Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Wakati fulani nikiwa Dodoma mwaka 2022, siku moja msafara wa Rais Samia (presidential motorcade) ulikuwa ukitokea Airport Dodoma kuelekea ikulu chamwino. Nadhani na yeye alikuwa anarejea kutokea...
18 Reactions
103 Replies
7K Views
MODE Naomba tuanzishe jukwaa la Spiritual,tumwage humu mambo ya nguvu za kiroho, spiritual powers,ili wana jf wawe na uwezo wa kutumia nguvu zao za kiroho,kunyoosha mambo yao,ikiwemo kuwa ma...
23 Reactions
98 Replies
3K Views
Kutokana na rangi ya ngozi zao waweza fikilia ni moja wapo wa askari wetu wa JWTZ, lakini sivyo hivyo bali ni askari wa kimarekani wakiwa katika uwanja wa vita huko Vietnam. Leo ikiwa ni siku...
14 Reactions
49 Replies
13K Views
Salute bosses! Sina takwimu zozote (kama alivyosisitiza Anko), lkn binafsi nahisi nimekumbwa na ugonjwa wa micropsia, yani naona kama mwaka 2017 umekua mfupi kuliko miaka mingine yote, juzi tu...
235 Reactions
712 Replies
137K Views
Kafara ni aina ya sadaka ya damu inayotolewa ili kufunika uovu au shukrani Kwa Mungu/miungu. Na uovu ni udhaifu fulani unaotokana na jamii husika kwenda kinyume au kumsahau Mungu wao Kwa mda...
5 Reactions
9 Replies
5K Views
4. Mpinga Kristo Matukio yote ambayo yametajwa katika Ufunuo 6-9 yatatokea katika muda wa miaka saba. Muda huu wote ambao ni sawa na siku saba katika wiki moja ni wakati unaoitwa muda wa dhiki...
4 Reactions
28 Replies
11K Views
Habari za wakati huu jamiiforums. Unamjua "Media Tycoon" Vladimir Gusinsky? Rais Putin alimwambia "niuzie vyombo vyako vya habari, laa sivyo nitakuweka ndani mpaka ukoo wako ukusahau" Mnamo...
32 Reactions
128 Replies
29K Views
Wanabodi, Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, ukisoma ukaona jinsi tunavyoibiwa rasilimali zetu, na wanaofanya tuibiwe, ni wenzetu tuliowapa...
50 Reactions
195 Replies
41K Views
Wakuu jamii ya Mbilikimo wengi wamekuwa wakipatikana katika misitu ya Jamhuri ya Congo, ingawaje hata hapa Tanzania kuna wachache mfano kuna Dada mmoja ktk kundi la VITUKO SHOW. Sasa mwenye kujua...
28 Reactions
240 Replies
67K Views
Imekuwa Ikifahamika kwa watu wa chache sana wenye maarifa na ujuzi katika miaka ya hivi karibuni (20th century), kwamba biblia ni masimulizi ya ‘Vibao vya mawe vya Sumeria’ vilivyo ‘ghoshiwa’ na...
16 Reactions
200 Replies
16K Views
Wanabodi, Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。 Huu ni muendelezo makala zangu kuhusu "works of powers", nguvu za...
18 Reactions
132 Replies
132K Views
Wadau kuna vikosi vingi hapa nchini vya usalama wa wananchi,viongozi na Taifa ambavyo havijulikani kabisa kwa wananchi,sasa nimeamua kwa mtiririko kama wa series nitakua nakuja na kikosi kimoja...
30 Reactions
137 Replies
44K Views
Habari za sikunyingi ndugu Zangu jukwaani? Mtu akifuga mbuzi Faida yake ni nyama na maziwa Kadhalika ng'ombe ninyama na maziwa kuku kondoo na vinginevyo navyo vina faida juu ya mfugaji wake. Je...
12 Reactions
22 Replies
631 Views
Kwa binadamu kuishi, na nini hutokea baada ya mtu kufa ni mambo yasiowazi bado. Kuna mengi yamethibitika kuhusu maisha na machache yanayojulikana kuhusu kifo. Kwa kweli tangu wazo la kutugwa...
5 Reactions
3 Replies
285 Views
Having Master Number 11 is not an easy deal. Most of the time it is like dealing with a complicated machinery. I have listed the general points and tips hope it helps you. Key points: #It is...
4 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari za Ijumaa wana JF. Mimi leo nimeona nije na hii mada tajwa nahitaji kujifunza mambo ya asili hasa matambiko faida zake pamoja hasara zake kama zikiwepo. Na vitu gani vinatakiwa katika...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Salute.. kuna msemo sijui tulifundishwa au tulisoma wenyewe kwenye vitabu vyetu vya dini (Bibble & Qu'ran) msemo huo unasema kua Miaka elfu moja duniani ni sawa na siku moja mbingu, kiukweli kwa...
28 Reactions
344 Replies
48K Views
Jifunze Kusoma Alama za Nyakati.. Siku Zote Ukiona Ulinzi ni Mkubwa Basi Jua Kuwa Usalama ni Mdogo.. Na Laana Yako Inaweza Kuwa Mwanzo wa Njia za Baraka Yako Pia...
5 Reactions
11 Replies
3K Views
Fikiria usiku wa leo anakuja kiumbe na kukuambia hivi: "Kuanzia sasa, utalazimika kuishi maisha haya haya uliyoyaishi tangu unazaliwa hadi unakufa. Utayaishi sekunde hadi sekunde, tukio kwa tukio...
3 Reactions
11 Replies
301 Views
Back
Top Bottom