Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi...
Salama wana jamii, amani na iwe juu yenu.
Nimependa leo nije na uzi huu juu ya sifongo. Na siki. Jambo ambalo halijazungumziwa sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth. Pia kuna jambo baya...
Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho.
Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza...
Habari wana JF
Wakati tunaelekea mwisho wa mwaka kwenye msimu wa sikukuu nimejaribu kutafakari peke yangu hili jambo tajwa hapo juu (ukweli ni kitu gani?) bila mafanikio. Msingi wa tafakari yangu...
Imenilazimu nianzishe thread kabisa kuhusu hili taifa la israeli la sasa baada ya kuona baadhi ya thread zilizotangulia nyingi tu zinazo elezea umahiri na ushupavu wa hili taifa la israeli la...
Kwanini B-2 Spirit ni ndege vita nzuri sana kwa ndege za kizazi cha 4 ?
B-2 Spirit, pia inajulikana kama Stealth Bomber, ni ndege ya hali ya juu na yenye uwezo iliyoundwa kwa ajili ya misheni...
Mtafiti Huyo ni :Nelson Jacob lushasi .
Kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 2019 nilikua kwenye research binafsi ya mambo yasiyoonekana kwa macho ya kawaida. Nimefanya mahojiano na watu wa fani...
Habari,Afrika !!!
Kwanza Nianze kwa Kusema,Yupo Njiwa mpya, katika Nyumba mpya, aliyetolewa mbawa zake Ili apajue kwa mtunzaji wake,aliyebakiziwa mbili kulia na kushoto,Ategemeaye kupaa kila...
Kwa nini Siku ya Mwezi? July 20
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa siku ya kimataifa ya mwezi huadhimisha kumbukumbu ya kutua kwa mara ya kwanza kwa wanadamu kwenye mwezi kama sehemu ya operesheni ya...
KUNDALINI
"Ni Mfumo wa Mazoezi ya Asili na ya kiroho, mazoezi haya hujumuika kama njia ya kuongeza nishati iitwayo KUNDALINI
Wakati wa kufanya mazoezi haya unahitajika kufuata Mlolongo mkali...
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi...
Nina hoja ningependekeza kuileta mbele yenu wanajamvi..
Kama kichwa na habari kinavyojieleza "Mungu sio mwema"
Je ni kwanini ninasema haya.
Zingatia hili, katika mafundisho yote ya kiimani...
ISRAEL vs IRAN - 02
Sehemu ya 2
Na Dr. Chris Cyrilo
Mapinduzi ya mwaka 1979 yaliyoondoa utawala wa Shah, na kuifanya Iran kuwa chini ya utawala wa kiislamu wa dhehebu la Shia, yalifuta ndoto ya...
The wonderful Password,Give me a Pasword,a word of middle East.
A wonderful Number,A number of Pale Ni katikati ya Yule Muungwana aliyebalance idadi yao juu na Chini yaani alipiga tatu bila...
Shimo la mvuto liko katikati ya bahari kilomita 1,200 kusini-magharibi mwa Kanyakumari (a.k.a. Cape Comorin), ncha ya kusini kabisa ya bara Hindi karibu na Sri Lanka.
Bahari ya Hindi Geoid Low...
Mafanikio ya Urusi kwa sasa inayoongozwa na rais mwenye misimamo thabiti aliyekuwa KGB wa zamani Vladimir Vladimirovich Putin ni yakushangaza kwa wengi hasa western block USA na allies wake wa...
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi...
Deep State kwa tafsiri isiyo rasmi ni “Waundaji na Waendeleza Taifa”. Tanzania neno “System” (Mfumo) huwa linatumiwa sana kumaanisha deep state lakini kiuhalisia deep state sio system. System ni...
Wakuu wa jukwaa hili, ni takribani miaka 32 sasa imepita tangu Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama, Luteni Jenerali Imran Kombe alipouwawa na askari polisi mkoani Kilimanjaro.
Mengi...
Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi.
Shetani hana umri wala hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.