Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Wakuu, Nina miaka 4 sasa nafanya utafiti kuhusu kuwepo kwa uchawi sijapata kujiridhisha kihalisia kuwepo kwa ushirikina.Nimetembelea maeneo yote yanayosemekana ni maarufu kwa ushirikina kama...
10 Reactions
162 Replies
31K Views
Habari! Leo niliamua kushangaa kidogo ufunguzi wa kiwanda cha unga wa mahindi hapa kambi ya Mlale Songea! Nimefanikiwa kuwa mbele mbele kidogo hivyo tukio zima nimelishuhudia vyema! Kuna haka ka...
9 Reactions
193 Replies
29K Views
Wasaaalam wana JI! Kama wewe ni mpenzi wa Science fiction(sayansi ya kubuni),bila shaka jina Isaac Asimov sio geni kwako. Mwaandishi huyu wa kimarekani aliwahi kuandika kitabu chenye mkusanyiko...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu habari za jioni.. Kumekuwa na makala mbalimbali zinaozo elezea umbali ambao wanasayansi wameshafikia angani. Wameweza safiri mpaka kwenye mwezi na wameweza tuma vyombo vya uchunguzi katika...
20 Reactions
108 Replies
16K Views
Wanabodi, mtakubaliana nami kuwa matatizo mengi katika hii Dunia yanasababishwa na ujuaji mwingi wa Binadamu kwa mgongo wa maendeleo ya Sayansi na Teknolojia. Hapa chini ni mifano michache...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Growth of human homo (being)huyu ndiye mnyama anaeshi middle time ya uhai wa bustanini akiwa balanced huyu ndiye mwenye one hulf second ya utashi dhidi ya wanyama wenzie akiwa na uwezo wa kuunda...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Human homo ni sehemu ya umungu(god,lyrans)wasanifu wa muundo huo. ndivyo ilivyo waumbaji waliumba human homo kwa mifano yaki,maumbo,ufahamu,n.k kwa moja ya sehemu walizonazo wao,baasi human homo...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
wakuu hivi tz hakuna special force kama green beret,army rangers & navy seals.
1 Reactions
133 Replies
26K Views
INAENDELEA UZI NA #44 SEHEMU YA 2 INAENDELEA UZI NAMBA #166 SEHEMU YA 3 SEHEMU YA NNE INAENDELEA UZI NAMBA #217 SEHEMU YA TANO INAENDELEA UZI NAMBA ,,,,,,,,,,,,,, ,,,#243 SEHEMU YA MWISHO UZI...
56 Reactions
382 Replies
102K Views
Habari Wana Jamii intelligence Mda mrefu kweli,nilitamani kuwe na Uzi ambao Watu watakua huru kutoa Ushuhudu Binafsi kuhusu uwepo wa Mungu katika Maisha Yao Jinsi gani Mungu amewapigania mpaka...
7 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari zenu. Mimi mi mpenzi sana wa mambo ya intelligence. Ni mgeni kidogo humu jf upande wa kuwa member. Jukwaa hili ndio limenishawishi niweze kuwa member kamili ili niweze shiriki vizuri...
5 Reactions
111 Replies
14K Views
Mwaka 2008 pengine ulikwa moja ya miaka ya purukushani Sana duniani kuanzia uwepo wa Alqaidah yenye nguvu, mgogoro wa Georgia, pamoja na mpango wa Iran wa nyuklia.Iran walkwa katika hatua za Kati...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, this is for your information. Ripoti juu ya sakata la rada inayoonyesha jinsi Rashid na Chenge walivyohusika. Jamani, hivi ni kipi kinaendelea mbona iko wazi kabisa kuwa hawa jamaa wana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Urusi ya Kremlin na rais wa nchi hiyo Vladmir Putin ya kuwatunuku majenerali wa majeshi ya Urusi(Russia) na wakuu wa vitengo vya ushushushu vya nchi hiyo tuzo na...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Hii ni makala inayoongelea kisa kimoja cha kutisha na kusisimua sana kilichowakumba familia ya PERRON nchini MAREKANI katika himaya yake ya KISIWA CHA RHODE ambako ndani yake ndo kuna kijiji cha...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Tazama msafara wa Obama unavyokuwa umetengenezwa huwezi kujua yupo gari gani!! http://cdn.theatlantic.com/static/mt/assets/podcasts/motorcade-1200px.jpg
7 Reactions
34 Replies
13K Views
Nashanga wana JF na waTanzania tuhuma kubwa kwa jeshi la Polisi na maafisa wake waandamizi zilizotolewa na Reginald Mengi kuwa Polisi kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa Kiasia waliandaa mpango...
3 Reactions
62 Replies
11K Views
Nchi inaelekea pabaya waTANZANIA sasa wapigwa marufuku COCO BEACH! Kuna taarifa kuwa baada ya kutumia pesa za walipa kodi, WATANZANIA sasa wamepigwa MARUFUKU kwenda ufukweni na serikali kupitia...
1 Reactions
109 Replies
23K Views
Hackers from Israel were behind the discovery that Russian spies were using the popular Kaspersky Lab antivirus software to spy on American intelligence agencies, according to reports. The...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
NGUVU ZA ASILI NA NGUVU ZA AKILI. Nguvu za akili ni ule uwezo wa kumuunganisha mtu na nguvu asili. Hakuna kitu kishindacho nguvu za asili na nguvu za asili zikiingia ndani ya mwili wa binadamu...
19 Reactions
48 Replies
14K Views
Back
Top Bottom