Ifahamike kuwa kuanzia tarehe 11 hadi 20 ya kila mwezi wa nne kila mwaka huwa ni siku mahususi za kutoa sadaka (kafara) kwa Wajenzi Huru katika lugha ya kigeni ( Freemasons ) kwa kile kinachoamika...
ndugu zangu wanaJF, Kwanza kabisa habari zenu.
Ndugu zangu nimepata kuona mada na maswali mengi tu kuhusiana hayo hapo kwenye kichwa cha thread. Na kimsingi hii si thread,bali ni taarifa tu kwenu...
Oil and gas exploration companies operating in the country pay foreign private security companies US$3 million (about over 6bn/-) annually, which the Controller and Auditor General (CAG) says was...
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written.
But there's free will. So, you can choose or not to go to hell?
Also, when a man impregnates a woman, is he...
Wanaukumbi,
Christopher Columbus ni jina linalohusishwa uvumbuzi la bara la Amerika. Potelea mbali utata wa kama ndiye aliyefika wa kwanza maeneo hayo au la. Inajulikana pia kuwa Columbus alikuwa...
1. Money is hidden in Ideas: Which idea do you have? What idea has been on your mind, most dominant and you are afraid to carry it out. Someone once said that the grave is full of men with ideas...
Nimeona kwamba sasa hivi Dar popote unapo park gari unabidi ulipe.Sasa swali langu ni je fedha hizo zinaenda wapi?Maana sijaona sehemu zenye alama zozote za parking.Je ni kweli kuwa parking...
Known for being reliable, practical, ambitious and sensual, the people born under the Zodiac Sign Taurus have an eye for beauty. They tend to be good with finances, and hence, make efficient...
Kutokana na mazoezi ya ndege za kivita yanayoendelea siku za ivi karibuni, nilivutiwa kufatilia nguvu ya jeshi letu JWTZ Afrika.
Imeniuma sana kukuta jeshi letu linazidiwa nguvu na Kenya &...
Hii kitu inafichwa sana sijui kwa faida ya nani. Binadamu ameumbwa ili kuishi milele. Ukifa unazaliwa tena.
1. Kuna ushahidi India mwanafunzi aliyekufa kwa ajali ya pikipiki kazaliwa tena ana...
Bila shaka mmeikuta Jumapili mkiwa salama wana jamvi wote.
Adam na Hawa walikula tunda la mti ulokatazwa na mwenyez Mungu hivyo binadamu akapewa adhabu ya kifo.
Leo nimekuta mdudu kafa, katika...
Leo nimeota ndoto ambayo ipo hivi;
Kulikuwa kuna mtu alikuwa anafanya mapenzi na dada mmoja hivi chumba cha pili. Baada ya kumaliza akaingia kaka wa yule dada na kumkuta dada yake kashafanya...
Warioba afichua siri nzito
Aitaka serikali iharakishe kumpandisha kizimbani.
na Happiness Katabazi, Tanzania Daima~Sauti ya Watu.
FITINA, majungu na vitisho, sasa vinaonekana kuwachosha...
Ndugu zangu,
Kwanza napenda kumushukuru Mungu wetu anayetuwezesha kuwa hai mimi na wewe. Nimekutana na Hoja binafsi katika Gazeti la Mwananchi la leo 01.08.2010.
Mwandishi wa makala hii ni...
Hello great thinkers
Nilisoma geography siku za nyuma, niliambiwa na mwalimu wangu wa shule ya kata kuwa, kupatwa kwa jua hutokea pale mwezi unapokuwa katikati ya dunia na jua, hii hufanya jua...
Watu maarufu popote duniani wanao uwezo usio na shaka kabisa wa kumfutia mtu au familia yake dhambi, na wakishindwa basi kwa namna moja au nyingine wataififisha kwa wao nao kubeba kiasi ikiwa...
Nawasalimia wote wana JF,
Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho. Leo nitaongelea jinsi gani sauti inaweza ikakusaidia kujikuta unaongea na nafsi yako au kukurahisishia kufanya Lucid...
Nimekua nikijaribu kutafuta details ndogo ndogo kujaribu kuja na hitimisho langu kuwa kweli Mungu yupo.
Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu ni hili la Coincidence.
Kutokana na kukosa maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.