Man Jau
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 461
- 682
Nimeanzisha uzi huu ili tujaribu kufikiri kwa undani, na kukusanya kila taarifa, clues na chochote tunachokijua kuhusu ulimwengu huu usioonekana.
Chochote unachokijua unakaribishwa kuchangia ili kukuza uelewa wetu na maarifa..
Wote tunafahamu kuwa Mwili na vingine vyote vinavyoonekana ni vimo katika ulimwengu huu, wa galaxies, solar systems, stars and clusters, etc.
Lakini upo ulimwengu mwingine ambao umeshikamana na huu wa kwetu, ila hauonekani kwa macho yetu haya ya 3D+ TIME.
Nimeona posts kadhaa za watu mbalimbali wakijadili namna ya kutembea, kusafiri na kuishi maisha ya kiroho, iwe kiimani au kiuhalisia, zikigusia ulimwengu huu, lakini kuna misconceptions nyingi kwa sababu hatujui mengi kuhusiana na ulimwengu huu.
Kwa uelewa wangu mfupi, ninatambua kuwa Hapa duniani kuna milango (gateways) za kwenda popote pale ulimwenguni, mf. Galactical travellers, sayari na nyota zilizo mbali mno kufikika.. ila tech yetu ni bado haijafikia level ya kuweza ku access na kuzigundua hizo njia (ni kama wormholes)..ila ni suala la muda tuu, soo soon tutazigundua..maana kuna wengine wanaendelea kutafiti huko chile wameona michoro na alama zinazodhaniwa kutumiwa na watu waliopita..anyway, nisipotelee huko, ila umepata idea.
Ila pia, kwa upande wa kiroho, zipo pia gateways za kwenda kuzimu, mbinguni, na mahala pengine pa ulimwengu huo wa roho ambapo nafsi ndio zinatamba na identities zake. Ushahidi wa hayaa tunauona kwenye jamii zetu, na maajabu ya hapa na pale, waumini wa dini, wachawi, uwepo wa majini, na kadhalika, na kadhalika
Mkumbuke kuwa roho haisafiri, bali ni powering machine ya nafsi yako ambayo creator wako kakupa. (kakuumba) na nadhani nilisoma mahala pia kuwa roho ndio inamsaidia mwanadamu kuwasiliana na Mungu kwa urahisi, nadhani ni Biblia na Msaafu, na hata kwenye mavitabu ya logic na meditations pia wanagusia kuwa roho ina nguvu ya kuweza kuisafirisha nafsi yako kwenda mbali zaidi kwa muda mfupi mno, like in a thought.
Ndio maana watu wa imani wakikuambia mbinguni ni juu, usimcheke wala akikuambia hell (motoni) ni chini, usimshangae pia.
Hio milango ipo.
Hata zile stories za Nuhu kutokea gharika ya mvua kwa siku arobaini (zaidi ya miezi au miaka kadhaa ya dunia ya sasa) na kufunguliwa kwa vilindi vya maji juu angani na duniani..sio ajabu. Hivo vitu vipo.
Au zile stori unazozisikia za yesu kupaa, Elia kupaa na jeshi la Kiroho pia, moto wa Sodoma na Gomora, bustani ya Edeni na kadhalika...na kadhalika.
Point yangu ni kuwa, kubishia vitu vya ulimwengu wa roho kwa mifano ya ulimwengu wa mwili, huenda ukakosa kuuelewa kabisa ulimwengu mwingine kama Upo...maana ulimwengu wa roho ni wa higher dimensions ambazo mwanadamu wa sasa anaendelea kuhangaika kuzifungua.
Huu ulimwengu wa roho ni wa sayansi ya juu zaidi na ya milele, sayansi ambayo haina makosa, sayansi ya juu zaidi ya hii yetu tuliyoumbwa ambayo Mungu aliifanya.
Hii miili yetu tunaamini kuwa Mungu hakosei, lakini Mungu mwenyewe anathibitisha kuwa hii ni sayansi yake ambayo ni ya mpito, ya muda tuu, ambayo mwanadamu anapitia, ili kuifikia hio ya milele, ya rohoni.
So, kwa ufupi mwanadamu anaishi sayansi ya mwili na ulimwengu wake pamoja na wa kiroho, ila akifa ataacha ulimwengu wa mwili na kubakia na wa kiroho peke yake,
So, ni muhimu kusali na kuwa fiti kiroho ili muda wa kuuacha mwili ukifika, uwe salama kiroho, na usije ukapotea na kuangukia kwenye mikono isiyo salama.
Wapi utapata msaada wa kiroho, hio ni shauri lako mwenyewe...siez kulazimisha kupanda basi kwenda mwanza wakati unaeza kupanda ndege, au kama unataka kutembea kwa miguu
Chochote unachokijua unakaribishwa kuchangia ili kukuza uelewa wetu na maarifa..
Wote tunafahamu kuwa Mwili na vingine vyote vinavyoonekana ni vimo katika ulimwengu huu, wa galaxies, solar systems, stars and clusters, etc.
Lakini upo ulimwengu mwingine ambao umeshikamana na huu wa kwetu, ila hauonekani kwa macho yetu haya ya 3D+ TIME.
Nimeona posts kadhaa za watu mbalimbali wakijadili namna ya kutembea, kusafiri na kuishi maisha ya kiroho, iwe kiimani au kiuhalisia, zikigusia ulimwengu huu, lakini kuna misconceptions nyingi kwa sababu hatujui mengi kuhusiana na ulimwengu huu.
Kwa uelewa wangu mfupi, ninatambua kuwa Hapa duniani kuna milango (gateways) za kwenda popote pale ulimwenguni, mf. Galactical travellers, sayari na nyota zilizo mbali mno kufikika.. ila tech yetu ni bado haijafikia level ya kuweza ku access na kuzigundua hizo njia (ni kama wormholes)..ila ni suala la muda tuu, soo soon tutazigundua..maana kuna wengine wanaendelea kutafiti huko chile wameona michoro na alama zinazodhaniwa kutumiwa na watu waliopita..anyway, nisipotelee huko, ila umepata idea.
Ila pia, kwa upande wa kiroho, zipo pia gateways za kwenda kuzimu, mbinguni, na mahala pengine pa ulimwengu huo wa roho ambapo nafsi ndio zinatamba na identities zake. Ushahidi wa hayaa tunauona kwenye jamii zetu, na maajabu ya hapa na pale, waumini wa dini, wachawi, uwepo wa majini, na kadhalika, na kadhalika
Mkumbuke kuwa roho haisafiri, bali ni powering machine ya nafsi yako ambayo creator wako kakupa. (kakuumba) na nadhani nilisoma mahala pia kuwa roho ndio inamsaidia mwanadamu kuwasiliana na Mungu kwa urahisi, nadhani ni Biblia na Msaafu, na hata kwenye mavitabu ya logic na meditations pia wanagusia kuwa roho ina nguvu ya kuweza kuisafirisha nafsi yako kwenda mbali zaidi kwa muda mfupi mno, like in a thought.
Ndio maana watu wa imani wakikuambia mbinguni ni juu, usimcheke wala akikuambia hell (motoni) ni chini, usimshangae pia.
Hio milango ipo.
Hata zile stories za Nuhu kutokea gharika ya mvua kwa siku arobaini (zaidi ya miezi au miaka kadhaa ya dunia ya sasa) na kufunguliwa kwa vilindi vya maji juu angani na duniani..sio ajabu. Hivo vitu vipo.
Au zile stori unazozisikia za yesu kupaa, Elia kupaa na jeshi la Kiroho pia, moto wa Sodoma na Gomora, bustani ya Edeni na kadhalika...na kadhalika.
Point yangu ni kuwa, kubishia vitu vya ulimwengu wa roho kwa mifano ya ulimwengu wa mwili, huenda ukakosa kuuelewa kabisa ulimwengu mwingine kama Upo...maana ulimwengu wa roho ni wa higher dimensions ambazo mwanadamu wa sasa anaendelea kuhangaika kuzifungua.
Huu ulimwengu wa roho ni wa sayansi ya juu zaidi na ya milele, sayansi ambayo haina makosa, sayansi ya juu zaidi ya hii yetu tuliyoumbwa ambayo Mungu aliifanya.
Hii miili yetu tunaamini kuwa Mungu hakosei, lakini Mungu mwenyewe anathibitisha kuwa hii ni sayansi yake ambayo ni ya mpito, ya muda tuu, ambayo mwanadamu anapitia, ili kuifikia hio ya milele, ya rohoni.
So, kwa ufupi mwanadamu anaishi sayansi ya mwili na ulimwengu wake pamoja na wa kiroho, ila akifa ataacha ulimwengu wa mwili na kubakia na wa kiroho peke yake,
So, ni muhimu kusali na kuwa fiti kiroho ili muda wa kuuacha mwili ukifika, uwe salama kiroho, na usije ukapotea na kuangukia kwenye mikono isiyo salama.
Wapi utapata msaada wa kiroho, hio ni shauri lako mwenyewe...siez kulazimisha kupanda basi kwenda mwanza wakati unaeza kupanda ndege, au kama unataka kutembea kwa miguu