Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
F-35 ni mradi wa nchi mbalimbali zilizoshirikiana kuitengeneza hii ndege ndo maana ukiachana na Israeli, Japan pia atauziwa hizi ndege, Wingereza, Australia, Canada pia alikua na mpango kuzinunua...
2 Reactions
48 Replies
13K Views
BETRAYAL IS THE ONLY TRUTH THAT CAN STICK.... Nawatakieni jioni njema na sikukuu njema wana jamii forum
0 Reactions
0 Replies
897 Views
KWANINI WACHAGGA HUPENDA KWENDA KWAO MWISHONI MWA MWAKA? Nimeamua kuandika kipande cha waraka huu kutokana na kuwepo kwa dhana nyingi potofu juu ya wachagga kwenda kwao kipindi cha mwisho wa...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wanaJf. Poleni kwa waliopatwa na matatizo na hongereni nyote mlifanikisha mipango yenu,Shukrani za pekee anastahiki MwenyeziMungu Mkusidiwa. Kama mdau na mfuatiliaji wa habari za...
0 Reactions
100 Replies
15K Views
nimekuwa nikifuatilia kisa cha maisha ya Edward Snowden agent wa shirika la National Security Agency ya marekani, na jinsi anavyotamka maneno mazito sana... A lot of people in2008 voted for...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Nyayo zilizoachwa na binadamu wa kale mamilioni ya miaka iliyopita zimegunduliwa nchini Tanzania karibu na pahala ambapo nyayo sawa na hizo ziligunduliwa miaka ya 1970. Alama hizo za miguu...
4 Reactions
58 Replies
9K Views
Salaam wakuu Leo kijana wenu nimewaza sana kuna jambo silielewi..lakini naamini hapa wapo wahusika wakunisaidia au hata wale wenye ujuzi Hivi pesa inapotengenezwa(kiwandani sijui) taifa...
4 Reactions
64 Replies
11K Views
Wadau katika umri wangu wote na uzee huu nilionao sijawahi kusikia au kuona rais yeyote yule duniani amekwenda bank au ATM au mpesa kudraw mshahara wake, awe amestaafu au bado amiri jeshi mkuu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kagame ambaye ni rais wa RWANDA,mara nyingi mbele ya mataifa amejinasibu kuwa ni mwenye kuleta umoja kwa wanyarwanda ili kuwasahaulisha makovu ya mauaji ya kimbari.Ninaomba kufahamishwa,hivi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Limepanga na mungu!!! Kuna usemi usemao kwamba kila jambo baya au zuri limepangwa na mungu na hasa kwa dini ya kislamu naomba mtujuze au tupate majibu ya neno hili Kuna neno hili mungu humpa...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Heshima kwenu wanajamvi Napenda kuleta kwenu hii hoja tusaidiane kuelimishana, Nimesoma na jamaa mmoja kwa sasa ni Padre wa Shirika fulani ndani ya Kanisa Katoliki, huyu bwana kipindi tuko shule...
12 Reactions
46 Replies
14K Views
For the first time, atheists and other nonreligious persons are explicitly named as a class protected by the law. President Barack Obama has signed into law the Frank Wolf International Religious...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Almost every cell in your physical body is replaced every 11 months. Except for brain cells, which are replaced after 7 years. And every cell within you, has a perfect blueprint of what your body...
4 Reactions
5 Replies
61K Views
1. Kwanini MUNGU aliumba vitu vingine asibaki yeye Tu? 2. Kwa nini Mungu Atumie Miaka Mingi Kukomboa dunia hii wakati angeweza Kuumba Nyingine? 3. Kwa nini Mungu anataka Tutoe sadaka wakati...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Right from the beginning of human settlement, a lot of people came up with ideas, philosophies, beliefs, experiments, research, redesigning of thoughts, and surveys to bring myths to reality...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu. Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni...
4 Reactions
54 Replies
18K Views
Hatimaye Zika imezika mtu na taaluma yake.Huu ugonjwa wa ZIKA matamko yake huzua taharuki,sio Tanzania tu,bali hata nje ya mipaka ya Tanzania.Wanasema imetoka misitu ya Uganda toka miaka hiyooo na...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Helmoed-Römer Heitman, Pretoria - IHS Jane's Defence Weekly The Tanzanian People's Defence Force (TPDF) Air Wing has quietly replaced its 12 old CAC J-7 fighters with 14 new J-7s, a usually...
4 Reactions
75 Replies
18K Views
Back
Top Bottom