Habarini wana jamvi jamii intelligence kwa yoyote anayejua kinaga ubaga kuhusiana na tabiri za katuni ya simpsons ya mamboyajayo. Inaonekana hii katuni imekuwa inaonyesha mambo yatakayotokea...
Miaka milioni 65 iliyopita Kimondo kikubwa sana kiliipiga dunia. Wakati huo dinosaurs walikuwa wanaishi duniani.
Mgongano wa kimondo hicho na dunia ulisababisha mlipuko mkubwa uliorusha mawe na...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
Wakuu habari zenu?binafsi nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi sana kuhusu mikanganyiko(contradiction) katika vitabu vya dini.
Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi za kiranga kuhusu kupinga uwepo wa...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
Katika kitabu kilichoandikwa na Sir Ernest Alfred Wallis Budge "Legends of the Gods" tunapata simulizi nzuri ya miungu ya kimisri ambayo inatupatia mwangaza kidogo katika hili la chanzo cha Mungu...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
y’all.....
Kutokana na uelewa na muamko hafifu wa elimu ya malezi ya watoto from prenatal to postnatal (Psychology) kuna mambo hua yanawakumba watoto na wazazi bila kuelewa wanachukulia ni swala...
ALMASI, KITU KIDOGO KILIVYO WEZA KULETA UKAKASI KATIKA ARIDHI YA TANZANIA.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Tuesday -1/02/2022
Iringa Tanzania
Kuna Kisa cha kiarabu huko Iran cha miaka 2400...
SIRI Iliyojificha Kwenye Ganja , Kaya , Bangi , Mmea Wa Uzima Inayofanya Kukatazwa Matumizi Yake Nchi Nyingi Duniani Aswa Africa na Kuruhusiwa Matumizi Ya Pombe na Sigara...
Habari yako mpenzi...
Haya wapendwa wasomaji wa Jamii Forum,
Mimi siyo mchokozi, ila napenda kutoa maoni juu ya haya yafuatayo:
Baada ya kushuhudia makanisa kuchomwa, Dar es Salaam na Zanzibar na kwingineko, na...
Hebu tujifunze jambo hapa ili tusitatizike linapotokea.. Nazungumzia kuhusu kuua.. Kutoa uhai wa mtu
1.Ameurter killers.. Wauaji wasio na ujuzi... Huacha alama huua hovyo sio wataalam.. Ni watu...
kwa muda mrefu nimekuwa najaribu kujiuliza asili ya binadamu dunian hasa ni ipi kuna binadamu wa aina tofaut kwa maana ya rangi, muonekano na sifa zao na hata maumbile na nimejaribu kutafakar...
Amani iwe nanyi!
Kwa muda sasa kwa baadhi ya wale wanaokaa maeneo ya Ngorongoro kumekuwa na maneno ambayo
tungeomba kupata ufafanuzi kuhusu nani hasa anahusika na NCAA (Ngorongoro Conservation...
Wanajamvi,
Hebu nisaidieni kufahamu faida za hii meditation katika maisha yetu ya kawaida. Nimejaribu kuifanya kwa miezi mitano sasa sijaona tofauti yeyote ya maisha yangu kabla ya meditation na...
Introduction
Illusion life ni maisha yasiyo halisi ambayo yametengenezwa kwa program maalum iliyopachikwa kwa kiumbe na kumfanya kiumbe huyo aone Anaishi maisha halisia kumbe sio kweli ni program...
Wanaoamani Mungu hutumia uumbaji kama hoja kuu ya kuamini Mungu yupo, siwalaumu because after all bila uumbaji tusingekuwepo kubishana hapa kama mungu yupo au la! Na uwepo wake usingekuwa na...
Msukule ni mtu ambaye anahesabiwa amekufa, lakini ukweli ni kuwa mtu huyo huwa amechukuliwa na Mchawi ili amtumie katika kazi zake maalum au amtumie katika mambo yake mengine anayoyataka.
Mchawi...
Umewahi kusikia juu ya mikataba ya kiroho? Inachukua sehemu kubwa katika kuamua jinsi tunavyojiumba kama watu tukiwa hapa Duniani.
Kabla ya kila kuzaliwa kwetu duniani, tumepewa chaguo. Ni chaguo...
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."
Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."
Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not...