Nimekuwa nikisoma mara kwa mara kuhusu migogoro katika klabu ya Yanga ikimhusisha mfadhili wao mkuu Manji.Mara nyingi amekuwa anatishia kujitoa na wanachama wanamuomba arudi.
Wiki iliyopita gazeti la Mwanahalisi liliandika kumhusu mfadhili huyu na naanza kujenga hisia ya kuwa kuna agenda ya siri nyuma ya ufadhili huuna naamini anajenga ngao kujikinga na hatua zozote kwa kuwatumia binadamu wenziwe hasa wapenda mpira na wapenzi wa Yanga ambao si haba hapa nchini.
Wiki iliyopita gazeti la Mwanahalisi liliandika kumhusu mfadhili huyu na naanza kujenga hisia ya kuwa kuna agenda ya siri nyuma ya ufadhili huuna naamini anajenga ngao kujikinga na hatua zozote kwa kuwatumia binadamu wenziwe hasa wapenda mpira na wapenzi wa Yanga ambao si haba hapa nchini.