Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
In the year 2011, the former Iranian president Mahmoud Ahmadinejad said: "They are stealing our rains." No one believed him. How Were the UAE and Israel Stealing Jordan's, Iran's, and Syria's...
1 Reactions
5 Replies
468 Views
Mate, Habari. Kwenye familia zetu kumekua na nadharia inayosema kua watoto ambao ni wa kwanza kuzaliwa hasa watoto wa kiume kwamba hua hawana Akili, ni mapepe,ni watundu na mara nyingi hua hawana...
162 Reactions
548 Replies
88K Views
Hii haijaanza kutumika Leo n tka enzi za kale. Now days huwekewa katika maAIRCONDITION katika magari,helicopter na ha maofisini. Ukiivuta three times ur dead. Hii inatokana n cyanide kucombine na...
1 Reactions
79 Replies
13K Views
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio...
46 Reactions
540 Replies
115K Views
Tuzungumzie Occultism na Goetia. Tunaingia kwenye ulimwengu wa "elimu ya siri" (hidden knowledge) ambayo kihistoria imekuwa ikitafuta kuelewa na kudhibiti nguvu zisizoonekana za ulimwengu. Hapa...
13 Reactions
22 Replies
875 Views
Salute.. Maisha yanakwenda kwa kasi mno mengi hayawezekani hayapo wenzetu huko wanakesha kutuonyesha jinsi kila kitu kinawezekana kama ukiwa na nia thabiti na mipango. Huko duniani kuna vitu...
135 Reactions
565 Replies
70K Views
Kitu Gani kinafanya wizara ya UJENZI isihusike na miradi YOTE ya UJENZI ya serikali? Bali imejikita kwenye Ujenzi wa barabara kuu na baadhi ya majengo au wizara zingine zinatumia miradi ya...
1 Reactions
5 Replies
223 Views
Umaskini wa siri (Silent Poverty) si ule wa kukosa chakula au malazi. Ni hali ambapo mtu anaonekana ana kipato kizuri na hadhi kubwa kijamii, lakini kiuhalisia hana utulivu wa kifedha. Ni maisha...
43 Reactions
51 Replies
1K Views
Tahadhari; kuwa makini na barua pepe zote zinazotumwa kupitia normal messages au kwenye email yako. Hususan zile zinazokuvutia kama scholarship, paper submission, conference invitations, mikopo...
4 Reactions
11 Replies
181 Views
Hili suala tulijadili kwa Logic! Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia. Okay unaweza kusema...
26 Reactions
574 Replies
21K Views
1. Maisha ya kwenye Ndoto ukiwa umesinzia si halisi,ila utagundua si halisi pale utakapo zinduka kutoka usingizini.Ndoto ni Illusional..unadanganywa. 2. Video games kama zile za FIFA,GTA n.k...
15 Reactions
40 Replies
709 Views
‎Kwa kawaida nguvu au uwezo wa mwanadamu tumezoea ni ule mtu anao ishi nao au kutumia kila siku kuwa ndio ukomo wake ila kiuhalisia hivyo sivyo hapo sio ukomo wake ulipo bali kuna uwezo wa ziada...
14 Reactions
40 Replies
698 Views
Mnyama wa kitabu cha Ufunuo Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa...
7 Reactions
260 Replies
27K Views
Dunia kabla ya uhai ilikuwa sayari ya kutisha kabisa. Hakuna mtu angeweza kuishi hata sekunde. Hivi ndivyo ilivyokuwa ~miaka bilioni 4.5 hadi 3.8 iliyopita: 1. “Dunia ya Moto” - miaka bilioni 4.5...
6 Reactions
15 Replies
329 Views
Swali fikirishi sana je MUNGU alimuona Adam akifanya kitendo gani hadi akaona si vyema akae peke yake?
4 Reactions
22 Replies
490 Views
JONH F. KENNEDY, CIA NA LEE OSWALD: UJUAJI Vs DOLA, KITENDAWILI CHA DUNIA AMBACHO AKIJATEGULIWA MPAKA SASA. Na Comred Mbwana Allyamtu Thursday-28/05/2020 Marangu, Kilimanjaro- Tanzania. John...
15 Reactions
52 Replies
20K Views
Hiki Ni kisa Cha kweli kabisa , kilichotokea nchini marekani kati ya mwaka 1981 Hadi 2009, ambapo Nabii MILLIONEA aliekua akifanya miujiza ya ajabu na mikubwa Sana kimataifa na Kujaza majukwaa...
26 Reactions
144 Replies
9K Views
Isolation is home of greatness Isolation ni kipindi ambacho Mungu utumia kufundisha au kujifunua uwepo wake kwa wateuliwa wake(annointed) kabla ajawapa majukumu ya kusaidia raia(masses)...
8 Reactions
76 Replies
969 Views
SECRET OF HANDS SPIRITUALLY Hands are used to represent , action , spiritual energy and connection. Connection in spirituality palms of the hand can receive and give energy. In giving energy it...
11 Reactions
19 Replies
1K Views
——-VITU VINAVYOTOKEA KWENYE SPIRITUAL REALM——- In spiritual realm kuna mambo mengi yanatokea. Ni tofauti na ndoto unavyodhani ila yenyewe nafsi yako inakuwa imepelekwa kwenye mazingira fulani na...
12 Reactions
76 Replies
3K Views
Back
Top Bottom