Malilambwiga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 485
- 296
Kuna gari T.435 AXE Toyota Rav4. Gari hii inatumiwa na maafisa wa uhamiaji kupita kila eneo walipo wageni hususani wenye asili ya Asia wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume cha sheria.
Wanachokifanya ni kuwatisha wahusika kisha wakishaonwa faragha biashara inaishia hapo.
Wiki moja iliyopita nimeshuhudia kwa macho yangu katika barabara ya Kilwa eneo la Mbagala wakiingia Yard mbili tofauti na mambo yalikuwa kama kawaida hawaogopi chochote wala hawana aibu.
Waziri tupia macho gari hili wanaoitumia wanakuhujumu.
Usiishie viwanja vya ndege tu na ukitaka kufanikiwa, idara hii igeuze badala ya kuwa idara inayojitegemea iwe ni kikosi cha Polisi na Kamishna wake awajibike kwa Inspekta Jenerali wa Polisi, hapo kazi zitaenda.
Wanachokifanya ni kuwatisha wahusika kisha wakishaonwa faragha biashara inaishia hapo.
Wiki moja iliyopita nimeshuhudia kwa macho yangu katika barabara ya Kilwa eneo la Mbagala wakiingia Yard mbili tofauti na mambo yalikuwa kama kawaida hawaogopi chochote wala hawana aibu.
Waziri tupia macho gari hili wanaoitumia wanakuhujumu.
Usiishie viwanja vya ndege tu na ukitaka kufanikiwa, idara hii igeuze badala ya kuwa idara inayojitegemea iwe ni kikosi cha Polisi na Kamishna wake awajibike kwa Inspekta Jenerali wa Polisi, hapo kazi zitaenda.