Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Salute mate; Wanasemaga kwamba many of our battles we fight don’t exist, we make them exist because we create our own Demons. Kwamba mambo mengi yasiyo kawaida tunayoyaona hua sio halisi ila ni...
59 Reactions
229 Replies
36K Views
Mates, Wakati wengi tukiwa tunajua kwaba ubongo wa mwanadamu umegawanyika sehemu tatu ambazo ni ubongo wa mbele,katikati na nyuma tu, kuna wataalamu wa masuala ya akili (Neuorologist) na wataalamu...
71 Reactions
118 Replies
24K Views
Salute Mnamo mwaka wa 4BC jijini Galilaya katika kitongoji kiitwacho Nazareth kulikuwa na familia ya Bw. Joseph na mkewe Maria; walipata mtoto wa kiume wakamwita Jina Yeheshua au Yesu. Ilikua ni...
82 Reactions
329 Replies
39K Views
Uzi huu ni Kwa ajili ya kupata maekezo ya kina kutoka Kwa wajuzi wa mambo haya na kupata elimu na kuacha kuwatuhumu usalama wa Taifa Kwa kila ovu linalotokea, Ndiyo mwanausalama wa Taifa ( watu...
8 Reactions
113 Replies
22K Views
Patrice Lumumba University of Russia: Ngome kuu ya majasusi wa KGB ya kufunza itikadi za Ujamaa kwa wanafunzi kutoka nchi masikini za Dunia ya Tatu. UTANGULIZI Wakati wa kipindi cha vita...
26 Reactions
191 Replies
44K Views
  • Poll Poll
Hii message na isomeke ulimwenguni wote na ni Ushuhuda binafsi ila miaka ijayo utakuwa wazi. ANGALIZO SOMA MPAKA MWISHO. Hii SEHEM YA 1 Imebeba full picture Generalization. Muunganiko ila sehem...
4 Reactions
164 Replies
4K Views
Wakuu poleni kwa upambanaji. Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe). Maswali kama...
25 Reactions
1K Replies
49K Views
SALUTE Maisha ni safari ndefu yenye mabonde na mashimo tu Yenye matumaini tu huku raha zikiwa chache mateso na taabu yamejaa! Kuna mambo yanaweza au yanatokea kwenye maisha yako hadi ukabaki...
514 Reactions
931 Replies
180K Views
Salute Kipindi cha nyuma kabla sijawa na ufahamu wa masuala ya teknolojia nilikua nikiangalia muvi kama vile KingKong, Jurasic Park,Godzila,RoboCop, Cyborg , Terminator nk nilikua najua kwamba...
87 Reactions
346 Replies
42K Views
Tuanze na HALI YA KWELI na HALI YS UONGO. Kuijua hali ya kweli lazima tupime na hali ya uwongo. Uongo ni hali isiyo na msimamo hubarika badirika kutokana mahali na muda unavyopita. Mfano; Rangi ya...
7 Reactions
74 Replies
6K Views
Katika enzi ya Vita Baridi, dunia ilitazama Chess kama mchezo wa kawaida tu. Lakini kwa Umoja wa Kisovieti, michezo ya Chess haikuwa michezo tu. Ilikuwa sayansi ya akili, silaha ya kisiasa, na...
6 Reactions
11 Replies
814 Views
Tuzungumzie Occultism na Goetia. Tunaingia kwenye ulimwengu wa "elimu ya siri" (hidden knowledge) ambayo kihistoria imekuwa ikitafuta kuelewa na kudhibiti nguvu zisizoonekana za ulimwengu. Hapa...
14 Reactions
23 Replies
1K Views
SECRET OF HANDS SPIRITUALLY Hands are used to represent , action , spiritual energy and connection. Connection in spirituality palms of the hand can receive and give energy. In giving energy it...
11 Reactions
20 Replies
1K Views
Psychology inaonyesha kwamba watu wengi hufichua ukweli wao kupitia reactions, patterns, na emotions kuliko maneno yao. Watu hupenda kuhisi: • Wameeleweka • Wamesikilizwa • Na wana control...
6 Reactions
4 Replies
374 Views
Kila nikitafakari changamoto ambazo baadhi ya watu wanapitia huwa naishia kusema ningekuwa Mungu nisingeiumba dunia hii jinsi ilivyo sasa. Hapa ninamaanisha ningeiumba bila uwezekano wa kuishia...
10 Reactions
69 Replies
3K Views
Palmoni, The Wonderful Numberer, ni Bwana Yesu Kristo. Pia Bwana Yesu Kristo (ndani ya Utatu Mtakatifu wa Mungu) ni The Wonderful Counsellor, The Wonderful Teacher, The Revealer of Secrets...
7 Reactions
33 Replies
5K Views
MwanaJF, Je, umeshawahi kusikia visa na mikasa ya watu wanaotafuta rupia maarufu kama pesa au hazina ya Mjerumani? Binafsi nimekuwa nikisikia kuna watu huwa wanakwenda mahala ambapo wamepewa...
24 Reactions
859 Replies
372K Views
Kwa shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama directorate K. Hii idara ilikuwa na kazi maalumu ya kufanya bugging , kile kitendo Cha kupandikiza vinasa sauti na video camera...
149 Reactions
2K Replies
341K Views
Jinsi ya kutambua Mungu anaongea na wewe. 1. Mungu anaongea na wewe kupitia amani, Kama upo unapata amani kwenye roho yako pindi unapowaza au kupanga malengo fulani fahamu kuwa Mungu amekubaliana...
1 Reactions
2 Replies
363 Views
Kila tokeo la kimwili bila kujali kama ni chanya ama hasi asili yake ni roho ama rohoni... Hakuna kitu kisicho asili na roho ama nguvu isiyoonekana.... Hata huyu Mungu mkuu anayebishaniwa kila...
31 Reactions
100 Replies
15K Views
Back
Top Bottom