Katika hali ya kushangaza, Papa Francis amejitokeza hadharani kuunga mkono matumizi ya vichipu vya RFID, yaani Radio Frequency Identification kwa wanadamu. Amesema tekinolojia hii inaleta...
SEHEMU YA KWANZA
Lengo kuu zaidi la Mungu
lilikuwa ni kuwatoa Wamisri toka
katika Utumwa wa Kifkra na Kiimani wa
kuamini miungu mfu
iliyowapotezea muda na mali,vitu ambavyo
wangeweza kuvitumia...
Baada ya Sudan ya Kusini kujitenga kutoka main Sudan na kuongeza idadi za nchi katika bara la Afrika na duniani kwa ujumla, inaonekana inaweza kuwa chachu kwa baadhi ya majimbo ama nchi kumegeka...
Nimekuwa nikisoma mara kwa mara kuhusu migogoro katika klabu ya Yanga ikimhusisha mfadhili wao mkuu Manji.Mara nyingi amekuwa anatishia kujitoa na wanachama wanamuomba arudi.
Wiki iliyopita...
Wakuu habarini za muda,nimekuwa mfuatikiaji sana wa mada za hapa jamii intelligence..
Sijawahi kuona uzi unaoelezea maana au fumbo lililopo katika zile tarakimu 666 kama zinavyoelezewa kwenye...
Habari wakuu nazani nipo jukwaa sahihi kuna maswala machache yananichanganya sikumbuki lini nilisikia hili neno time travel nikawa interested kufuatili lakini nikaambulia kapa sijui ni lugha...
Yafuatayo ni majibu ya chama cha CUF kuhusu sakata zima la muafaka kama walivyotoa jana. CCM na nyinyi kama mnayo majibu yenu penyezeni hapa mwanakijijiatklhnews.com ondoa neno "at" na weka alama ya @
1.Alexander the Great. Huyu jamaa alitawala Macedonia kuanzia mwaka 336-323. Alianza kutawala akiwa na miaka 20 tu. Huyu ndiye aliangusha utawala wa Waajemi ambayo ilikuwa dola kubwa sana...
Kwanza kabisa natanguliza shukhran zangu dhati kumshukuru muumba mbingu na nchi kwa kunipa nafasi hii kuweza kujumuika na wanajukwaa wenzangu katika makala hii ya Black dahlia.Pili natanguliza...
Kati ya mwaka 1500 na 1800 kulitokea biashara ya utumwa ambayo inaitwa barbary slave trade. Hii ilifanywa na watu wa Morocco, Tunisia, Libya na Algeria ambao walikuwa wanafanya wazungu watumwa...
Hbr za mida Wakuu,
Hivi kuna sababu zipi zilizopelekea kushindwa kwa India katika vita ya 1962.Kwa sababu ya Mpaka kati ya China na India, Japo mgogoro bado Upo chini chini, mwenye sababu...
Iodine ni madini yanayozalishwa baharini na kumwagwa nchi kavu ambako yanaingia chini kwenye miamba, hivyo upatikanaji wake unategemea zaidi aina ya udongo na vyakula vya baharini. Kutokana na...
Asubuhi moja ya Januari 15, 1947, mama mmoja akiwa na mwanae katika misele ya hapa na pale jijini Los Angeles alikutana uso kwa uso na mwili wa binadamu ambao ulikua umetenganishwa katika sehemu...
Salaam Wakuu!
Naleta kwenu hii hoja, yamkini wapo wengi wanajiuliza swali kama hili. Kiukweli sina jibu, ila nimeleta huku kuna watu watasaidia kulifumbua hili.
Jambo la kujiuliza je Kuna watu...
Niseme ukweli nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali katika jukwaa hili na
nikatamani nami kuleta bandiko moja ila kutokana na ratiba kuingiliana muda ukawa
hautoshi.
Kuna maneno nimekosa...
JUZI TAREHE 14/06/2011ASKARI WA ESALAMA BARABARANI "Traffik" wakiwa hawakuvaa sare zaowaliingia kijiji cha Murunyinya (Nyakiziba) wilayani Ngara "eti kukamata pikipiki zisizohalali nyumba kwa...
Ni aghalabu sana kiongoz wa kiimani kuruhusu waumini na wasio waumini kuuliza maswali baada ya mada. Pengine utamaduni wa kuuliza maswali magumu ungekuwa ni Lazima, tusingeshuhudia utitiri wa...
Musa, Yesu, Paulo wote Ni watu mashuhuri katika Dunia ya leo, hata Muhamadi aliwatambua Musa na Yesu, Biblia na Kurani Ni vitabu mashuhuri pengine kuliko vyote dunia hii ya leo, viini vyake ni...
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote...
(mode hii ni ya ki intelijensia zaidi, usiihamishe plse)
Usiku Yesu alipokamatwa alifikishwa mbele ya wafuatao kwa mashtaka, Caiaphas - Kuhani mkuu (na aliye agiza yesu akamatwe na pia ndiye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.