Generation au Kizazi inawezekana haujui lakini kisayansi, kisiasa, kijamii, kidini, kibiashara na kiutafiti kina maana kubwa sana kwani ndio huamua kwenye kizazi husika nini wanataka kwa kuangalia...
12 Apr 2018On this night, we pay tribute to the founding fathers of the Somali Studies Dr. Hussein Adam 'Tanzania' and Said Sheikh Samatar. Kayd is proud to bring together some of the leading...
Inakadiriwa kuwa mnyama huyo huishi kwa kipindi cha miaka 20 akiwa katika pori. Lakini hiyo ilikuwa inafahamika zamani kipindi ambacho mnyama huyo alikuwa anaonekana tofauti na sasa.
1:KUNA...
Pope Francis does it again! Huyu Papa huyu...hahahaaa.
Kiranga make your way here. Pay attention to the bolded text at the bottom.
A tearful little boy grappling with big existential questions...
Todate in the circle of powers and Zambaa intelligence , its is believed that’s Michael Sata demise was an inside job to cover up intelligence failure to stop him from ascending to power ...
jamani naomba kupata mawazo yenu
kwa pamoja tukae tufikiri kitu ambacho ni cha kawaida sana lakini hatukifahamu undani wake,wakati ni kitu gani? what is time? tujaribu kutoa michango ya hisia...
10- BZ au 3-Quinuclidinyl benzilate
Hii ni silaha ya kikemikali iliyogunduliwa na Wanasayansi wa Kimarekani miaka ya 1960. Sumu hii inakumbukwa kwa kuwaangamiza mamia ya Wapiganaji wa jeshi la...
Ni mara ya kwanza kuandika katika sehemu hii kama sijakosea. Kuna mambo mengi ambayo huwa nayasoma kupitia uwanja huu ambayo yanafikirisha kwelikweli. Nine wahi kusoma wengi wakielezea kuhusu...
Habarini wakuu.
Fiji ni nchi iliyopo katika bahari ya Pacific karibu sana na nchi ya Australia.
Jamii ya wenyeji wa Fiji kimuonekano wanafanana na waafrika ila kuna tofauti kidogo kutokana na...
Watu wamekuwa wakijiuliza mara kadhaa huyu babu krismasi jina lingine Santa Claus ni mtu aliyekuwepo au ni hadithi za kufikirika tu kumuhusu?
Ni kweli Baba Krismasi(father christmas)...
February 28, 1959 Meli ya Ms Berlin toka Ujerumani ilitia Nanga katika Pwani ya Havanna Cuba, ndani yake alikuwemo Binti Kigori wa miaka 20 Marita Lorenz ambaye Nahodha wa Meli hii alikuwa ni Baba...
Habari za Leo wanaJF,
Kwanza kabisa naomba kudeclare interest "Mimi n mroman catholic"
Katika pita pita zangu nmekutana na habar za huyu CESARE BORGIA wengi wakisema kua alikuwa mtoto wa papa...
Duniani especially Tanzania ujue kunafulsa nyingi sana jamani tufanyeni
hata kazia ya kuandika vitu vyetu watanzania kwenye mitandao, tusisubiri
tufanyiwe na wazungu et hata ukigugo "jinsi ya...
Scientists are still not sure why we have pubic hair, but it likely serves a purpose beyond decorating our genitals.
1) Pubic Hair May Signal Sexual Maturity: [/I]Perhaps in both apes and humans...
A case study on the impact of trade misinvoicing in Ghana, Kenya, Mozambique, Tanzania, and Uganda—titled “Hiding in Plain Sight: Trade Misinvoicing and the Impact of Revenue Loss in Ghana, Kenya...
JAMANI KWANINI INAKUWA HIVI KILA SIKU TAREHE 26
Why always on " 26 th " ?
Take a look at this list :
1 Gujarat, India, earthquake 26 Jan 2001
2 The Rhodes earthquake 26 June 1926
3 Taiwan...
Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati...
Naamini JF ni home of great thinkers,unakopatikana uchambuzi na ufafanuzi wa hoja kwa kutumia mifano hivyo naona niilete hoja hii iweze kuchambuliwa.
Wote tunakubaliana ,kwamba kipindi cha miaka...
Konstantino Mkuu
Konstantino Mkuu (jina kamili: Flavius Valerius Constantinus; Niš, 27 Februari 272 – İzmit, 22 Mei 337) alikuwa Kaisari wa Dola la Roma tangu mwaka 306 akitawala peke yake tangu...
Machiavellianism
Ni haiba ya watu ambao wanapitia migongo ya watu kufanikisha malengo yao. Ni watu ambao watafanya kila wawezalo ili kuwashinda wenzao au kuwatumia wenzao kufanikisha mambo yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.