Hapa ni kwa uchache tu
HERUFI A
Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari...
UJUMBE MAALUM WA KIZALENDO
KAMPUNI YA TANZANITE ONE NA UCHIMBAJI WA MADINI
Kuna makampuni mengi yanayojihusisha na uzalishaji wa madini ya tanzanite ambapo kuna makampuni ya...
Wote wanahusika na usalama wa watanzania kwa namna moja au nyingine.
Noel Paul Jenga (33)=>kaijipiga risasi moja kichwani , akiwa chumba cha kutunzia silaha cha TANZANIA POLICE ACADEMY, Dares...
Habari WanaJF.
Karibuni tupambane kwa hoja. Wote wenye hoja wake hapa tupeane elimu na maarifa. Mimi nitatumia Quran na mazingira yanayotuzunguka.
JE MUNGU YUPO?
Kwangu mimi jibu ni NDIO. Nina...
By Tariq Nasheed..
kwa wasiojua, hidden colors ni documentary inayoelezea historia ya mtu mweusi (black man) like never before. Mimi nimeiangalia na kwa kweli ni documentary ambayo ni thought...
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya...
Wanaukumbi,
Kwa wale wenye mazoea ya kusikiliza au kujisomea habari za UFOs (unidentified Flying Objects) au Aliens (watembezi/viumbe wanaofika hapa duniani toka sayari zingine) watakubaliana na...
Hegelianism ni mbinu iliyogunduliwa na mwanafalsafa wa kijerumani,Georg.w.hegel
njia hii hutumiwa na nchi zenye ushawishi mkubwa duniani pamoja na mitandao mingi ya siri
msingi mkubwa wa...
Ni kitabu kinaitwa CONFESSION OF AN ECONOMIC HITMAN.
Iko hivi:
Kabla nchi zetu maskini kukopeshwa zinafanyiwa study ya nguvu na wataalam wa uchumi kutoka IMF, WORLD BANK and the so wakopeshaji...
Bandugu, Nimesoma kwenye gazeti la This day nikaona ni share na nyinyi:
Pata habari,
SERIOUS questions are being raised about the contract signed between the government and Cotecna for the...
Habari zenu wakuu.
Nimeshuhudia matukio kadhaa, mojawapo likiwa la kaka yangu ambaye alisota muda mrefu bila ya kazi, alisha tuma maombi sehemu mbalimbali lakini wapi.
Ndio rafiki mmoja...
Habari zenu wadau wote wa jukwaa hili la Jamii Intelligence, leo nimeleta mezani mada kuhusu TELEPORTATION. Naomba nitumie kingereza ili niweze kueleweka vizuri. TELEPORTATION is simply...
Jaman naomba kujuzwa kuhusu gundi zenye nguvu na zinazonasa haraka (powerful and fast glue) kama superglue miongoni mwa materials zilizoainishwa kuwa inaweza kunasa ni pamoja na zilizounda pakiti...
Wana Jukwaa salaam. Napenda kujuzwa, ni nini huwa kinasababisha moto kuwaka kwenye ile misitu ya nchi za magharibi (Marekani na Urusi) kwa mfano hasa kipindi cha baridi kali? Nijuavyo mimi dawa...
Many people are baffled by the difference between the God of Being and the God of Becoming, but the difference could not be starker. The first is impossible and the second certain. Why do so many...
Wa JF habari zenu!!
Kuna jambo ambalo linanisumbua ambalo nahitaji ufafunuzi wenu hasa wale watu ambao wamejaliwa kupewa jicho la tatu katika imani ya dunia hii.
Hapa dunian kuna watu ambao wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.