Uchawi: Nchi zenye IQ ndogo Africa na imani zinazotokana na ujinga

Je unakubali au unanipinga uzi huu wa swala la uchawi na imani za uovu.


  • Total voters
    12

Kessy Wa Kilimanjaro

JF-Expert Member
Jan 23, 2016
327
208
Ukweli ni kwamba akili ni uhuru kutoka kwenye vifungo vya ujinga na imani za uongo.

Nilikuwa nikisikia hadithi nyingi utotoni kuhusu wanga na majini na wachawi wengi tu. Kama umekulia movie za wa Nigeria, unajua jinsi hizi filamu zinavyo endekeza hizi imani. Hata mitandao ya habari ya nchi za nje zinaandika kuhusu Wafrika na tunavyong'ang'ania kwa nguvu hizi imani. Ambacho kimenilazimisha niandike kuhusu hili swala ni kwamba hizi imani zinapo tupeleka na matendo wanayo tenda hawa watu wenye hizi imani.

Ukiangalia nchi zinazo amini uchawi na kung'ang'ania dini za wakoloni wao utaona kwamba hawa watu wakipimwa IQ katika kiwango cha kimataifa hizi nchi ndiyo ziko chini kabisa, yani za mwisho.

Countries Ranked by Average IQ | Statistic Brain
7 Countries That Still Kill Accused Witches | Care2 Causes
Belief in Witchcraft Widespread in Africa.

Ukisoma hiyo article ukaangalia nchi zinazo fanya matendo haya ya utaona Saudi Arabia, Tanzania, Gambia, Nepal, India, Papua New Guinea, Uganda and the rest unakuta kwamba hizi inchi IQ zao zinaanzia kwenye average ya 65 ambayo ni ya kichaa basically na hazizidi 85 ambayo ni ya average African american.

Ukisoma kuhusu IQ utajua kwamba chechote chini ya 70 ni kichaa au "retarded" na nchi zilizo endelea sana sana wa Asia mashariki au Oriental Asians kama Hong Kong unakuta kwamba IQ zao average ni 116 which is exceptional au ni nzuri sana kwa average.

Hata Scandinavian countries IQ zao zinaanzia kwenye 90's zinaenda juu kiaverage. Na unachoona kwenye hizi inchi zenye IQ kubwa zaidi ni kwamba hausikii wakiwakamataa wazee na kuwachoma moto kisa wanafikiri ni wachawi. Husikii raisi wao akisema ametumia uchawi kushinda uchaguzi akati kila mtu anajua ameiba kura. Hausiki wakisema wanaamini miungu ambayo hawajawai kuiona. Husikii kwamba wanauwa watoto ambao hata hawawezi kujitetea kisa uchawi. Ambacho unaona ni maendeleo ya kidemokrasia, Technologia na ya kiPhilosophia.

Mtu yeyote anayetumia akili anaweza kukwambia kwamba kabla ya kumuhukumu mtu lazima utowe ushuhuda wa kisayansi kwamba huyo mtu ni kweli ana kosa. Unachokuta kwenye kesi hizi za uchawi na kusingizia watu ni kwamba hamna ushuhuda, wala evidence yeyote. Ni neno la mtu kupambana na neno la muhukumiwa. Mahakam yeyote duniani inaweza kukwambia kwamba hiyo ni upuuzi kumuhukumu mtu bila ushuhuda.

Mambo mengi ambayo watu wazamani kwenye jamii za magharibi hawakuweza kuyajibu walihisi ni uchawi au miungu. Mambo hayo leo yame fafanuliwa na sayansi kwamba siyo uchawi lakini ni physics au chemistry au biology inayo yasababisha. Lakini unakuta kwamba kwenye nchi nilizo taja kwamba hamna maendeleo kwenye hizo sekta au watu wanaamua kuziona hizo sekta kama masomo tu ambayo hayaitajiki kwenye kutafuta ukweli kwenye maswala ya uchawi.

Chanzo cha huu ujinga ni kutokana na isolation of certain races au kwa kiswahili utengano wa vikundi na jamii za watu. Huu mtengano unatokana na watu kuwa wakiishi kwenye mazingira ambayo ni magumu kusafiri na wakiwa hawakutani na watu wengine wenye fikira nyingine za kupanuwa akili zao.

Pia unakuta watu wakiwa wanaishi kwenye utengano na vikundi vyao wanaowana wenyewe kwa wenyewe, tabia ambayo inahusiana na watoto kuwa na akili ndogo. Ukiongeza imani za wakoloni juu ya hizo akili unakuta kwamba inafanya mambo yawe mabaya zaidi.

Lakini tunacho hitaji kujua ni kwamba ufumbuzi wa hili tatizo lipo. Kama vile unavyoweza kumfundisha mbwa ambaye ana akili ndogo kuliko binadamu, kwamba asinye ndani ya nyumba, pia unaweza kumfundisha binadamu mwenye akili ndogo kujali haki za binadamu mwenzake, na kufikiri kupitia philosophia na hekima. Hekima siyo akili kwasababu akili unazaliwa nayo lakini hekima ni uwezo unaohitaji mazoezi ya kiphilosophia na yakiakili ya kila siku, wazazi wakueleweka na ubishi wa mwanasayansi yani in english its called Skepticism.

Ufumbuzi wa hili tatizo utachukua zaidi ya kizazi kimoja kukamilika. Ufumbuzi huu utatakiwa uanze na wazazi na jamii kutokusambaza hadithi ambazo wao wenyewe hawawezi kushuhudia.

Wazazi watatakiwa kuwasomea watoto vitabu vya wasomi siyo vitabu vya dini, na kuwafundisha kusoma philosophia na sayansi. Walimu watahitaji kufundisha kupitia hekima na siyo nguvu na vitisho. Tutahitaji kuondoa filamu za kiafrika zinazo danganya watu.

Tutahitaji kufafanuwa ukweli wa vyanzo vya mambo ambayo watu wanafikiri yametokana na uchawi wakati sayansi inaweza kuyafumbua.

Na kumalizia nahitaji kusema kwamba tunahitaji kukubali ukweli kwamba hizi dini na imani zimetokana na watu kutokuwa na hekima na zinatuzuwia kuendelea kama nchi huku Africa.​
 
  1. Ukweli ni kwamba akili ni uhuru kutoka kwenye vifungo vya ujinga na imani za uongo.
  2. Nilikuwa nikisikia hadithi nyingi utotoni kuhusu wanga na majini na wachawi wengi tu. Kama umekulia movie za wa Nigeria, unajua jinsi hizi filamu zinavyo endekeza hizi imani. Hata mitandao ya habari ya nchi za nje zinaandika kuhusu Wafrika na tunavyong'ang'ania kwa nguvu hizi imani. Ambacho kimenilazimisha niandike kuhusu hili swala ni kwamba hizi imani zinapo tupeleka na matendo wanayo tenda hawa watu wenye hizi imani.
  3. Ukianagalia nchi zinazo amini uchawi na kung'ang'ania dini za wakoloni wao utaona kwamba hawa watu wakipimwa IQ katika kiwango cha kimataifa hizi nchi ndiyo ziko chini kabisa, yani zamwisho.
  4. Countries Ranked by Average IQ | Statistic Brain
  5. 7 Countries That Still Kill Accused Witches | Care2 Causes
  6. Belief in Witchcraft Widespread in Africa
  7. Ukisoma hiyo article ukaangalia nchi zinazo fanya matendo haya ya utaona Saudi Arabia, Tanzania, Gambia, Nepal, India, Papua New Guinea, Uganda and the rest unakuta kwamba hizi inchi IQ zao zina anzia kwenye average ya 65 ambayo ni ya kichaa basically na hazizidi 85 ambayo ni ya average African american.
  8. Ukisoma kuhusu IQ utajua kwamba chechote chini ya 70 ni kichaa au "retarded" na nchi zilizo endelea sana sana wa Asia mashariki au Oriental Asians kama Hong Kong unakuta kwamba IQ zao average ni 116 which is exceptional au ni nzuri sana kwa average. Hata Scandinavian countries IQ zao zinaanzia kwenye 90's zinaenda juu kiaverage. Na unachoona kwenye hizi inchi zenye IQ kubwa zaidi ni kwamba hausikii wakiwakamataa wazee na kuwachoma moto kisa wanafikiri ni wachawi. Husikii raisi wao akisema ametumia uchawi kushinda uchaguzi akati kila mtu anajua ameiba kura. Hausiki wakisema wanaamini miungu ambayo hawajawai kuiona. Husikii kwamba wanauwa watoto ambao hata hawawezi kujitetea kisa uchawi. Ambacho unaona ni maendeleo ya kidemokrasia, Technologia na yakiPhilosophia.
  9. Mtu yeyote anayetumia akili anaweza kukwambia kwamba kabla ya kumuhukumu mtu lazima utowe ushuhuda wa kisayansi kwamba huyo mtu ni kweli ana kosa. Unachokuta kwenye kesi hizi za uchawi na kusingizia watu ni kwamba hamna ushuhuda, wala evidence yeyote. Ni neno la mtu kupambana na neno la muhukumiwa. Mahakam yeyote duniani inaweza kukwambia kwamba hiyo ni upuuzi kumuhukumu mtu bila ushuhuda.
  10. Mambo mengi ambayo watu wazamani kwenye jamii za magharibi hawakuweza kuyajibu walihisi ni uchawi au miungu. Mambo hayo leo yame fafanuliwa na sayansi kwamba siyo uchawi lakini ni physics au chemistry au biology inayo yasababisha. Lakini unakuta kwamba kwenye nchi nilizo taja kwamba hamna maendeleo kwenye hizo sekta au watu wanaamua kuziona hizo sekta kama masomo tu ambayo hayaitajiki kwenye kutafuta ukweli kwenye maswala ya uchawi.
  11. Chanzo cha huu ujinga ni kutokana na isolation of certain races au kwa kiswahili utengano wa vikundi na jamii za watu. Huu mtengano unatokana na watu kuwa wakiishi kwenye mazingira ambayo ni magumu kusafiri na wakiwa hawakutani na watu wengine wenye fikira nyingine za kupanuwa akili zao. Pia unakuta watu wakiwa wanaishi kwenye utengano na vikundi vyao wanaowana wenyewe kwa wenyewe, tabia ambayo inahusiana na watoto kuwa na akili ndogo. Ukiongeza imani za wakoloni juu ya hizo akili unakuta kwamba inafanya mambo yawe mabaya zaidi.
  12. Lakini tunacho hitaji kujua ni kwamba ufumbuzi wa hili tatizo lipo. Kama vile unavyoweza kumfundisha mbwa ambaye ana akili ndogo kuliko binadamu, kwamba asinye ndani ya nyumba, pia unaweza kumfundisha binadamu mwenye akili ndogo kujali haki za binadamu mwenzake, na kufikiri kupitia philosophia na hekima. Hekima siyo akili kwasababu akili unazaliwa nayo lakini hekima ni uwezo unaohitaji mazoezi ya kiphilosophia na yakiakili ya kila siku, wazazi wakueleweka na ubishi wa mwanasayansi yani in english its called Skepticism.
  13. Ufumbuzi wa hili tatizo utachukua zaidi ya kizazi kimoja kukamilika. Ufumbuzi huu utatakiwa uanze na wazazi na jamii kutokusambaza hadithi ambazo wao wenyewe hawawezi kushuhudia. Wazazi watatakiwa kuwasomea watoto vitabu vya wasomi siyo vitabu vya dini, na kuwafundisha kusoma philosophia na sayansi. Walimu watahitaji kufundisha kupitia hekima na siyo nguvu na vitisho. Tutahitaji kuondoa filamu za kiafrika zinazo danganya watu. Tutahitaji kufafanuwa ukweli wa vyanzo vya mambo ambayo watu wanafikiri yametokana na uchawi wakati sayansi inaweza kuyafumbua. Na kumalizia nahitaji kusema kwamba tunahitaji kukubali ukweli kwamba hizi dini na imani zimetokana na watu kutokuwa na hekima na zinatuzuwia kuendelea kama nchi huku Africa.
Mkuu naona hapa ulikuwa unazungumzia uchawi halafu mada yako imebase kwenye dini.
 
Mkuu naona hapa ulikuwa unazungumzia uchawi halafu mada yako imebase kwenye dini.

Nimezikusanya zote kwenye kikundi cha imani za uovu. Nimeziita imani za uovu kwasababu watu wanazitumia hizo imani bila kuzithibitisha na wanazifanya vyanzo vya kuwaumiza, kusingizia na kuua watu wengine.
 
Ukweli ni kwamba akili ni uhuru kutoka kwenye vifungo vya ujinga na imani za uongo.

Nilikuwa nikisikia hadithi nyingi utotoni kuhusu wanga na majini na wachawi wengi tu. Kama umekulia movie za wa Nigeria, unajua jinsi hizi filamu zinavyo endekeza hizi imani. Hata mitandao ya habari ya nchi za nje zinaandika kuhusu Wafrika na tunavyong'ang'ania kwa nguvu hizi imani. Ambacho kimenilazimisha niandike kuhusu hili swala ni kwamba hizi imani zinapo tupeleka na matendo wanayo tenda hawa watu wenye hizi imani.

Ukiangalia nchi zinazo amini uchawi na kung'ang'ania dini za wakoloni wao utaona kwamba hawa watu wakipimwa IQ katika kiwango cha kimataifa hizi nchi ndiyo ziko chini kabisa, yani za mwisho.

Countries Ranked by Average IQ | Statistic Brain
7 Countries That Still Kill Accused Witches | Care2 Causes
Belief in Witchcraft Widespread in Africa.

Ukisoma hiyo article ukaangalia nchi zinazo fanya matendo haya ya utaona Saudi Arabia, Tanzania, Gambia, Nepal, India, Papua New Guinea, Uganda and the rest unakuta kwamba hizi inchi IQ zao zinaanzia kwenye average ya 65 ambayo ni ya kichaa basically na hazizidi 85 ambayo ni ya average African american.

Ukisoma kuhusu IQ utajua kwamba chechote chini ya 70 ni kichaa au "retarded" na nchi zilizo endelea sana sana wa Asia mashariki au Oriental Asians kama Hong Kong unakuta kwamba IQ zao average ni 116 which is exceptional au ni nzuri sana kwa average.

Hata Scandinavian countries IQ zao zinaanzia kwenye 90's zinaenda juu kiaverage. Na unachoona kwenye hizi inchi zenye IQ kubwa zaidi ni kwamba hausikii wakiwakamataa wazee na kuwachoma moto kisa wanafikiri ni wachawi. Husikii raisi wao akisema ametumia uchawi kushinda uchaguzi akati kila mtu anajua ameiba kura. Hausiki wakisema wanaamini miungu ambayo hawajawai kuiona. Husikii kwamba wanauwa watoto ambao hata hawawezi kujitetea kisa uchawi. Ambacho unaona ni maendeleo ya kidemokrasia, Technologia na ya kiPhilosophia.

Mtu yeyote anayetumia akili anaweza kukwambia kwamba kabla ya kumuhukumu mtu lazima utowe ushuhuda wa kisayansi kwamba huyo mtu ni kweli ana kosa. Unachokuta kwenye kesi hizi za uchawi na kusingizia watu ni kwamba hamna ushuhuda, wala evidence yeyote. Ni neno la mtu kupambana na neno la muhukumiwa. Mahakam yeyote duniani inaweza kukwambia kwamba hiyo ni upuuzi kumuhukumu mtu bila ushuhuda.

Mambo mengi ambayo watu wazamani kwenye jamii za magharibi hawakuweza kuyajibu walihisi ni uchawi au miungu. Mambo hayo leo yame fafanuliwa na sayansi kwamba siyo uchawi lakini ni physics au chemistry au biology inayo yasababisha. Lakini unakuta kwamba kwenye nchi nilizo taja kwamba hamna maendeleo kwenye hizo sekta au watu wanaamua kuziona hizo sekta kama masomo tu ambayo hayaitajiki kwenye kutafuta ukweli kwenye maswala ya uchawi.

Chanzo cha huu ujinga ni kutokana na isolation of certain races au kwa kiswahili utengano wa vikundi na jamii za watu. Huu mtengano unatokana na watu kuwa wakiishi kwenye mazingira ambayo ni magumu kusafiri na wakiwa hawakutani na watu wengine wenye fikira nyingine za kupanuwa akili zao.

Pia unakuta watu wakiwa wanaishi kwenye utengano na vikundi vyao wanaowana wenyewe kwa wenyewe, tabia ambayo inahusiana na watoto kuwa na akili ndogo. Ukiongeza imani za wakoloni juu ya hizo akili unakuta kwamba inafanya mambo yawe mabaya zaidi.

Lakini tunacho hitaji kujua ni kwamba ufumbuzi wa hili tatizo lipo. Kama vile unavyoweza kumfundisha mbwa ambaye ana akili ndogo kuliko binadamu, kwamba asinye ndani ya nyumba, pia unaweza kumfundisha binadamu mwenye akili ndogo kujali haki za binadamu mwenzake, na kufikiri kupitia philosophia na hekima. Hekima siyo akili kwasababu akili unazaliwa nayo lakini hekima ni uwezo unaohitaji mazoezi ya kiphilosophia na yakiakili ya kila siku, wazazi wakueleweka na ubishi wa mwanasayansi yani in english its called Skepticism.

Ufumbuzi wa hili tatizo utachukua zaidi ya kizazi kimoja kukamilika. Ufumbuzi huu utatakiwa uanze na wazazi na jamii kutokusambaza hadithi ambazo wao wenyewe hawawezi kushuhudia.

Wazazi watatakiwa kuwasomea watoto vitabu vya wasomi siyo vitabu vya dini, na kuwafundisha kusoma philosophia na sayansi. Walimu watahitaji kufundisha kupitia hekima na siyo nguvu na vitisho. Tutahitaji kuondoa filamu za kiafrika zinazo danganya watu.

Tutahitaji kufafanuwa ukweli wa vyanzo vya mambo ambayo watu wanafikiri yametokana na uchawi wakati sayansi inaweza kuyafumbua.

Na kumalizia nahitaji kusema kwamba tunahitaji kukubali ukweli kwamba hizi dini na imani zimetokana na watu kutokuwa na hekima na zinatuzuwia kuendelea kama nchi huku Africa.​

Kwel kabisa mkuu eti unamkata mwiz mkono sheria kupitia iman hiyo kumsingizia mungu, kumchoma au kumkata mapanga ajuza kisa mchawi. Kwel tuna iQ indigo sana, tanzania udini na iman ya ushirikina ndo chanzo
 
Kwani mkuu huko unakotolea mfano huo hakuna hizo imani au wao hawaziabudu na kuziendekeza.......???
 
Mada nzuri mkuu, Mapungufu ni upuuzaji wa Imani ya kiroho sishauri sana watoto wafundishwe mafundisho ya dini mana yana mipaka. na yanafunga mtu asiulize zaidi lakini Elimu ya roho ni safi sana Hao unawaita wana IQ kubwa wako imara kiroho na matokeo ya kuwa strong kiroho ndio tunaona mabadiliko ya physical things kama technology ,Dini ya kiislamu na kikiristo si mbaya ila hazijajitosheleza na Hazitaki kupokea maarifa mapya zaidi ya yale yaliondikwa kale na walimu wetu kama yesu,mussa ibrahimu,mtume muhamad na wengine tunaheshimu michango ya watu hao na vitabu vyao shida kizazi cha sasa kinakataa kupokea maarifa mapya na kuhojiwa
 
hivi vitu vinakua kwa pamoja always katika nchi za africa
1.IMANI KUBWA YA DINI
2.IMANI KUBWA YA UCHAWI
3.UMASIKINI MKUBWA
4.UWEZODOGO WA KUFIKIRI (low i.q)

ukienda nchi zilizoendelea hivi vitu unakuta havipo kabisa au vipo kwa kiasi kidogo sana
ila nchi zote za africa vimekithiri
 
Kwel kabisa mkuu eti unamkata mwiz mkono sheria kupitia iman hiyo kumsingizia mungu, kumchoma au kumkata mapanga ajuza kisa mchawi. Kwel tuna iQ indigo sana, tanzania udini na iman ya ushirikina ndo chanzo
Ulishawahi kuona satanism mafia mobs na drug dealers wanayoyafanya? Ingia mtandao wa mundanarco.com angalia kilichopo huko kisha rudi hapa
 
Hii ni brainwashed moja mbaya sana na utumwa wa kimawazo uliopitiliza. ..huko kwa wenzetu wanaojifanya hawaabudu uchawi wana mpaka vyuo vya kufundishia haya makitu
Ndio nikakuita huku maana najua wewe umebobea kwenye hizi mambo.....sasa inakuwaje jamaa atudanganye tu kirahisi rahisi.....tena inawezekana jamaa kasoma mahali na kaileta kama ilivyo.....
 
Utamaduni ambao dini ni sehemu muhimu unahusiana sana na maendeleo ya binadamu. waafrika wanaathiriwa sana na utamaduni wao kimaendeleo. wengi wanaamini sana kuhusu uchawi mapepo na miujiza na kupingana na hali halisi.
 
Mleta mada usitufanye watoto wa dogo haya maisha ya uchawi na ufia dini hata hao wazungu wanaishi au waliishi tena huko kwao vipo officially kabisa kama mambo ya kuwanga na uganga. Tatizo letu sisi ni kujidharau tu tunajiona mataahira au kuonana matahira ila uchawi hupo Dunia mzima kama unabisha sema mi nikuroge. Nishafanya kazi na mataifa mbalimbali wanaiman za hovyo kana kwamba akifanya mswahili anaitwa Mwanga na kingine kilichotufikisha hapa ni roho mbaya tu mtu anamautundu yake anajua ila agawi kwa wenzie ataki wajue kama tungekuwa tuna share tu haya ma idea isingekuwa kitu cha ajabu sababu ingeonekana na kawaida tu au mila na desturi. Fikiri ujinga wanaodanya wahindu katika majumba yao ya ibada afanye mbongo ataonekana anaroga lakini wao tunaona kawaida.
 
Utamaduni ambao dini ni sehemu muhimu unahusiana sana na maendeleo ya binadamu. waafrika wanaathiriwa sana na utamaduni wao kimaendeleo. wengi wanaamini sana kuhusu uchawi mapepo na miujiza na kupingana na hali halisi.
mzamifu hiyo hali halisi ni ipi na kwa muktadha gani
 
MKUU UNAWEZA KUTOLEA UFAFANUZI MAELEZO YAKO HAYA?


"Mambo mengi ambayo watu wazamani kwenye jamii za magharibi
hawakuweza kuyajibu walihisi ni uchawi au miungu."
 
Ndio nikakuita huku maana najua wewe umebobea kwenye hizi mambo.....sasa inakuwaje jamaa atudanganye tu kirahisi rahisi.....tena inawezekana jamaa kasoma mahali na kaileta kama ilivyo.....
Yani unajua kwenye viwango vya uchawi sisi bado sana...sisi bado tuko kwenye ule uchawi wa kijima wakati wenzetu wameshafika pazuri mpaka kuufanya uchawi ni elimu ya kujivunia wakiupamba kwa majina mazuri ya kuvutia
 
Kwa nini mtu anahisi uchawi ni kitu kibaya/kizuri, je kama ni kizuri kuna umuhimu wa kuhalalisha Uchawi ili iwe kama somo katika shule zetu na tutafaidika vp?
 
Yani unajua kwenye viwango vya uchawi sisi bado sana...sisi bado tuko kwenye ule uchawi wa kijima wakati wenzetu wameshafika pazuri mpaka kuufanya uchawi ni elimu ya kujivunia wakiupamba kwa majina mazuri ya kuvutia
Hata mimi nakumbuka babu yangu kabla hajafavaliwahi kuniambia kuwa hakuna kiumbe mchawi na anayeabudu uchawi kama mzungu.....ingawa nilikuwa sifahamu ni uchawi upi aliokuwa akiusemea babu lakini mpaka leo bado naamini kuwa wazungu ni wachawi balaa....
 
Kwa nini mtu anahisi uchawi ni kitu kibaya/kizuri, je kama ni kizuri kuna umuhimu wa kuhalalisha Uchawi ili iwe kama somo katika shule zetu na tutafaidika vp?
Tumeshapotoshwa na kutekwa akili zetu na wazungu hivyo inahitaji nguvu ya ziada kuweza kulitekeleza hili
 
Hivi tulivyo kwa sehemu kubwa ni kama walivyo weusi wenzetu kwenye mataifa yaliyoendelea.

Tumefanywa tuwe hivi na wanataka na watahakikisha tuwe hivi,maana kwao ni bonge la dili.

Kazi ya mataifa yaliyoendelea.
 
Back
Top Bottom