Kote duniani, jamii mbalimbali wamekuwa na hadithi juu ya binadam wenye maumbo makubwa kupata kuishi kwenye jamii zao kwenye zama zilizo tangulia. Kwamba binadam hao walikuwa na maumbo makubwa na...
Siku ya jumamosi tarehe4 jeshi la Marekani lilifanikiwa kuitungua baloon ya upelelezi, surveillance baloon/ spy baloon, kama ilivyoelekezwa na Rais Biden.
Baloon hiyo inayosemekana ni ya jamuhuri...
NDUMBA ZA KUWAWEZESHA KUONA MAMBO YATAKAYO TOKEA MBELENI.
Wachawi wa nchi wanazo ndumba zenye uwezo wa kuwasaidia kujua mambo yatakayo tokea mbeleni, hivyo basi kama kuna hatari yoyote ile...
Juzi nilikutana na rafiki yangu ambaye tunashirikiana kwa mengi tu. Amekuwa ni mfanyabiashara kwa muda mrefu sana wa maisha yake. Hapa katikati, halihalisi imekuwa sio nzuri kibiashara, na...
Sio 1942 tena, na hauhitaji nguo za magome na ndevu nyingi ndo uelewe kuwa ni vitu vinne vinayapa maana maisha yako.
#Cha kwanza
KISAIDIA WATU
Maisha yasiyo na maana kuliko yote inabidi yawe yale...
Sumerian Civilisation, ndiyo Ustaarabu wa kwanza kuwahi kutokea duniani kati ya mwaka 4500 - 2000 BC katika Eneo la Mesopotamia (Iraq). Vitabu vya Historia havina uhakika wa mahali "Sumers"...
NIBIRU - PLANET X Will a planet called Nibiru bring about the
end of the world on December 21, 2012?
Let's start by looking at where this idea of
the world being destroyed by a planet
came...
The following article is based on J. R. Terrier’s book “History of Easter – Hidden, Secret Origins and Mystery Religion“.
Easter is an annual celebration observed throughout the Christian world...
Katika Karne ya 17, Kitabu cha Enoch kiligunduliwa katika Vitabu vitakatifu vya Madhehebu ya Ethiopian Orthodox na Coptic nchini Ethiopia na hadi kufikia Karne ya 19, kilikuwa kimeshatafsiriwa...
Goddess Eingana akiwa amebeba mabegi yenye watoto.
Watafiti wa Historia wamekuwa wakipata changamoto ya kung'amua ni kwa nini picha nyingi sana za miungu (gods) ya Zama za Kale, zinawaonyesha...
Tuliumbwa na Anunnaki, Lyrans na Igiggi na Anunnaki wamekuwa na sisi chini ya ufuatiliaji wa kila siku kwa miaka takribani 500,000 kutoka kwa nchi yao ya Ashtari (pia inajulikana - kwa uongo -...
A photographer @fsbragaphotos has captured a breathtaking image of a lightning bolt which has hit the Christ the Redeemer statue on February 10th, 2023.
The bolt of flash struck the head of...
Wakuu ni mwisho wa mwaka tutumie hizi siku zimebaki kujitathmini usomaji wetu kama ilivyo deaturi yetu.
Mi usomaji wangi haukuwa mzuri. Nimesoma vitabu vitatu na vingine viwili sikumaliza.
1.A...
Hapa nanukuu maneno bora mno miongoni mwa maneno ya mwanachuoni huyu,alipokuwa anaelezea ukweli kuhusu Wanafalsafa.
Lengo la kunukuu maneno haya ni kuangalia ukweli na uzito wa maneno haya kisha...
Tunazaliwa, tunakuta baba anatuita fulani, mama naye.
Kaka pia anatuita hivyo, na dada na ndugu zetu! Kiukweli jamii nzima tumekuta inatuita tu fulanii fulanii.
Wapi tulikaa kikao, ni lini...
Sikilizeni ducumentary hii hapa kuhusua utafiri wa hivi karibuni yenye kichwa kinachosema
"Solving the Mystery of the 3,000 year old Paracas Skulls… Evidence of Ancient Aliens"
UPDATE...
ALAMA YA MNYAMA NI NINI?
UFUNUO 13:16 "Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, walio huru kwa watumwa watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso...
Nimejaribu kuleta mjadala wa kichwa husika hapo juu.tujadili.kwakutumia logic ya kawaida pamoja na laws of nature ilikuonesha uwepo wa Mungu bila kuhusisha kitabu chochote cha dini fuatilia.
Kila...
Hapa kuna nyekundu kijani na blue. Lakini nini kinafanya ujue kwamba unachokiona ni cha blue na mimi nakiona ni cha blue?
Rangi tumezipa majina ili iwe rahisi kupata reference wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.