KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Amani iwe nanyi!
Kwa muda sasa kwa baadhi ya wale wanaokaa maeneo ya Ngorongoro kumekuwa na maneno ambayo
tungeomba kupata ufafanuzi kuhusu nani hasa anahusika na NCAA (Ngorongoro Conservation Area Authority)
Mfano Mapato ya NCAA yanakwenda wapi ( ni mfuko upi unaohifadhi mapato) maana maisha ya wenyeji (Maasai)
ni duni kulinganisha na mapato.
Pia upo wasiwasi kuwa NCAA ni mradi wa chama tawala CCM kwa kisingizio cha Maasai maana hata safu ya uongozi imekaa ki-ccm zaidi.
Mwenye neno juu ya hili naomba msaada.
Asante.
Kwa muda sasa kwa baadhi ya wale wanaokaa maeneo ya Ngorongoro kumekuwa na maneno ambayo
tungeomba kupata ufafanuzi kuhusu nani hasa anahusika na NCAA (Ngorongoro Conservation Area Authority)
Mfano Mapato ya NCAA yanakwenda wapi ( ni mfuko upi unaohifadhi mapato) maana maisha ya wenyeji (Maasai)
ni duni kulinganisha na mapato.
Pia upo wasiwasi kuwa NCAA ni mradi wa chama tawala CCM kwa kisingizio cha Maasai maana hata safu ya uongozi imekaa ki-ccm zaidi.
Mwenye neno juu ya hili naomba msaada.
Asante.