Who is IGP Mwema? CV Please!

tartoo

Senior Member
Jul 2, 2010
129
2
Huyu ndugu ni mtumishi wa umma.

Baadhi ya maamuzi afanyayo yamejikita kwenye hisia na fanatism kwa chama tawala badala ya misingi ya kisheria.

Ni wajibu, na haki yetu kumdadavua huyu ndugu yetu tufahamu alifikafikaje huko na pia kufahamu reasoning na judgement capacity yake imekaa vipi.

Waliosoma naye mtujuze tafadhali.
 

Matarese

JF-Expert Member
Aug 30, 2009
527
41
Tartoo, kwani wewe ni mgeni hapa TZ? hapa hakuna kitu kama misingi ya sheria, unachoelekezwa na chama tawala ndicho unachofanya!
bila hivyo kibarua kitaota majani......
 

mams

JF-Expert Member
Jul 19, 2009
614
30
Nadhani ana first degree na experience ya kazi. wenye data watumwagie
 

mpingomkavu

Member
Nov 26, 2010
94
0
Huyu bwana ni msomi ana LL.B, alishawahi pata kashfa akiwa RPC mbeya mahabusu wapata 26 walikufa kwa kukosa hewa kwenye kasero kadogo, baada ya hapo akahamishiwa police Interpol mkuru wa kaya baada ya kupata ukuru akamteua kuwa IGP, lkn ni shemeji yake kabisaaaaa na mh. JK, SASA HAPO PIMA KAZI
 

Mfumwa

JF-Expert Member
Aug 29, 2008
1,456
36
Huyu bwana ni msomi ana LL.B, alishawahi pata kashfa akiwa RPC mbeya mahabusu wapata 26 walikufa kwa kukosa hewa kwenye kasero kadogo, baada ya hapo akahamishiwa police Interpol mkuru wa kaya baada ya kupata ukuru akamteua kuwa IGP, lkn ni shemeji yake kabisaaaaa na mh. JK, SASA HAPO PIMA KAZI

Wakati Mahabusu wanafariki Mbeya, Mwema alikuwa likizo. Wale waliotuhumiwa kuwaweka Mahabusu katika chumba kidogo ambao walikuwa Maaskari, walikamatwa na kuwekwa ndani kusubiri kosa la kusababisha vifo. Lakini nao wakatoroka, Mwema akaahirisha likizo kwenda kushiriki zoezi la kuwatafuta. Wakakamatwa wote kwa uongozi wa Mwema. Akapandishwa cheo kwa interpol.

Hajaoa Ndugu wa Kikwete, Mama yake Khadija Mwema hana undugu na Kikwete kabisa. Mke wa pili pia.
 

MNDEE

JF-Expert Member
Jul 10, 2009
491
67
Huyu bwana ni msomi ana LL.B, alishawahi pata kashfa akiwa RPC mbeya mahabusu wapata 26 walikufa kwa kukosa hewa kwenye kasero kadogo, baada ya hapo akahamishiwa police Interpol mkuru wa kaya baada ya kupata ukuru akamteua kuwa IGP, lkn ni shemeji yake kabisaaaaa na mh. JK, SASA HAPO PIMA KAZI

CV yake nzima sina lakini huyu bwana alishapiga mzigo BOT, akarudi serikalini baadae akapata uIGP. Kwa wanaomfahamu ni mchapa kazi na ukienda na issue kwake atakusikiliza na ataifanyia kazi.
 

Bull

JF-Expert Member
Nov 4, 2008
1,094
246
Mwema nadhani kaleta mabadiliko makumbwa ktk jeshi la police ukilinganisha na tunakotoka, Evidence ya hivi karibuni ktk uchaguzi, Polisi hawakutumia mabavu kama tulivyo zowea huko nyuma

Hongera S Mwema keep it up !!!!!!
 

YeshuaHaMelech

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
2,599
34
Mwema nadhani kaleta mabadiliko makumbwa ktk jeshi la police ukilinganisha na tunakotoka, Evidence ya hivi karibuni ktk uchaguzi, Polisi hawakutumia mabavu kama tulivyo zowea huko nyuma

Hongera S Mwema keep it up !!!!!!
read the heading and put your points!
Thread hii sio ya pongezi. kama una info kuhusu CV yake, mwaga hapa!
 

mama mkunga

Member
Aug 2, 2007
12
0
huyu jamaa ni mchapakazi sana maana sasa ana mchakato wa kukiboresha kitengo cha Forensic science katika jeshi la polisi.
Tanzania nasi tutajidai kwa kupitia uongozi wake.
 

The Planner

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
357
118
The little i know about Mwema ni kwamba ana shahada ya kwanza ya sheria (LLB) kutoa UDSM.,alipata kuwa RPC-Mbeya, then akaenda INTERPOL-Nairobi, mpaka anachukua U-IGP.,but if we compare him with the other guy from Morogoro at least he has some added value in his tenure of service
 

Utingo

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
9,447
6,020
Wakati Mahabusu wanafariki Mbeya, Mwema alikuwa likizo. Wale waliotuhumiwa kuwaweka Mahabusu katika chumba kidogo ambao walikuwa Maaskari, walikamatwa na kuwekwa ndani kusubiri kosa la kusababisha vifo. Lakini nao wakatoroka, Mwema akaahirisha likizo kwenda kushiriki zoezi la kuwatafuta. Wakakamatwa wote kwa uongozi wa Mwema. Akapandishwa cheo kwa interpol.

Hajaoa Ndugu wa Kikwete, Mama yake Khadija Mwema hana undugu na Kikwete kabisa. Mke wa pili pia.

Yaani ana wake wawili?
 

Margwe

JF-Expert Member
Apr 30, 2008
255
48
Personally, I respect the man, for being attentive .
At least heard on how he handled issue ya usalama huko Hanang',, ingawa much is to be done but he showed the thugs that they can try to bribe others if they want but not him.
 

tartoo

Senior Member
Jul 2, 2010
129
2
huyu jamaa ni mchapakazi sana maana sasa ana mchakato wa kukiboresha kitengo cha Forensic science katika jeshi la polisi.
Tanzania nasi tutajidai kwa kupitia uongozi wake.
soma heading inataka nini sio huu upupu.ndio maana mnafeli mtihani.
 

Monstgala

JF-Expert Member
Aug 25, 2009
1,081
1,011
soma heading inataka nini sio huu upupu.ndio maana mnafeli mtihani.

Acha udictator wa kizamani..wanaochangia wote wanamchango fulani kuhusu post uliyorusha.We si umeuliza Mwema ni nani? Sasa limitation za nini katika michango yao? utaendea kula nyundo za kichwa sana ukilazimisha mawazo yako binafsi katika hii forum.
 

YeshuaHaMelech

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
2,599
34
Acha udictator wa kizamani..wanaochangia wote wanamchango fulani kuhusu post uliyorusha.We si umeuliza Mwema ni nani? Sasa limitation za nini katika michango yao? utaendea kula nyundo za kichwa sana ukilazimisha mawazo yako binafsi katika hii forum.
Shhhhhh!
Who is IGP Mwema? CV Please!
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom