KIASI kikubwa cha fedha hutoroshwa na kufichwa nje ya nchi wakati taifa linapokuwa katika uchaguzi, vita na matatizo ya kiuchumi.
Uchunguzi wa Mwananchi Jumapili umebaini kuwa katika mazingira...
Kuna imani ya dini inayosema USINGIZI NI NUSU YA KIFO.
Mtu anapokuwa usingizi anakuwa amekata mawasiliano yake mengi katika ulimwengu wa kawaida.
hali yakuwa usingizi humfanya mtu kuingia...
Habari za wakati huu, wachambuzi makini wa masuala mbalimbali ya kunoanoa bongo; ni yangu matarajio kwamba mko salama! Naliweka swali hili mezani kutokana na kwamba nategemea kupata majibu ya...
Kwanza nianze na hawa watoto wadogo wanaosema ''mimi siamini katika dini bali naamini katika science''
Dini ni nini?
Dini ni njia ya maisha (way of life). Tunaposema njia ya maisha hapa lazima...
Katika moja ya tabia ambazo nimekuwa nikipambana nayo ni hii ya kutaka kujua ulimwenguni kumekuwa na nini kikiendelea. Asubuhi sana napoamka najikuta naangalia CNN,BBC,AL JAZEERA,VOA,SKY NEWS,CBN...
Utafiti huu umefanywa nchini Ujerumani kwa ushirikiano wa Wanasaikolojia, madaktari wa binadamu na chuo kikuu cha Technische Universitat of Berlin. Utafiti huu ulisimamiwa na daktari Berthold...
Wakuu habari za wakati huu
Kichwa kinasema kuwa ujue vita kuu inayondaliwa kuja maarufu kama ''HARMAGEDONI'' inamaanisha ni vita ya watu wote hata mimi na wewe tutaishiriki kivipi twende...
COINTELPRO ni nini?
Ilikuwa program maalumu ya siri na wakati fulani haramu, ndani ya shirika la kijasusi la ndani la Amerika, FBI, kati ya mwaka 1956 hadi 1971. Program hiyo, ililenga kudhibiti...
Leo nimeshangazwa na jambo nililoliona pale ubungo stand ya mkoa. Usafiri wa kutoka kibamba, mbezi, kimara na ubungo kuelekea posta siku zote nyakati za asubuhi na jioni huwa niwa tabu sana...
Kusema kweli watu wengi wanaweza wasimjue lakini huyu mtu alikuwepo na bado yupo na ataendelea kuwepo. Si mwingine ninayemzungumzia hapo zaidi ya Abdulrahman Babu, kipenzi cha watu mwanamapinduzi...
MAJI YA BAHARI MBILI KUTO KUCHANGANYIKA.
JE, HII NI MIUJIZA YA ALLAH AU NI UKOSEFU WA ELIMU?
Leo nitajibu hoja dhaifu ya Waislam kuhusu madai ya maji ya Bahari mbili kuto kuchanganyika. Je, hii ni...
BIASHARA YA UTUMWA NA DHAMBI YA MAREKANI, LIBYA
Tangu Machi 19, 2011, mataifa makubwa, Marekani, Ufaransa, Uingereza, Italia na mengineyo, wakitumia Jeshi la Kujihami la Nchi za Magharibi (Nato)...
Watu wengi wanajiuliza kwa nini Idara ya Usalama wa Taifa TISS haitangazi kazi hadharani kama idara za nje?? Tatizo ni kitu gani?
Ukweli ni kuwa muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa...
Tarehe 3 mwezi wa 4 mwaka 2008, Mr Tom Wiles mmiliki wa kampuni iitwayo National Flight Services, inayohusika na kufanya matengenezo ya ndege, kufundisha kurusha ndege, na shughuli zote...
ALBERT Einstein ni mwanasayansi maarufu aliyeleta mapinduzi katika ulimwengu wa sayansi ambapo enzi za utoto wake walimu walimwita kilaza darasani.
Maisha ya awali ya Eistern hayakukubalika kwa...
Neno Hali ya Hewa (climate) linamaanisha mkusanyiko wa mada (elements) mbalimbali kuu kama: mvua (precipitation); joto (temperature); unyevunyevu (humidity); mawingu (clouds-cover), upepo (winds)...
cryonic preservation company wamekuja na wazo la kuhifadhi mwili wa mtu kwa joto la chini sana kwa matumaini kwamba utarejeshwa na teknolojia ya baadaye na utakuwa hai tena. Lakini je, cryonics...
1. Here we witness the birth of a T-1000.
What's Actually Happening: A solar furnace (also sometimes called a Fresnal Mirror) concentrates sun rays into a focal point that can reach up to a...
Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha...
Kwa kuzingatia kuwa nchi yetu imeamua kuingia/ kuendeleza uhusiano na ISRAEL nimeshtuka kuona Muandishi huyu wa Daily Nation Kenya alichoandika Kenya: What Kenya's Show At U.S. Jerusalem Embassy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.