Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
ALMASI ZA ANASTASIA (ANASTASIA DIAMONDS) Binti Mrembo Anastasi.... Makatili wale hawakuwa na utu kabisa kumtendea vile mrembo kama huyu. inasikitisha sana. je hawakuona kuwa hili lilikuwa ni moja...
7 Reactions
6 Replies
4K Views
Huku tunakoelekea sasa kubaya na haya mambo inaonekana yalifanyika miaka ya sabini na kufanikiwa, hivyo wameplan kutumia minara ya simu au ndege, magar yenye vifaa maalumu kwa ajili ya kucontrol...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Jua ni miongoni mwa nyota kubwa kuliko zote kwenye solar system ndio chanzo cha energy na maisha ya hapa Duniani na ulimwengu mzima na ikitokea jua limezima basi maisha ya ulimwengu mzima...
19 Reactions
221 Replies
30K Views
Nchi za Ulaya zimekosa wafungwa kabisa magerezani kufuatia watu kutokutenda uhalifu Sasa huenda ikawa na chaguzi mbili,moja kupitisha sheria ikiwa mtu anataka kuonja maisha ya jera Kwa matakwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni Kanisa Catholic Ambalo Lina Nguvu Kwa Kila Idara Zake Kuanzia Pande Mbalimbali Za Ulimwengu Huu. Inajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote...
7 Reactions
61 Replies
12K Views
Historia ya binadamu na ustaarabu wake,inatusimulia na kutilia mkazo juu ya chanzo cha ulimwengu na vilivyomo. Achilia mbali usahihi wa nukuu hizo za kihistoria,hili ni somo kando na hapa...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
"Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P) "Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si...
103 Reactions
131 Replies
36K Views
CAMDEN, NEW JERSEY Eneo maskini kuliko yote marekani Camden iko mjini new jersey nchini marekani Camden imepakana na Philadelphia ambapo imetenganishwa na daraja la frankly. Frankly ni kieneo...
5 Reactions
47 Replies
12K Views
Get the doc from: Bank M: Connecting the dots Kwa wageni: Read this topic first: JEETU Patel agonga mwamba katika EPA na Bank M
1 Reactions
75 Replies
19K Views
Nimepata taarifa za ndani kutoka Bank M kwamba wamiliki ni mlengo wa Freemason. Mtoa taarifu aliambiwa wanataka damu ya watu. Mmoja kati ya Wamiliki aliisha shika nafasi ya juu serikalini na...
3 Reactions
94 Replies
24K Views
Ningependa kupata michango kutoka kwenu great thinkers.Nani haswa anapaswa kupewa sifa hiyo ya u genius?
3 Reactions
184 Replies
49K Views
Mpaka hii leo kuna watu ambao ukiwaeleza habari za freemasons huona tu kama ni hadithi za kufikirika na kwamba hazina uhalisia wowote katika maisha ya kawaida. Well, kama wewe ni mmoja wa watu...
8 Reactions
44 Replies
14K Views
Nilitaka kujua hali ya kiusalama kwa mtu atakayekuwapo ndani ya Tanzania endapo bomu la nuklia litarushwa na kwenda kulipukia lets say Washington DC, au labda London, au perhaps Beijing au pengine...
1 Reactions
72 Replies
11K Views
Utamaduni ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuhifadhi hadhi na heshima ya mtu na kumfanya atambulike kila mahali. Mbali na hayo, lakini zipo tamaduni ambazo zinabaki kuwa za sehemu moja pekee na...
11 Reactions
45 Replies
10K Views
WanaJF intelligence habari za asbuhi.... Bila kupoteza muda ningependa kwenda mojamoja kwenye mada ...... Je upi ni ukweli kuhusu philadelphia experiment? Inasemekana mnamo october 28, 1943...
24 Reactions
245 Replies
42K Views
Kwanza kabisa nianze kwa kumshukuru Mungu kwa mema yote aliyonijaalia kwa afya njema na upeo wa kuweza kuchanganua mambo magumu.Mada ya leo hakika ni ngumu sana wakati mwingine napata hofu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu!! Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa kawaida wanyama hurahisisha maisha ya binadamu kwa kuwa walinzi, chakula na usafiri lakini kuna baadhi ya wanyama na ndege walioweza kujiwekea heshima duniani hasa kwenye sekta maalum za...
28 Reactions
97 Replies
27K Views
Habari zenu ndg WA jamii forum,,Mimi Nina swali/maswali ambayo nahitaji kujua kama ifuatavyo Kwanini katika mzunguko WA dunia tunatumia masaa ambayo so sahihi?kwa maana ya kwamba tunatumia; 7kama...
21 Reactions
138 Replies
27K Views
Back
Top Bottom