Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Pana jamaa yangu katumiwa meseji , hajajua hao majambazi walipo, wanamwamuru kuwapa pesa kwa simu ya voda, afanyeje ili ajue walipo hao majambazi , kama pana mtu anaweza saidia kujua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sisi watanzania bado tuna imani na jeshi la polisi ila tunaomba majibu au ufafanuzi wa mambo haya yafuatayo uchache. 1:Matokeo ya uchunguzi ya wale askari wa Airport Dar waliotaka kumbabmbikiza...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Taarifa za awali zilizopatikana kwa msaada wa umoja wa afrika(AU) zinasema kuwa bomu lililorushwa kwenye viwanja vya soweto limetengenezwa kiwandani huko jamhuri ya watu wa china. Vipi kuhusu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutokana na matukio ya ugaidi na uhalifu mwingine kuongezeka hapa nchini; je hatuna Intelijensia katika Jeshi la Polisi na katika Idara ya Usalama wa Taifa? Maana vyombo hivi vya dola vinaowajibu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kuna hili swali ambalo kila wakati nimekuwa nikijiuliza na kukosa usingizi. Ni nini tunahitaji kama taifa? Kwanini tuko pamoja kama Taifa? Mwelekeo wetu ni upi? Je ni kutafuta mkate wetu wa kila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwanza nina imani ndogo na uzalendo unaoenda kujengwa kwa vijana huko jkt,,kipindi cha ujamaa walifanikiwa kwa sababu babu aliwabana kwenye kumiliki mali,,wote tukawa sawa, hata ukiiba huwezi...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Leo majira ya saa 22:45 nimepata ujumbe unaosoma, "Raia mwema fuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kudai haki yako. Mamlaka husika itakusikiliza ukifuata utaratibu. Utakapozivunja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
A good number of police officers, especially those in the lowranks, have very low education standard and worse, they haveno legal and human rights literacy at all. Our random researchshows that...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii ni aibu, jeshi la polisi halina camera?Bado wana ujasiri wa kuwataka waathirika walete picture?sasa km askari watategema hadi lini picture za waadhirika kuwaadhibu askari wake wanaingia ktk...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu nimepata taarifa za ndani ya kampuni ya uchimbaji wa Tanzanite, Tanzaniteone iliyopo Mererani kuwa watu toka idara ya uhamiaji wameenda kwa uchunguzi wa vibali vya wanaojidai ni ma expert...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Villagers in Bolivia’s southern highlands buried a man live in the grave of the woman he is suspected of having raped and murdered, an official said Thursday. Police had identified 17-year-old...
1 Reactions
0 Replies
964 Views
Habari zenu Wakuu! Naomba kujuzwa kama taarifa mbaya ya siri anayoandikiwa mtumishi wa umma na bosi wake inaweza kusababisha madhara kwa mtumishi husika? Hii ni kwa sababu nimekuwa na bosi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi karibuni tumesikia kwamba Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Mwigulu Nchemba anadaiwa kuwapeleka vijana katika makambi ya Itende na kwingineko ili wapate mafunzo kwa kazi maalumu ya kichama...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
This is a technical advice. There has been tremendous frustrating terroristic and/or gang attacks targeting CHADEMA leaders and its fans during party's campaigns rally, officially renowned as...
5 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Redirect
Imeandaliwa na John Haule wa Rumours Africa Ndugu msomaji, Leo nitazungumzia aina za viganja. Unajua, unaweza ukamjua mtu mwenye tabia ya udokozi kwa kumwangalia tu viganja vyake? Leo naomba...
1 Reactions
Replies
Views
nImeikuta hii kwa moja ya blogs leo, nini maoni yako mdau..... Ndugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ningekuwa na uwezo wa kuwakusanya waumini wa dini za Kiislam na Kikristo ningewalaumu kwa kugeuka kuwa watumwa wa dini kiasi cha dini kuwapelekesha kinyume na kusudi la Mungu kuhusu uumbaji wa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Watu wengi hasa waafrika wamekuwa wakifiri marekani ndio sehemu salama kuliko zote kwenye nyanja zote za kimaisha ndio maana kila leo kuna watu wanafikiri hili wafanikiwe au wakitaka kufanikiwa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajamii., naomba kujua nini kitatokea kwa raia anaegomea amri ya askari polisi. Kwa mfano anatuhumiwa kwa kosa fulani na askari akamweka chini ya ulinzi lakini kwa makusudi raia huyu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
They weigh 220 kilograms and there's 10 of them on one plane. Roadside saviors -- you may need a bigger wrench By CNNGo staff 2 February, 2012 There are many things about air travel we take...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom