Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati...
13 Reactions
140 Replies
25K Views
Naamini JF ni home of great thinkers,unakopatikana uchambuzi na ufafanuzi wa hoja kwa kutumia mifano hivyo naona niilete hoja hii iweze kuchambuliwa. Wote tunakubaliana ,kwamba kipindi cha miaka...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Konstantino Mkuu Konstantino Mkuu (jina kamili: Flavius Valerius Constantinus; Niš, 27 Februari 272 – İzmit, 22 Mei 337) alikuwa Kaisari wa Dola la Roma tangu mwaka 306 akitawala peke yake tangu...
9 Reactions
69 Replies
20K Views
Machiavellianism Ni haiba ya watu ambao wanapitia migongo ya watu kufanikisha malengo yao. Ni watu ambao watafanya kila wawezalo ili kuwashinda wenzao au kuwatumia wenzao kufanikisha mambo yao...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
UDINI NA UGAIDI ÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷ Wakati vyombo vikubwa vya habari vikisongwa na habari za vita, hususani maeneo ya mashariki ya kati ambako vitendo vya kigaidi vimetamalaki, watu wengi huzipokea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Osss!!! Hebu leo tuangalie aina ya mapigano ambayo hutumika katika Majeshi tofauti tofauti (Military martial arts) 1/Tuanzie nyumbani (JWTZ) Hawa hutumia aina ya mapigano yajulikanayo kama...
5 Reactions
78 Replies
20K Views
Novichok: Mambo muhimu kuhusu sumu kali ya Urusi iliyotumiwa kumshambulia jasusi Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May Jumatatu alisema jasusi wa zamani wa Urusi na binti yake walipewa sumu kali...
15 Reactions
92 Replies
18K Views
Wakuu, Habari zenu? Katika zama na nyakati tofauti tofauti katika maeneo mbalimbali duniani kumekuwepo na mijadala inayohusisha imani na dini na mara nyingi vitu hivi viwili watu wengi...
5 Reactions
24 Replies
7K Views
Here is an Intriguing story of the suspected reason for which Pope John Paul I was Murdered, only 33 Days in his Pontificate in Sep 1978. The Story Unequvically narrate his involvement in the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chombo cha anga za juu cha China Tiangong-1 kilirushwa kwenda kwenye anga za juu septemba 29,2011 kikiwa kinaendeshwa na guvu za jua Kikiwa angani kina uzito wa Tani 8.5(8,506 kg) na urefu wa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hallo Jf, Katika mambo yanayoumiza vichwa hapa duniani ni kuwa Binadamu na ulimwengu mwanzo wetu ni upi hasa?? Wanasayansi Na vitabu vya dini vinatupa majibu yanayoongeza zaidi maswali kuliko...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Tanzania na Kenya zinajitenga na Afrika? Ufa waibuka Bonde la Ufa na kuongeza uwezekano Afrika kugawanyika Kuibuka kwa ufa mkubwa katika eneo la Suswa katika Bonde la Ufa kusini magharibi mwa...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Imesemekana kuwa kuna mwanamke mmoja amekamatwa ambaye anajihusisha na masuala ya madawa ya kulevya, kakamatwa ila ni baada ya msaada wa Barack Obama ambaye aliiambia nchi yetu kuwa kuna mwanamke...
2 Reactions
54 Replies
21K Views
China ni miongoni mwa mataifa yenye teknolojia ya hali ya juu ulimwenguni lakini wamekuwa na USIRI mkubwa na kuthibitisha hili China hawakuwa nyuma katika mageuzi ya teknolojia ya uchunguzi wa...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Rais Magufuli alipokuwa anafungua kiwanda mjini Morogoro alipata nafasi ya pia ya kumpokea Mwanamuziki maarufu mjini hapo Afande Sele kutoka chama cha ACT na kujiunga na CCM. Lakini wakati Afande...
5 Reactions
100 Replies
17K Views
Mimea sita yenye sifa za kushangaza zaidi duniani Duniani huwa kuna mimea ya aina nyingi, lakini kunayo baadhi ambayo inashangaza kwa sifa zake za kipekee. Hapa, tutaangazia sita kati ya mimea...
18 Reactions
35 Replies
11K Views
Laiti kama ungefahamu hisia ya sita inanguvu kubwa katika mwili wako kukuwezesha kufanya mambo makubwa hata mashetani yakakuogopa. Unaweza kumshawishi mtu kitu bila kuongea naye chochote kwa...
1 Reactions
33 Replies
10K Views
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni. Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja. Wewe humjui vizuri Mr...
26 Reactions
287 Replies
30K Views
Habari za majukumu wakuu, nimeona tujuzane mawili matatu juu ya mwanasayansi huyu Victor Frankeistein ambaye kwangu ktk kumsoma nimeona ni moja kati ya wanasayansi walio very UNDERRATED sana...
7 Reactions
22 Replies
48K Views
Wakuu, Salaam! Mara kadhaa nimesikia watu mbalimbali hasa watu wa dini wakizungumzia kuhusu ulimwengu unaoitwa wa roho! Sijaelewa hasa nini maana ya kitu hiki. Kwamba kuna ulimwengu mwingine nje...
3 Reactions
27 Replies
22K Views
Back
Top Bottom