Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wakati fulani nikiwa Dodoma mwaka 2022, siku moja msafara wa Rais Samia (presidential motorcade) ulikuwa ukitokea Airport Dodoma kuelekea ikulu chamwino. Nadhani na yeye alikuwa anarejea kutokea...
14 Reactions
94 Replies
5K Views
Sleeper agent au sleeper cell ni jasusi anayepandikizwa katika nchi fulani au taasisi fulani nyeti kwa ajili ya kufanya upelelezi siku za baadaye, au damage fulani mara atakapotakiwa kuanza...
76 Reactions
264 Replies
45K Views
Kwenye historia ya uchumi anatajwa mjerumani mwenye Asili ya kiyahudi Karl Marx ndio inasemekana ndio Muasisi wa hii kitu. Kwa Mujibu wa kitambo kimoja The History of Modern Economics Great...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Cuba ilitumbukia gizani kwa mara ya pili katika muda wa chini ya wiki moja Jumamosi, Machi 21, baada ya mtandao wake wa kitaifa wa nishati kushindwa tena, ukiwa umeathiriwa na miundomsingi...
5 Reactions
24 Replies
578 Views
Uchaguzi huru na wazi ni uti wa mgongo wa uhalali wa mamlaka katika taifa lolote linalojenga misingi ya haki, amani, na maendeleo endelevu. Taifa haliwezi kusema lina demokrasia ya kweli ikiwa...
2 Reactions
1 Replies
57 Views
Wazo la Akili Unde (Artificial Intelligence - AI) kuwa kama "dini mpya" limezua mjadala mkubwa duniani, likigusa hisia za kiimani, kifalsafa, na kiteknolojia. Ingawa wengi wanaiona AI kama zana tu...
6 Reactions
9 Replies
255 Views
Chimbuko/historia ya tahajudi: Neno tahajudi limetokana na neno la kiingereza linaloitwa 'meditation' likiwa na maana ya kufikiri kwa uzingativu au kwa kujali. Neno meditation, nalo...
72 Reactions
401 Replies
172K Views
Special gift nini, ni uwezo au vipawa anavyopewa mtu(choosen one) na Mungu kwa ajili ya kumsaidia kutimiza kusudi(calling) au wito duniani. Choosen one ni nani, ni mtu aliyechaguliwa na Mungu...
5 Reactions
24 Replies
307 Views
There are more than just three dimensions to our universe… For decades, the boundaries of our three-dimensional world have been questioned by physicists who suspect that reality is far more...
3 Reactions
0 Replies
62 Views
Nimepitia kipeperushi Cha Bw. Civilian Coin-mtoto wa Kisandu Kama anavyojiita yeye anathibitisha kuwa Malaika ndio Mungu.
6 Reactions
20 Replies
280 Views
‎Maisha ya Nikola Tesla ni moja ya hadithi za kuvutia sana katika historia ya sayansi, hadithi ya mtu aliyekuwa na akili ya ajabu sana lakini pia maisha yaliyojaa mafanikio makubwa na baadaye...
9 Reactions
12 Replies
843 Views
Tunaishi katika dunia mbili na nyakati mbili, dunia halisi na nyakati halisi ama dunia ya uwakilishi na nyakati za uwakilishi. Tunaweza pia kuishi kwenye dunia halisi ila nyakati zika za...
21 Reactions
144 Replies
31K Views
Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho. Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza...
141 Reactions
3K Replies
454K Views
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi Na sababu...
70 Reactions
537 Replies
140K Views
Salute.. Maisha yanakwenda kwa kasi mno mengi hayawezekani hayapo wenzetu huko wanakesha kutuonyesha jinsi kila kitu kinawezekana kama ukiwa na nia thabiti na mipango. Huko duniani kuna vitu...
132 Reactions
564 Replies
70K Views
Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki...
127 Reactions
2K Replies
471K Views
Leo nitawaelekeza kwenda nyuma ya muda kwa kutumia vitu vya kawaida vinavyopatikana kwenye mazingira yetu, Hatua ya kwanza nenda kwenye sehemu yenye mlima, bonde, au sehemu yeyote iliyojengeka...
5 Reactions
23 Replies
395 Views
Mafanikio ya Urusi kwa sasa inayoongozwa na rais mwenye misimamo thabiti aliyekuwa KGB wa zamani Vladimir Vladimirovich Putin ni yakushangaza kwa wengi hasa western block USA na allies wake wa...
49 Reactions
167 Replies
42K Views
Mimi ni Mwanahabari na Mtanzania Nasema ... Kuna huzuni nzito inayotanda ndani ya vyumba vya habari nchini,siyo huzuni ya kukosa vifaa au teknolojia, bali ni huzuni ya kuona taaluma yetu...
7 Reactions
8 Replies
220 Views
Anything which claims to be God must be eaten- an old african proverb. Mada hii sio kwa watu wa kukremisha vitabu. Mada hii sio kwa watu wasiotaka kujifunza nje ya kitabu cha imani yao. Vitabu...
57 Reactions
330 Replies
33K Views
Back
Top Bottom