuwa anayoyanena hayako katika kiwango chochote cha mtu anayemfahamu Mungu kulilko hilo tusi unalotukana. Unadhihirisha kabisa wewe ni mfuasi wa ibilisi shetani moja kwa moja. Jielewe.







ni kwambie tyu huyo mtu anajielewa vizuri tyu tena sana

ispokua anapost kishabiki

uislam sio dini ya kutengenezwa kama ulivyo uktisto ndo maana katika quran huwezi kuta mikanganyiko kama ilivyo katika biblia

ni dhaili kwamba kilicho tungwa na binadamu lazima kitakua na kasolo nyingi tu

mfano

biblia imesema yesu ni mwana wa myngu

biblia hiyo hiyo ikasema yesu mungu

biblia hiyo hiyo ikasema yesu ni mtu

while katika quran

waadhiri wa kikristo wanaumiza vichwa mpaka leo

ispokua tu wanaakazia vitu visivyo na msingi


kwamba sijui mtume alioa binti wa miaka sita(although its true)

kwamba mtume kasambaza uislam kwa vita

na mambo mengi


anaacha kumjua Paulo ambaye ndiye aliye uanzisha ukristo

kwani ni ukweli uliodhahili kua yesu hakuwai kuingia kanisani ila aliingia katika masinagogi (ukitakakujua ni nn fungua nyuma ya bible)

sasa mi nikwambie tu kua kuna vitu vingi vya kujua kabla ujaamua kupost ujinga kama huu mtandaoni
ilhali hajui kua dini yake ya ukristo ni dini ya kiseng**
na u qoumor

kabisa


someni kwanza kabla hamja kulupuka kupost

hata quran imesema

iqra bismillabika

na mtume kasema itafuteni elimu hata kama iko china
l
 
Back
Top Bottom