Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
Msaada au maoni ya kitaalam kuh ujenzi wa nyumba kwenye ardhi ya udongo mfinyanzi.Nimeamua kutafakari nanyi
wenzangu wa JAMII INTELLIGENCE kwa maana ukitaka kwenda mbio lazima uagane na nyonga.Dunia hii si ya kukurupuka
tuu kama kuna wasaa kwa anaehitaji ana budi kuwauliza wenzie nami sina budi kuuliza na kupata ushauri wenu
wenzangu wa JAMII INTELLIGENCE kwa maana ukitaka kwenda mbio lazima uagane na nyonga.Dunia hii si ya kukurupuka
tuu kama kuna wasaa kwa anaehitaji ana budi kuwauliza wenzie nami sina budi kuuliza na kupata ushauri wenu