Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
KIASI kikubwa cha fedha hutoroshwa na kufichwa nje ya nchi wakati taifa linapokuwa katika uchaguzi, vita na matatizo ya kiuchumi. Uchunguzi wa Mwananchi Jumapili umebaini kuwa katika mazingira...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna imani ya dini inayosema USINGIZI NI NUSU YA KIFO. Mtu anapokuwa usingizi anakuwa amekata mawasiliano yake mengi katika ulimwengu wa kawaida. hali yakuwa usingizi humfanya mtu kuingia...
2 Reactions
18 Replies
7K Views
Habari za wakati huu, wachambuzi makini wa masuala mbalimbali ya kunoanoa bongo; ni yangu matarajio kwamba mko salama! Naliweka swali hili mezani kutokana na kwamba nategemea kupata majibu ya...
12 Reactions
134 Replies
15K Views
Kwanza nianze na hawa watoto wadogo wanaosema ''mimi siamini katika dini bali naamini katika science'' Dini ni nini? Dini ni njia ya maisha (way of life). Tunaposema njia ya maisha hapa lazima...
6 Reactions
66 Replies
8K Views
Katika moja ya tabia ambazo nimekuwa nikipambana nayo ni hii ya kutaka kujua ulimwenguni kumekuwa na nini kikiendelea. Asubuhi sana napoamka najikuta naangalia CNN,BBC,AL JAZEERA,VOA,SKY NEWS,CBN...
13 Reactions
28 Replies
6K Views
Utafiti huu umefanywa nchini Ujerumani kwa ushirikiano wa Wanasaikolojia, madaktari wa binadamu na chuo kikuu cha Technische Universitat of Berlin. Utafiti huu ulisimamiwa na daktari Berthold...
23 Reactions
88 Replies
19K Views
Wakuu habari za wakati huu Kichwa kinasema kuwa ujue vita kuu inayondaliwa kuja maarufu kama ''HARMAGEDONI'' inamaanisha ni vita ya watu wote hata mimi na wewe tutaishiriki kivipi twende...
2 Reactions
47 Replies
13K Views
COINTELPRO ni nini? Ilikuwa program maalumu ya siri na wakati fulani haramu, ndani ya shirika la kijasusi la ndani la Amerika, FBI, kati ya mwaka 1956 hadi 1971. Program hiyo, ililenga kudhibiti...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Leo nimeshangazwa na jambo nililoliona pale ubungo stand ya mkoa. Usafiri wa kutoka kibamba, mbezi, kimara na ubungo kuelekea posta siku zote nyakati za asubuhi na jioni huwa niwa tabu sana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kusema kweli watu wengi wanaweza wasimjue lakini huyu mtu alikuwepo na bado yupo na ataendelea kuwepo. Si mwingine ninayemzungumzia hapo zaidi ya Abdulrahman Babu, kipenzi cha watu mwanamapinduzi...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
MAJI YA BAHARI MBILI KUTO KUCHANGANYIKA. JE, HII NI MIUJIZA YA ALLAH AU NI UKOSEFU WA ELIMU? Leo nitajibu hoja dhaifu ya Waislam kuhusu madai ya maji ya Bahari mbili kuto kuchanganyika. Je, hii ni...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
BIASHARA YA UTUMWA NA DHAMBI YA MAREKANI, LIBYA Tangu Machi 19, 2011, mataifa makubwa, Marekani, Ufaransa, Uingereza, Italia na mengineyo, wakitumia Jeshi la Kujihami la Nchi za Magharibi (Nato)...
21 Reactions
31 Replies
4K Views
Watu wengi wanajiuliza kwa nini Idara ya Usalama wa Taifa TISS haitangazi kazi hadharani kama idara za nje?? Tatizo ni kitu gani? Ukweli ni kuwa muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa...
5 Reactions
74 Replies
17K Views
Tarehe 3 mwezi wa 4 mwaka 2008, Mr Tom Wiles mmiliki wa kampuni iitwayo National Flight Services, inayohusika na kufanya matengenezo ya ndege, kufundisha kurusha ndege, na shughuli zote...
42 Reactions
135 Replies
28K Views
ALBERT Einstein ni mwanasayansi maarufu aliyeleta mapinduzi katika ulimwengu wa sayansi ambapo enzi za utoto wake walimu walimwita kilaza darasani. Maisha ya awali ya Eistern hayakukubalika kwa...
18 Reactions
44 Replies
16K Views
Neno Hali ya Hewa (climate) linamaanisha mkusanyiko wa mada (elements) mbalimbali kuu kama: mvua (precipitation); joto (temperature); unyevunyevu (humidity); mawingu (clouds-cover), upepo (winds)...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
cryonic preservation company wamekuja na wazo la kuhifadhi mwili wa mtu kwa joto la chini sana kwa matumaini kwamba utarejeshwa na teknolojia ya baadaye na utakuwa hai tena. Lakini je, cryonics...
13 Reactions
243 Replies
22K Views
1. Here we witness the birth of a T-1000. What's Actually Happening: A solar furnace (also sometimes called a Fresnal Mirror) concentrates sun rays into a focal point that can reach up to a...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Kwa kuzingatia kuwa nchi yetu imeamua kuingia/ kuendeleza uhusiano na ISRAEL nimeshtuka kuona Muandishi huyu wa Daily Nation Kenya alichoandika Kenya: What Kenya's Show At U.S. Jerusalem Embassy...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom