Rupia: Hazina ya Mjerumani

client3

JF-Expert Member
Aug 6, 2007
2,332
3,152
MwanaJF,

Je, umeshawahi kusikia visa na mikasa ya watu wanaotafuta rupia maarufu kama pesa au hazina ya Mjerumani?

Binafsi nimekuwa nikisikia kuna watu huwa wanakwenda mahala ambapo wamepewa viashiria kuwa kuna rupia na huchimba kama wachimbavyo wachimbaji wa migodini.

Hii shughuli ni maarufu sana mkoani Mbeya na Njombe, Iringa, nimewahi ona tukio la nyumba kubomoka baada ya watu waliokuwa wakichimba chini kwa chini kutokezea kwenye nyumba ya mzee mmoja huko Mbeya.

Maswali yangu ni:

1. Je, kuna ukweli wowote wa hili jambo?
2. Je, rupia ni nini...ni pesa hasa au aina fulani ya kitu cha thamani?
3. Je, rupia hutumiwaje baada ya kupatikana? kwani kuna tetesi kuwa ina thamani kubwa sana.
4. Kuna mtu ashawahi kuiona hiyo rupia?

Nawasilisha

Moja kwa moja utawaza kuhusu rupia(rupee ya mjerumani) na pesa nyingine za kale na yale yanayosemwa kuzihusu hasa kwenye habari nzima za kichawi
Watu wamezinguka na kuzinguliwa hasa watu wametapeliwa na wengine kufa wakitafuta hivi vitu vinavyotajwa kuwa na thamani kubwa

Ukweli huu hapa na si pesa tu bali na vitu vingine vya kale
1. Aina ya malighafi iliyotumika
Wakati huo vilitengenezwa vitu imara sana kutokana na upatikanaji wa malighafi ya kutosha ...vitu kama vyombo vya bati na chuma urembo kama bangili mikufu pete nk leo hii ukivipata na kuviyeyusha kila kimoja unaweza kutengeneza kumi kupitia hicho kimoja

2. Uhifadhi
Wajerumani kwa hapa kwetu walikuta malighafi vito na madini ya kutosha sana! Kutokana na uhifadhi hafifu wakati huo vingi ya hivi vitu viliwekwa tu majumbani mwao wakiviandaa kuvidafirisha kwao
Vita ya pili ya 1939-45 iliwachanganya mno na walipoelekea kushindwa waliamua kuficha mali yote kwenye mashimo makubwa mashambani misituni kwenye mahandaki na milimani kusikofikika kwa urahisi kisha wakawaua watu karibia wote walioshiriki na wanaojua yale maficho wakasepa
Huku kote mali hizo zilihifadhiwa kwenye vyumba imara vilivyojengwa kwa zege gumu hasa ili iwe ngumu kuchimbua ama kuvunja na kama ni mapangoni yalikuwa mapango ya mbali hasa milimani na misituni

3. Dhana ya majoka na viumbe wa ajabu
Huko kwenye hayo maficho kuna baadhi ya watu walisalimika hivyo wakasimulia vizazi vilivyofuata
Kizazi cha kusaka utajiri wa haraka kikaona fursa na kuamua kuchangamkia dili. ..Wajerumani hawakuweka ulinzi wowote wa majoka! Hao ni viumbe tu walijitwalia makazi huko ambako ndio maisha yao yaliko
Watu walioenda bila tahadhari waliumwa na hayo madubwana na kupoteza maisha! Waliosalimika walitimua mbio na kuunda stories za kufikirika

4. Dhana ya uchawi na majini
Kwa wale waliosaka kwenye mahandaki na mashimo marefu yenye vyumba vilivyojengwa kwa zege , baada ya kufanikiwa kuvunja hayo mazege na kutaka kuingia ndani nao walikutana na mauzauza ya kila aina
Unajua ni kwa nini? Sehemu yoyote yenye mfumo wa nyumba ama chumba isiyokaliwa na binadamu roho zinazotangatanga na mapepo hufanya makazi yao kumbuka ile mada ya kutakasa makazi! Hivyo ukiingia huko lazima ukutane na vitu vya ajabu...Mjerumani hahusiki kabisa!

5. Uamuzi wa kufanya kafara ama tambiko kabla ya kuchimba ama kuingia pangoni
Wengi walitafuta waganga wa kienyeji kwenye hili na hawakufanikiwa. ..waliofanikiwa walifanikiwa kwa ujanja tuu....ukienda kwenye pango misituni ukachinja mnyama ukapiga manyanga automatically mkiondoka ile nyama italiwa na kuna wakati manyanga huleta kelele na kufukuza mnyama yoyote aliyeko pangoni...ndio maana baada ya kafara hamuingii siku hiyo hiyo bali kesho yake nk
Wale wa kwenye mashimo NA mahandaki ni ibada tu ya kuziomba roho ziondoke ama kuzifukuza kwa kutumia mitishamba na harufu wasizozipenda....mkikutana na roho korofi mtachezea kichapo mpaka muache kila kitu na kutimua mbio kali sana

6. Ukweli hasa ni UPI?
Baada ya vita ya pili kukoma na baadae Uhuru wajerumani walishindwa kurudi kwa ubabe hivyo wakatumia njia za kijanja kurudi
Unajua waliondoka na ramani zote kule mali zilikofichwa hivyo walirudi kuzichukua kwa njia ya kununua yale maeneo na kuyaendeleza kwa kujenga shule vyuo hospital nk ama miradi ya barabara ufugaji na kilimo
Kwa njia hii walichukua vyao kiulaini mno

7. Thamani na umaarufu wake ni UPI!?
Vitu vya kale kwa wenzetu vina thamani kubwa sana....wenzetu wana utaratibu wa kuweka vituo vya antiques na kuchaji watalii pesa ndefu kuviangalia . kila kimoja kinakuwa kimeandikiwa historia yake. Kwa hiyo wakija huku kuvitafuta wengi huenda kuviuza kwenye hayo maduka kwa bei kali mno

8. Nguvu ya utajiri
Biashara imevamiwa , vitu vya kale haviwezi kukupa utajiri wa miujiza ..havina huo uwezo bali kuna baadhi kutokana na malighafi iliyotumika kuvitengeneza vina mvuto kwenye ulimwengu wa giza kama mabangili ya shaba

9. Usumbufu
Kuna watu wanawachezea wenzao shere na kuwasumbua bila sababu.. Miaka hiyo pesa ilitengenezwa kwa mpango maalum(nadhani hata sasa) na zilitengenezwa kwa miaka... Kuna miaka pesa hazikutengenezwa. Sasa mtu anakupa dili na kukuahidi kukupa pesa ndefu ukimletea rupee ya mwaka fulaniView attachment 526110

10. Hitimisho
Kuna baadhi ya sehemu kulikofichwa hizo mali wafichaji walinuizia ama kufanya mambo ya giza ili atakayejaribu kuchukua ama apate madhara au asizione kabisa...lakini kwa sehemu kubwa ni habari zilizotiwa chumvi nyingi


JUMAPILI NJEMA
Jr
 
Mkuu,

Suala la Rupee/ Rupia ni fedha iliyotumika wakati wa Ukoloni wa Mjerumani. Kuhusu thamani ya fedha hiyo haina thamani yoyote kama inavyodhaniwa. Pamoja na hilo la utafutaji hazina na hilo la utafutaji Rupia ni mbinu za Wajanja ( Matapeli) kujipatia fedha kwa watu wanaowalenga. Wengi wamelizwa kwa mtindo huu wa utajiri wa haraka na mteremko.
 
Rupee ni fedha iliyotumiwa wakati wa mjerumani. Sarafu zake zitengenzwa kwa madini ya shaba na fedha tu, kwa hiyo nyingi haina tahamani. Hata hivyo, kuna sarafu moja iliyotolewa muda mfupi kabla ya vita ya kwanza ya dunia ilikuwa imetenegezwa kwa dhahabu tupu; nadhani hiyo ndiyo inayotafutwa.

Sarafu hiyo iliyokuwa inajulikana kama Tabora Pound ilitolewa mwaka 1916 na haikupta kusambaa sehemu nyingi za nchi. Sehemu kubwa ya sarafu hiyo ilihifidhaiwa kwa kuficwa chini ya ardhi ikiwa bado ndani ya msanduku yake, na huenda hiyo ndiyo inayotafutwa.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuweka hapa historia ya sarafu yetu na niliongelea hiyo Tabora Pound na thamani yake leo.
 
456005-4088880047-l.gif

364_002.jpg


German East Africa Company 1/4 Rupee, 1901 (Tanganyika)

R165.00


 
Mkuu Kichuguu,

Yawezekana usemayo kuhusu TABORA POUND yakawa na Ukweli kiasi fulani! Lakini kuna Utapeli mwingi unaendelea kwa Imani hiyo ya Kupata utajiri wa haraka kupitia fedha na Vifaa vya Kijerumani kama vle Pasi, Stove, bunduki, nk. Nina Ushuhuda wa ndugu yangu aliyepoteza mali zake nyingi kupitia style ya Utapeli huo ingawa hadi leo haamini kuwa ameibiwa bali vifaa alivyonunua vilirudi kwa mwenyewe.
 
Mkuu Kichuguu,
Yawezekana usemayo kuhusu TABORA POUND yakawa na Ukweli kiasi fulani! Lakini kuna Utapeli mwingi unaendelea kwa Imani hiyo ya Kupata utajiri wa haraka kupitia fedha na Vifaa vya Kijerumani kama vle Pasi, Stove, bunduki, nk. Nina Ushuhuda wa ndg yangu aliyepoteza mali zake nyingi kupitia style ya Utapeli huo ingawa hadi leo haamini kuwa ameibiwa bali vifaa alivyonunua vilirudi kwa mwenyewe.

SOMA HII:



The Balson Holdings Family Trust owns two type "B" 15 Rupien pieces - displayed below.This coin below was purchased by the Balson Holdings Family Trust from Heritage Coins in June 2005 (Item 13154) they noted: "lustrous AU and about as nice as we have seen one of these pieces". This piece is about as good as the "Tabora Pound", under siege conditions, gets. Value over US$4,000.



This coin below, almost UNC for the series, is owned by the Balson Holdings Family Trust. It reflects the deterioration of the dies over time - in particular on the side of the elephant - see rim bottom right area and the rim bordering the eagle at 6 and 9 o'clock. Value over US$3,000.



 
Mkuu kutokana na uzoefu wangu ktk sekta mbalimbali nianze na hv,kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya FREEMANSORY au ILLUMINATI na alama zao kishetani utagundua kuwa alama zao nyingi hupenda kuziweka kwenye fedha iwe ya coin au noti mfano mzuri ni USD ambayo ina bundi,fuvu,nyota,piramidi,satanic eye,nk alama zote hizo zinalengo moja kuu nalo ni mazindiko! Na kama ujuavyo mazindiko yote ni moja ya ibada za kishetani ambazo hujumuisha majini,mapepo,mizimu,roho chafu pamoja na kafara hasa kafara ya damu ya binadamu!

Na ukifuatilia kwa umakini utagundua hao ma-FREEMANSONS & ILLUMINATI wana origin ya sehem moja nayo ni UJERUMANI ktk jimbo moja linaitwa BAVARIA!

Sasa swala la kujiuliza ni hili ikiwa dunia ya sasa ya sayansi na technology mambo ya mashetani na makafara yapo ktk ela kubwa kama USD na tena kwa kiasi kikubwa SEMBUSE ENZI ZILE ZA GERMANY EMPIRE?.sasa ndio nakuja kwenye Rupia,nikweli ile coin ya rupia inamaajabu flan ambayo yakichanganywa na mazindiko na kafara zingine huwa inaleta kile mtu anakuwa anatake either pesa,cheo au utajiri hii inatokana kuwa ela ya rupia ilipata zindiko la damu ya binadamu wkt wa utengenezaji inasadikiwa madin yaliyotumika kuitengeneza yalikuwa yakichanganywa na damu za binadam thats y wajeruman wkt wanaondoka walizificha hzi ela sehem mbalimbali za tanzania hasa ktk maboma,makanisa(moravian),mito,visima na mashimo marefu.

sehem nyingi hupatikana mkoa wa mbeya,iringa na swanga! Na wajeruman waliweka alama kibao hasa katika magome ya miti mikubwa na mawe na huwa wanakuja kuchukua hizo rupia + madini mengine waliyoyaifadhi baadhi ya sehem zilikofichwa madini haya kwa mkoa wa mby ni hizi hapa,
1.Wilaya ya chunya-makongorosi-kijiji cha ujerumani(hapo panamgodi wa dhahabu wa zaman wa mjerumani ni DEEP GOLD MINE)kunamashimo makubwa ma4 nimakubwa sana!, 2.Sehem zote zilizojengwa hospitali za mission za moravian hasa na mjerumani flan ambaye kwa sasa ni marehemu ila watoto wake wanaendeleza game anaitwa LENHNER(LENA) hospitali ya mbalizi,IFISI SONGWE NA MATEMA BEACH!
 
Kanisa la mbozi mission na hospital yake
3.Sehem nyingine ni lilipokuwa soko kuu la mbeya pale mbele ya benki ya NMB mbalizi road ambalo liliungua na linatarajiwa kujengwa soon,guess mkandarasi aliyeshinda tenda ya kujenga pale ni kutoka inchi gani? Makampuni makubwa ma5 yaliomba ,moja la israeli,jingine la austaria,jingine la ujerumani na mengine ya wachina! Wajeruman wameshinda tenda wataanza ujenzi any time baada ya bunge hili la bajeti i guess.
3.Sehem nyingine utashangaa pale wajerumani walipokwenda kujenga matenki makubwa ya mradi wa maji ambao wameudhamini wenyewe kwa karibu 90% na waliutoa maalumu kwa mkoa wa mbeya tu! Ambao hauna shida sana ya maji ukilinganisha na mikoa ya kati na kusini mwa tz! Mradi huo utamaliza tatizo la maji mby kwa miaka 20! Ijayo imean hadi 2032! PALE UYOLE WALIPOJENGA HAYO MATENKI YAO YA MAJI PALIKUWA NA MASANDUKU YAO!
MRADI HUU AWAMU YA KWANZA IMEKAMILIKA NA JK KAUZINDUA WIKI HII HII KAMA SIKOSEI!
Awamu ya pili ya huu mradi ni kupeleka bomba la maji hadi tunduma umbali wa km 103! Ili wapitie na sehem zingine !
4. LAKE NGOSI TUKUYU MBY!
Zipo sehem kibao nikianza kuwatajia hapa sitazimaliza so tukirudi kwenye mada nikwamba kweli rupia ya mjerumani inamambo tatizo ni namna ya kuipata coz sehem zote ilizofichwa wajerumani walikuwa wanafanya makafara ya watu kuanzia 10 na kuendelea ambao hubaki hapo kama majini kulinda ila wao wanavyokuwa wanakuja kuchukua huwa kuna maneno flani huyatamka na hayo madudu hutambua mwenye mali kaja either mtoto au mjukuu wake! So huwa hayasumbua tofaut na mswahl ukienda pale na hii ki2 ikapelekea wengi kwenda kwa waganga ambako hupewa masharti ya kutafuta viungo vya binadamu hasa albino!
Nadhan mkuu umenielewa kama unamaswali zaidi ni pm namba yako ntakujuza zaid
source: mimi mwenyewe ninafanya kazi za uchimbaji madini hasa dhahabu nipo matundas chunya na pia ni graduate ktk fani ya mining enggrng UDSM
 
Kanisa la mbozi mission na hospital yake
3.Sehem nyingine ni lilipokuwa soko kuu la mbeya pale mbele ya benki ya NMB mbalizi road ambalo liliungua na linatarajiwa kujengwa soon,guess mkandarasi aliyeshinda tenda ya kujenga pale ni kutoka inchi gani? Makampuni makubwa ma5 yaliomba ,moja la israeli,jingine la austaria,jingine la ujerumani na mengine ya wachina! Wajeruman wameshinda tenda wataanza ujenzi any time baada ya bunge hili la bajeti i guess.
3.Sehem nyingine utashangaa pale wajerumani walipokwenda kujenga matenki makubwa ya mradi wa maji ambao wameudhamini wenyewe kwa karibu 90% na waliutoa maalumu kwa mkoa wa mbeya tu! Ambao hauna shida sana ya maji ukilinganisha na mikoa ya kati na kusini mwa tz! Mradi huo utamaliza tatizo la maji mby kwa miaka 20! Ijayo imean hadi 2032! PALE UYOLE WALIPOJENGA HAYO MATENKI YAO YA MAJI PALIKUWA NA MASANDUKU YAO!
MRADI HUU AWAMU YA KWANZA IMEKAMILIKA NA JK KAUZINDUA WIKI HII HII KAMA SIKOSEI!
Awamu ya pili ya huu mradi ni kupeleka bomba la maji hadi tunduma umbali wa km 103! Ili wapitie na sehem zingine !
4. LAKE NGOSI TUKUYU MBY!
Zipo sehem kibao nikianza kuwatajia hapa sitazimaliza so tukirudi kwenye mada nikwamba kweli rupia ya mjerumani inamambo tatizo ni namna ya kuipata coz sehem zote ilizofichwa wajerumani walikuwa wanafanya makafara ya watu kuanzia 10 na kuendelea ambao hubaki hapo kama majini kulinda ila wao wanavyokuwa wanakuja kuchukua huwa kuna maneno flani huyatamka na hayo madudu hutambua mwenye mali kaja either mtoto au mjukuu wake! So huwa hayasumbua tofaut na mswahl ukienda pale na hii ki2 ikapelekea wengi kwenda kwa waganga ambako hupewa masharti ya kutafuta viungo vya binadamu hasa albino!
Nadhan mkuu umenielewa kama unamaswali zaidi ni pm namba yako ntakujuza zaid
source: mimi mwenyewe ninafanya kazi za uchimbaji madini hasa dhahabu nipo matundas chunya na pia ni graduate ktk fani ya mining enggrng UDSM

Hii article siyo kwamba nimeipenda, imenishangaza sana, ila sasa kwa sababu hamna button ya ku-express mshangao, ikabidi nitumie hiyo ya like. Modulators naomba watuwekee pia button ya kuonyesha msahangao
 
i was once involved with wht i kol "rupia and mercury corn artists.

....... kwnz rupia yenyewe niliifata hko Lushoto Milimani mwaka 2009 na huyo babu alikua anataka 15m in exchange ya hyo rupia......

tatzo ilikua sio pesa koz aliejiita mteja alitoa dau la 400m, ila hayo masharti tuliopewa ndio kiboko halaf hayaishi.

mara uchinje ng'ombe wa matambiko, mara ukachome mishumaa 52 baharini, mara usisafiri jumanne ..........etc

inshort am dealin with gems for a livin lakini we don't have any rituals........ nw y rupia?

i stand strong to tell all jf members nt to engage in dis staff........ unaeza geuka mganga at the end of the day
 
mh.hapo kazi ipo kwa kweli,na vp kuhusu shule ya iyunga??

mkuu kuhusu shule ya iyunga sina data napo sana ila kwa uzoefu wangu sehem ninazozijua hivyo vitu sijui rupia,masanduku yenye dhahabu,na vito mbalimbali ni sehem zenye makanisa/hospitali za moravian,shule,maboma +nyumba ambazo zilijengwa na wajerumani wenyewe enzi za ukoloni pamoja na migodi yao ya zamani mfano iliyoko chunya (makongolosi na saza),
 
MAKOSHNELI mkuu mimi pia naishi hapa jijini mbeya uliyoyaeleza mengi nayajua so mfano bwana Lena, soko la uhindini pia kuna mti kwa babu yangu inasemekana kuna rupia maeneo hayo kikweli hata tukienda kesho ilo eneo wamejaa nyuki na hawajawahi kuhama.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom