Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
LEO nawafundisha njia fupi ya kumwita JINI mpole Kisha mwambie haja zako. nunua aina ya taa Za chemli mbili weka utambi wa Sanda iwe kama tambi kila chemli weka mafuta ya taa kipimo cha...
1 Reactions
124 Replies
42K Views
Katika mambo ambayo binadamu anatakiwa kulinda ni uhuru wake wa kutoa maoni na jinsi anavyoyaona mambo kwa upande wake. Uhuru huu ni msingi muhimu sana kwa jamii yeyote huru. Mtu anaweza kuwa na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni kwa jinsi gani watu wamekuwa wakipata passport halali za nchi ambazo wao si raia halali wa nchi hizo.? Tena inakwenda mbali zaidi unakuta passport hizo zina majina tofauti tofauti. Na ni kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Heshima kwenu Maintelegencia wa Jf. Katika huu Uzi kuna jambo moja kubwa linalojadiliwa na kukosa Jibu la moja kwa moja. Kuna huu mjadala wa Mungu mkuu kiongozi wa ulimwengu watu wanajadili uwepo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Napata ndoto za mapenzi kwa wiki mara mbili au tatu karbia mwezi mzima, yaani mara kwa mara. Kinachonishangaza ni kuwa despite of having sex mara kwa mara bado napatwa na ndoto hizo. Sielewi...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
  • Closed
Utangulizi Upotevu na uharibifu wa rasilimari za nchi ni mkubwa sana kiasi kwamba wachina wamefikia hatua ya kutorosha hadi kobe kupeleka kwao. Kwa ufupi ni kwamba biashara za magendo juu ya...
1 Reactions
43 Replies
12K Views
Kwanini Wazee wa Kaunda Suti (Usalama) huwa hawajipangagi pale katikati uwanjani kama polisi, Jeshi na Magereza siku ya sherehe za Kitaifa kama vile Uhuru au Muungano kwa ajili ya gwaride? Maana...
3 Reactions
41 Replies
7K Views
ukilinganisha na awamu ya nne sasa hivi naona wapo uptodate
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapa ni kwa uchache tu HERUFI A Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari...
3 Reactions
324 Replies
134K Views
Habari wanajanvi, nipo arusha nahitaji kujua zilipo meditation temples/classes kwa hapa arusha mjini. Natanguliza shukrani zangu za dhati!
0 Reactions
32 Replies
6K Views
UJUMBE MAALUM WA KIZALENDO KAMPUNI YA TANZANITE ONE NA UCHIMBAJI WA MADINI Kuna makampuni mengi yanayojihusisha na uzalishaji wa madini ya tanzanite ambapo kuna makampuni ya...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Wote wanahusika na usalama wa watanzania kwa namna moja au nyingine. Noel Paul Jenga (33)=>kaijipiga risasi moja kichwani , akiwa chumba cha kutunzia silaha cha TANZANIA POLICE ACADEMY, Dares...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari WanaJF. Karibuni tupambane kwa hoja. Wote wenye hoja wake hapa tupeane elimu na maarifa. Mimi nitatumia Quran na mazingira yanayotuzunguka. JE MUNGU YUPO? Kwangu mimi jibu ni NDIO. Nina...
0 Reactions
92 Replies
14K Views
By Tariq Nasheed.. kwa wasiojua, hidden colors ni documentary inayoelezea historia ya mtu mweusi (black man) like never before. Mimi nimeiangalia na kwa kweli ni documentary ambayo ni thought...
6 Reactions
74 Replies
15K Views
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo 1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya...
12 Reactions
165 Replies
37K Views
Wanaukumbi, Kwa wale wenye mazoea ya kusikiliza au kujisomea habari za UFOs (unidentified Flying Objects) au Aliens (watembezi/viumbe wanaofika hapa duniani toka sayari zingine) watakubaliana na...
4 Reactions
48 Replies
18K Views
Huwa nasikia mtu umri ukienda akili zinarudi kama mtoto, eti kuna uhusiano gani kati ya kuwa na umri mkubwa na akili kudumaa au kurudi nyuma?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hegelianism ni mbinu iliyogunduliwa na mwanafalsafa wa kijerumani,Georg.w.hegel njia hii hutumiwa na nchi zenye ushawishi mkubwa duniani pamoja na mitandao mingi ya siri msingi mkubwa wa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni kitabu kinaitwa CONFESSION OF AN ECONOMIC HITMAN. Iko hivi: Kabla nchi zetu maskini kukopeshwa zinafanyiwa study ya nguvu na wataalam wa uchumi kutoka IMF, WORLD BANK and the so wakopeshaji...
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Bandugu, Nimesoma kwenye gazeti la This day nikaona ni share na nyinyi: Pata habari, SERIOUS questions are being raised about the contract signed between the government and Cotecna for the...
1 Reactions
83 Replies
17K Views
Back
Top Bottom