Tunapozungumzia uchumi unakuwa tunazungumzuia makusanyo si matumizi, ndio maana uchumi unapimwa kwa GDP (Gross domestic product) kwa maana pato la taifa maana ya pato ni kile unachokusanya aidha...
Asalaam aleykum!
Napenda kwanza kumshukuru ALLAH kwakunijaalia afya njema kwani wala si kwaujanja wanu ila ni kwa rehema zake.Dhumuni la kuletwa duniani ni kumuabudu yeye aliyeumba mbingu na ardhi...
Sherehe ya Waashanti ya viazi vikuu
karne ya 19 kwa mujibu wa Thomas E. Bowdich
Ngome ya Cape Coast
Kasri la Elmina
Historia ya Ghana ilianzia mbali sana, hata kabla ya ukoloni tunaweza...
Familia ya Beaumont ya watoto watatu ambao ni Jane Nartare Beaumont (alizaliwa 10 mwezi wa tisa1956), Arnna Kathleen Beaumont (Alizaliwa 11 mwezi wa kumi na moja1958), na Grant Ellis Beaumont...
Tarehe 18 Januari 2015 Idara ya usalama ya Agentina ilituhumiwa kuhusika na mauaji ya mpelelezi binafsi bwana Alberto Nisman aliyekuwa akitaka kuanika madudu ya serikali hiyo ikiwemo ufisadi...
“Kwa mamilioni ya watu ndani na nje ya Afrika, Kwame Nkrumah ndiye Afrika na Afrika ndiyo Kwame Nkrumah; Kwa Wakoloni na Mabeberu jina la Nkrumah ni laana kwao; kwa Masetla na Walowezi jina lake...
Kumbe m-pesa iligunduliwa kenya tena na kijana aliekua anafaya internship safaricom?? aaah... kumbe keyboard yangu nzima haya tuanzee
Tangu kipindi cha mwisho cha kikwete kulikua na malalamiko ya...
Kumekuwa na mzozo wa muda mrefu kuhusu udhibiti wa mji wa Jerusalem kati ya Waisraeli na Wapalestina.
Mji huo kwa sasa huwa umegawanywa mara mbili, Jerusalem Mashariki na Jerusalem Magharibi...
PICHA za kusikitisha zilizopigwa miaka zaidi ya 150 iliyopita zinaonyesha ukatili wa kutisha waliokuwa wanafanyiwa watumwa kutoka Afrika waliosombwa kupelekwa barani Amerika kwenda kufanyishwa...
"Deception is a state of mind and mind of the State."
- James Angleton
CIA Chief of Counterintelligence (1954 - 1975)
Alhamisi March 13, 1953 Washington D.C
"Put that away." Hiyo ndiyo...
Wakuu,
Salaam!
Katika kufuatilia fuatilia mambo hapa na pale ili kuongeza maarifa ndani yangu, nimejikuta natafakari kuhusu ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi na nikakumbuka kuna siku...
RAIS wa Urusi, Vladimir Putin.
RAIS wa Urusi, Vladimir Putin akiwa amebakiza siku chache kabla ya kuingia katika uchaguzi mkuu, ameanika kiasi cha fedha alizojipatia kipindi cha miaka mitano...
Kuna minong'ono na maneno ya wazi kwamba kuna viumbe wa ajabu wamekimbilia katika dunia na kusababisha hofu na wasiwasi wa maisha ya binadamu wa kawaida, kwa mujibu wa mwanasayansi wa fizikia na...
AN INDEPENDENT INVESTIGATION OF 9-11**********
by Anonymous
Due to concerns for his personal safety, the author has chosen to remain anonymous.
Author hereby grants full permission to...
BOKO HARAM MSHIRIKA WA MAREKANI NIGERIA
Maneno yangu ni kama kitanzi, Yanakaza katika shingo za baadhi ya watu humu ndani Facebook, Usalama,viongozi na watu wa kawaida kama mimi,musinichukie...
Habari wana jf natumai ni wazima.Sijawahi kuanzisha katika jukwaa hili(home of great thinker) Leo ndo my first time.Hili huwa najiuliza lakini nakosa majibu.Soma kisa hiki hapa chini
Mwanasayansi...
Geneva huu ni moja ya miji mikubwa huko Switzerland. Ukitaka kuupata kwa coordinates ni 46°12′N6°09′E / 46.200°N 6.150°E. Kitu kinachonishangaza ni kwamba kila shughuli unayoifahamu bhasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.