The Society of Jesus
was founded in 1540 by St. Ignatius Loyola and since then has grown from the original seven to 24, 400 members today who work out of 1,825 houses in 112 countries. In the...
Salaam
wana jf
Ningependa kufahamu kuna uhusiano gani uliopo ndani ya kanisa katoliki baina ya jamii ya kikristo ya kanisa katoliki inayoitwa jesuits na jamii nyingine ya kikatoliki inayoitwa...
Wakati fulani nikiwa Dodoma mwaka 2022, siku moja msafara wa Rais Samia (presidential motorcade) ulikuwa ukitokea Airport Dodoma kuelekea ikulu chamwino. Nadhani na yeye alikuwa anarejea kutokea...
Kwenye historia ya uchumi anatajwa mjerumani mwenye Asili ya kiyahudi Karl Marx ndio inasemekana ndio Muasisi wa hii kitu.
Kwa Mujibu wa kitambo kimoja The History of Modern Economics Great...
Cuba ilitumbukia gizani kwa mara ya pili katika muda wa chini ya wiki moja Jumamosi, Machi 21, baada ya mtandao wake wa kitaifa wa nishati kushindwa tena, ukiwa umeathiriwa na miundomsingi...
Uchaguzi huru na wazi ni uti wa mgongo wa uhalali wa mamlaka katika taifa lolote linalojenga misingi ya haki, amani, na maendeleo endelevu. Taifa haliwezi kusema lina demokrasia ya kweli ikiwa...
Wazo la Akili Unde (Artificial Intelligence - AI) kuwa kama "dini mpya" limezua mjadala mkubwa duniani, likigusa hisia za kiimani, kifalsafa, na kiteknolojia. Ingawa wengi wanaiona AI kama zana tu...
Chimbuko/historia ya tahajudi:
Neno tahajudi limetokana na neno la kiingereza linaloitwa 'meditation' likiwa na maana ya kufikiri kwa uzingativu au kwa kujali. Neno meditation, nalo...
Special gift nini, ni uwezo au vipawa anavyopewa mtu(choosen one) na Mungu kwa ajili ya kumsaidia kutimiza kusudi(calling) au wito duniani.
Choosen one ni nani, ni mtu aliyechaguliwa na Mungu...
There are more than just three dimensions to our universe…
For decades, the boundaries of our three-dimensional world have been questioned by physicists who suspect that reality is far more...
Maisha ya Nikola Tesla ni moja ya hadithi za kuvutia sana katika historia ya sayansi, hadithi ya mtu aliyekuwa na akili ya ajabu sana lakini pia maisha yaliyojaa mafanikio makubwa na baadaye...
Tunaishi katika dunia mbili na nyakati mbili, dunia halisi na nyakati halisi ama dunia ya uwakilishi na nyakati za uwakilishi. Tunaweza pia kuishi kwenye dunia halisi ila nyakati zika za...
Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho.
Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza...
Leo nitawaelekeza kwenda nyuma ya muda kwa kutumia vitu vya kawaida vinavyopatikana kwenye mazingira yetu,
Hatua ya kwanza nenda kwenye sehemu yenye mlima, bonde, au sehemu yeyote iliyojengeka...
Mafanikio ya Urusi kwa sasa inayoongozwa na rais mwenye misimamo thabiti aliyekuwa KGB wa zamani Vladimir Vladimirovich Putin ni yakushangaza kwa wengi hasa western block USA na allies wake wa...
Mimi ni Mwanahabari na Mtanzania Nasema ...
Kuna huzuni nzito inayotanda ndani ya vyumba vya habari nchini,siyo huzuni ya kukosa vifaa au teknolojia, bali ni huzuni ya kuona taaluma yetu...
Anything which claims to be God must be eaten- an old african proverb.
Mada hii sio kwa watu wa kukremisha vitabu. Mada hii sio kwa watu wasiotaka kujifunza nje ya kitabu cha imani yao. Vitabu...
Operesheni ya Nyaraka za Kinyuklia za Iran ya mwaka 2018 ni moja ya misheni za kusisimua mno na za kijasiri zaidi katika historia ya kintelijensia ya Mossad. Huu ni uvamizi wa usiku mmoja, ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.