Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,391
- 39,484
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Watanzania wanahitaji kumuona kama anavyojishughulisha na masuala ya Kenya, Comoroes, Zimbabwe na hivi majuzi tu mgogoro wa DRC Congo na Uganda, basi kwa uzito mkubwa zaidi ashughulikie suala hilo la mpasuko wa kisiasa Zanzibar. Wahenga wamesema sadaka huanzia nyumbani.
Hakuna jipya wala hoja nzito... Ni habari ambazo zimekuwepo kwenye masikio yetu kwa miaka sasa..Baada ya kusoma hoja nzito za namna hii ndipo sasa huwa namtafuta Kasheshe na kundi kuja kuonyesha busara za Chama chao .Tuwape nafasi .
Nami nimemaliza kuisoma hii dosier, Kwa kweli, kwa mara nyingine tena, CUF wameonyesha umakini wao na wamezidi kuanika udhaifu wa CCM. Nimefurahi zaidi pale walipowashughulikia CCM kuhusu madai yao yasiyokwisha ya u-Hizbu. Kumbe at the end of the day, kama ni u-Hizbu, CCM ni Hizbu kuliko Hizbu wenyewe. Lakini kwa jinsi CUF walivyo makini, wametoa hii historia sio kwa lengo la kuwaumbua CCM bali kwa nia ya kuonyesha jinsi ambavyo Zanzibar ni taifa la watu mchanganyiko na kwa vyovyote vile watu wengi sana kule Zanzibar hawawezi kukwepa damu ya mwarabu. Sasa huu ujinga wa CCM wa kuwalaghai watu kwamba mtu hafai kuwa kiongozi kwa sababu tu ana matone ya damu ya warabu itabidi ukome. Natazamia pia wale wajumbe wenzetu hapa JF ambao wamekuwa wakishindilia sana kwamba Salim hafai kuwa Rais wetu kwa kisingizio cha u-Hizbu itabidi wawe wastaarabu watoke hadharani hapahapa watubu, vinginevyo wanyamaze kimya milele katika hili maana inaonekana ama hawajui wanaloliongea au nao ni sehemu ya propaganda za ovyo za CCM!
Hapa kwa kweli ndugu zetu CCM wameshikwa pabaya. Ambacho hawataki kukielewa watu wa CCM ni ukweli kwamba katika ulimwengu wa leo ni vigumu mno kukalia habari. CCM wanatia huruma na kusikitisha zaidi wanapoendelea kumtumia Kingunge awatetee na kuwasemea kwenye mambo controversial kama haya. Yote hii ni kwa sababu wanafikiri watu watakubali tu kwa kuwa anayeongea ni Kingunge wasijue kwamba Kingunge mwenyewe heshima yake katika jamii ilishashuka kuliko hata ya Makamba! Bora wangewatumia Ze Comedy kuliko kumtumia Kingunge.
Hata hivyo, tusisahau hawa mabwana wa CCM wamezoea kuishi kwa ujanjaujanja wa kuwadanganya watanzania basi na mambo yamekuwa yakienda hivyohivyo. Bila ujanjaujanja, ghiliba, uongo, kujigeuzageuza CCM haiwezi ku-survive. Ndio maana sasa katika ulimwengu huu wa leo ambao huwezi ku-survive bila competence in style and substance wenzetu wa CCM inawawia ugumu.
Ngoja tusubiri watasema nini kwenye hii dosier ya CUF lakini kwa mambo yalivyo hawana hoja zaidi ya kuendeleza ujanjaujanja na ghiliba tu
Nami nimemaliza kuisoma hii dosier, Kwa kweli, kwa mara nyingine tena, CUF wameonyesha umakini wao na wamezidi kuanika udhaifu wa CCM. Nimefurahi zaidi pale walipowashughulikia CCM kuhusu madai yao yasiyokwisha ya u-Hizbu. Kumbe at the end of the day, kama ni u-Hizbu, CCM ni Hizbu kuliko Hizbu wenyewe. Lakini kwa jinsi CUF walivyo makini, wametoa hii historia sio kwa lengo la kuwaumbua CCM bali kwa nia ya kuonyesha jinsi ambavyo Zanzibar ni taifa la watu mchanganyiko na kwa vyovyote vile watu wengi sana kule Zanzibar hawawezi kukwepa damu ya mwarabu. Sasa huu ujinga wa CCM wa kuwalaghai watu kwamba mtu hafai kuwa kiongozi kwa sababu tu ana matone ya damu ya warabu itabidi ukome. Natazamia pia wale wajumbe wenzetu hapa JF ambao wamekuwa wakishindilia sana kwamba Salim hafai kuwa Rais wetu kwa kisingizio cha u-Hizbu itabidi wawe wastaarabu watoke hadharani hapahapa watubu, vinginevyo wanyamaze kimya milele katika hili maana inaonekana ama hawajui wanaloliongea au nao ni sehemu ya propaganda za ovyo za CCM!
Hapa kwa kweli ndugu zetu CCM wameshikwa pabaya. Ambacho hawataki kukielewa watu wa CCM ni ukweli kwamba katika ulimwengu wa leo ni vigumu mno kukalia habari. CCM wanatia huruma na kusikitisha zaidi wanapoendelea kumtumia Kingunge awatetee na kuwasemea kwenye mambo controversial kama haya. Yote hii ni kwa sababu wanafikiri watu watakubali tu kwa kuwa anayeongea ni Kingunge wasijue kwamba Kingunge mwenyewe heshima yake katika jamii ilishashuka kuliko hata ya Makamba! Bora wangewatumia Ze Comedy kuliko kumtumia Kingunge.
Hata hivyo, tusisahau hawa mabwana wa CCM wamezoea kuishi kwa ujanjaujanja wa kuwadanganya watanzania basi na mambo yamekuwa yakienda hivyohivyo. Bila ujanjaujanja, ghiliba, uongo, kujigeuzageuza CCM haiwezi ku-survive. Ndio maana sasa katika ulimwengu huu wa leo ambao huwezi ku-survive bila competence in style and substance wenzetu wa CCM inawawia ugumu.
Ngoja tusubiri watasema nini kwenye hii dosier ya CUF lakini kwa mambo yalivyo hawana hoja zaidi ya kuendeleza ujanjaujanja na ghiliba tu