MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,275
- 1,240
Kazi kubwa ya mashirika ya kijasusi ni kukusanya, kuchambua na kuzifanyia kazi taarifa mbalimbali kwa ajili ya usalama wa taifa lolote na watu wake. mashirika yafuatayo yanaongoza kwa kuwa na wataalam wanaofanya matukio makubwa ya pekee na kutumia mbinu za kisasa, za hatari tena kwa teknolojia ya hali ya juu
1. CIA, FBI-Marekani
2. FSB(zamani KGB)-Urusi
3. Mossad-Israel
4. MI5/MI6-Uingereza
5. MSS-China
6. ISI-Pakistan
7. RAW-India
1. CIA, FBI-Marekani
2. FSB(zamani KGB)-Urusi
3. Mossad-Israel
4. MI5/MI6-Uingereza
5. MSS-China
6. ISI-Pakistan
7. RAW-India