Kuanzia mwaka 1968 mpaka mwanzoni ya miaka ya 70 taifa kubwa la Marekani lilikubwa na mtu mmoja hatari sana,si mwingine bali ni muuaji tambulishi(serial killer) ambaye yeye kama yeye alipendelea...
Wale wenye imani ya dini ya wakristo naomba mnisaidie vitabu vya dini vinatuambia yesu alikufa December ndo maana wakapanga maadhimisho ya kufa kwake.
Baada ya siku tatu alifufuka na kurejea...
I hope these videos will help warn people in Africa about the dangerous LGBT radical agenda. What's happened in the USA is very sad. I hope Africa can avoid this.
Powerful videos from...
Habari za Leo wanajamvi
Katika maisha kuna vipindi mbalimbali ambavyo mtu anaweza kupitia
Ila kuna kipindi hiki ambacho ni "No option" hiki ni kipindi ambacho unavitu vingi sana kichwani ambavyo...
Habarini!
Moja ya mambo ambayo ni telezi basi bila Shaka ni asili ya binadamu. Zipo nadharia nyingi kama mchanga wa bahari zinazoelezea asili ya kiumbe huyu ambaye ni mtawala wa hii dunia.
Moja...
Message showing the infected computer.
Several countries in the world have been hit by a ‘cyber attack’ throwing hospitals and several organisations IT systems into chaos...
Mwaka 1984 Ronald Reagan akiwa rais wa 40 wa U.S,kwa muunganiko wa bunge na viwanda alipendekeza kuundwa kwa space station ambayo hapo awali jambo hili lilionekana kama nadharia!(science fiction)...
Nipo na angaria documentary inayohusu Libya,kupitia Aljazeera,
Wazungu hawawezi kuruhusu nchi yoyote ya kiafrika,ukiacha Afrika kusini,kuwa huru kiuchumi,na kwenda kinyume na Sera za kichumi za...
Habar zetu wadau...
Kama mada inavyo jieleza, ningependa kujua, kufahamishwa zaid.. iv kuna interdependence between these two "confident na intelligent " I mean mtu akiwa anajiamin sana ni dalil...
Naona hili neno limekuwa likitumika sana katika kutoa faraja kwa watu, utasikia mtu anamwambia mwenzake, "Pole sanaa ni mipango ya Mungu" ikiwa ni njia ya kumfanya mtu aone hilo jambo ni la...
Salam.
Kwanza naomba niipongeze serikali yetu yenye amani tele toka enzi ya Mwl Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa, Mzee Kikwete na sasa jembe letu lingine Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa namna...
Wana wa Israili ni kabila la jamii iliyozalikana na Nabii Ya‘quub (‘Alayhis Salaam) ambaye jina lake jengine lilikuwa ni Israil. Hivyo, kizazi cha watoto wake kumi na wawili kikawa kinaitwa Bani...
wadau.
nimekuwa nikijiuliza sana ni nini na ilikuwaje hata mikasa ya madege makubwa makubwa ya abiria inatokea nakosa jibu.
nataka kujua nini kilitokea kwenye mikasa ifuatayo:
Pan Am Flight 103...
Nimejitahidi kuumba uhalisia wa Mwanadamu kuhusu maisha yake na mahusiano yake na Mungu, mazingira na roho yake, nimegundua hakuna kitu chochote mwanadamu anachomiliki. Kwa kuanza na roho yake...
Greetings Jamiiforum,
Dark facts like these, so if you don't like dark answers don't read it:
35 million of your body cells are dying, every single minute.
•This one shocked me. Only...
Taasisi ya kuzuiya Rushwa ya Tanzania
ilianzishwa mnamo tar. 15 Januari ya mwaka wa
1975 , kwa ajili ya kuzuiya rushwa. Taasisi ya
Kuzuia Rushwa (TAKURU) ni taasisi ya serikali
iliyopewa jukumu la...
na Edson Kamukara | Tanzania Daima | Oktoba 09, 2012
SIKU chache baada ya Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga, kuahidi kuwavalia njuga baadhi ya wafanyakazi wa kigeni wanaoishi...
Kuna vitu vinanitatiza sana sijui ni sababu ya kutaka kujua kila kitu Mimi sio mtaalam wa Geography japo wakati nipo sekondari tu kwa nadharia na kuna concept inasema dunia huwa inazunguka au...
UBONGO WA MWANAMKE....
Ubongo wa mwanamke ni mdogo kwa 8% kuliko wa mwanaume, lakini unamuungano wa mawasiliano (interconnections) nzuri sana kuliko wa mwanaume, na ndio mana mwanamke
anaweza...