Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
MAMBA ni mnyama anayekula nyama, huweza kuishi nchi kavu lakini maisha yake kwa kiasi kikubwa hupendelea kukaa majini, tofauti na fikra za watu wengi ambao hufikiri mamba anazaa ukweli ni kwamba...
29 Reactions
59 Replies
30K Views
Afrika ni Bara la pili kwa ukubwa duniani pamoja na kuwa na wakazi wengi huku likiwa linakaliwa na Waarabu, pamoja na Weusi (Blacks/Negro) wakitenganishwa na Jangwa la Sahara. Waafrika Weusi...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Wale wazee wa "tafuta pesa wewe" Kama sijakosea tumegawanyika katika makundi haya: ■masikini wa kutupwa ■masikini wa kawaida ■mwenye nafuu katika maisha ■mwenye nafuu zaidi ■mwenye nafuu maradufu...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Mmeshindaje wanaJF wenzangu? Tukiangalia kona nyingi ama nchi nyingi za Afrika zipo ndani ya vita vya ndani ambapo wahanga wakuu ni wananchi ambao kila anayepigana anataka kuwwtawala. Riek...
1 Reactions
2 Replies
741 Views
Prolonged exposure to the same work environment can breed stagnation and limit professional growth. Working with the same colleagues for extended periods can lead to ingrained stereotypes and...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari 1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati? Hapa ndio kama Mungu alipatambua...
90 Reactions
341 Replies
68K Views
Kwanza nianze kwa kuelezea ndoto maana yake, Ndoto ni mkusanyiko wa matukio ambayo binadamu huyaweka kichwani kwake ambayo humjia bila zuio (involuntary) kwenye ubongo wakati akiwa...
26 Reactions
248 Replies
69K Views
Ooh! Sawa kabisa. Usipoelewa sasa, utaelewa baadaye. Basi bhana, Mfalme Nebukadneza katika fahari yake, akawa anatembea kwenye kuta za mji wa Babeli huku akijisifu namna alivyoiboresha Babeli...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hakuna jambo jipya kuhusu mauaji ya mtu maarufu. Ni miongoni mwa njia zilizotumika kuwaondoa ulimwenguni watu waliokuwa na uwezo mwingi am watu hatari. Lakini wauaji wengine walitumia njia za...
7 Reactions
41 Replies
7K Views
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa kipindi kirefu sasa nimesikia mafundisho ya kwamba dunia hii ni kifungo cha nafsi na roho za watu... na pia wapo watu mahsusi kwa kazi ya kufungua hizi nafsi na roho zilizofungwa. Kwanza...
63 Reactions
281 Replies
36K Views
Hi Kings and Queens. Nimejiuliza swali hili baada ya kusikia nchi kama Ufaransa na Marekani kuwa na majeshi katika ardhi za nchi nyingine. Naomba kujifunza kwa kujibiwa maswali haya:- 1. Hawa...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi...
15 Reactions
197 Replies
16K Views
Pengine unamsikia tu shetani juu juu, humfahamu vizuri na unasema ni adui yako. Unawezaje kupambana na adui usiyeijua nguvu yake? Anafafanua kwa ufupi Mwl . Makungu m.s 0743781910 Kamwe...
85 Reactions
250 Replies
19K Views
Wanajamvi Salam. Leo nataka kujua zaid kuhusu mada fikirishi ya umri wa dunia. Kupitia hadithi mbalimbali za historia na vitabu vya dini, zinatuambia Kwamba Dunia ilianza takriban miaka million...
13 Reactions
130 Replies
9K Views
Kuna nadharia zaidi ya milioni moja kutoka mataifa na meaneo mbali mbali yenye kusimulia kuhusu uwepo nguvu isiyo ya kawaida , nguvu yenye uwezo wa kuumba na kutoa uhai.(supernatural power )...
15 Reactions
28 Replies
2K Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la faraja kwa wafiwa waliowapoteza Wapendwa wao, wakidhani kifo ndio mwisho wa maisha, kumbe sio. Kifo ni mwisho tuu wa mwili na uhai, lakini roho ipo, haifi na inaishi...
29 Reactions
466 Replies
73K Views
Habari watu wangu wa nguvu, Tangu hapo awali technolgia imekuwa inakua kwa kasi kubwa sana kiasi cha kuwa na akili bandia kutumia roboti kufanya kazi na shughuli na kijeshi na intelligence...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Kila ninapowaza kuhusu maisha mengine baada ya haya ya duniani huwa najawa na maswali mengi ambayo sijawahi kupata majibu yake mazuri, Mfano Swali la kwanza ni tofauti kubwa sana kati ya...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Well, previous I developed a topic for y’all lads centered on God’s omniscience-ness and I discussed a bit on how death can be affected by conscience. So this topicwill be serving as a tie-in...
37 Reactions
110 Replies
11K Views
Back
Top Bottom