F-35 ni mradi wa nchi mbalimbali zilizoshirikiana kuitengeneza hii ndege ndo maana ukiachana na Israeli, Japan pia atauziwa hizi ndege, Wingereza, Australia, Canada pia alikua na mpango kuzinunua...
KWANINI WACHAGGA HUPENDA KWENDA KWAO MWISHONI MWA MWAKA?
Nimeamua kuandika kipande cha waraka huu kutokana na kuwepo kwa dhana nyingi potofu juu ya wachagga kwenda kwao kipindi cha mwisho wa...
Habari zenu wanaJf.
Poleni kwa waliopatwa na matatizo na hongereni nyote mlifanikisha mipango yenu,Shukrani za pekee anastahiki MwenyeziMungu Mkusidiwa.
Kama mdau na mfuatiliaji wa habari za...
nimekuwa nikifuatilia kisa cha maisha ya Edward Snowden agent wa shirika la National Security Agency ya marekani, na jinsi anavyotamka maneno mazito sana... A lot of people in2008 voted for...
Nyayo zilizoachwa na binadamu wa kale mamilioni ya miaka iliyopita zimegunduliwa nchini Tanzania karibu na pahala ambapo nyayo sawa na hizo ziligunduliwa miaka ya 1970.
Alama hizo za miguu...
Salaam wakuu
Leo kijana wenu nimewaza sana kuna jambo silielewi..lakini naamini hapa wapo wahusika wakunisaidia au hata wale wenye ujuzi
Hivi pesa inapotengenezwa(kiwandani sijui) taifa...
Wadau katika umri wangu wote na uzee huu nilionao sijawahi kusikia au kuona rais yeyote yule duniani amekwenda bank au ATM au mpesa kudraw mshahara wake, awe amestaafu au bado amiri jeshi mkuu...
Kagame ambaye ni rais wa RWANDA,mara nyingi mbele ya mataifa amejinasibu kuwa ni mwenye kuleta umoja kwa wanyarwanda ili kuwasahaulisha makovu ya mauaji ya kimbari.Ninaomba kufahamishwa,hivi...
Limepanga na mungu!!!
Kuna usemi usemao kwamba kila jambo baya au zuri limepangwa na mungu na hasa kwa dini ya kislamu naomba mtujuze au tupate majibu ya neno hili
Kuna neno hili mungu humpa...
Heshima kwenu wanajamvi
Napenda kuleta kwenu hii hoja tusaidiane kuelimishana,
Nimesoma na jamaa mmoja kwa sasa ni Padre wa Shirika fulani ndani ya Kanisa Katoliki, huyu bwana kipindi tuko shule...
For the first time, atheists and other nonreligious persons are explicitly named as a class protected by the law.
President Barack Obama has signed into law the Frank Wolf International Religious...
Almost every cell in your physical body is replaced every 11 months. Except for brain cells, which are replaced after 7 years.
And every cell within you, has a perfect blueprint of what your body...
1. Kwanini MUNGU aliumba vitu vingine asibaki yeye Tu?
2. Kwa nini Mungu Atumie Miaka Mingi Kukomboa dunia hii wakati angeweza Kuumba Nyingine?
3. Kwa nini Mungu anataka Tutoe sadaka wakati...
Right from the beginning of human settlement, a lot of people came up with ideas, philosophies, beliefs, experiments, research, redesigning of thoughts, and surveys to bring myths to reality...
Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu.
Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni...
Hatimaye Zika imezika mtu na taaluma yake.Huu ugonjwa wa ZIKA matamko yake huzua taharuki,sio Tanzania tu,bali hata nje ya mipaka ya Tanzania.Wanasema imetoka misitu ya Uganda toka miaka hiyooo na...
Helmoed-Römer Heitman, Pretoria - IHS Jane's Defence Weekly
The Tanzanian People's Defence Force (TPDF) Air Wing has quietly replaced its 12 old CAC J-7 fighters with 14 new J-7s, a usually...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.