Artificial intelligence: Ni teknolojia isiyowezekana?

Mish Albert

JF-Expert Member
Dec 25, 2015
648
557
Wasaaalam wana JI!

Kama wewe ni mpenzi wa Science fiction(sayansi ya kubuni),bila shaka jina Isaac Asimov sio geni kwako.
Mwaandishi huyu wa kimarekani aliwahi kuandika kitabu chenye mkusanyiko wa hadithi fupi za Robot kinachoitwa "I,Robot"

Katika kitabu hiki,kuna hadithi fupi inayoitwa "Runaround",hadithi hii inamuhusu Robot aliyepewa jina la QT-1 au kwa urahisi "Cutie"

Cutie alikuwa ni kiongozi wa Robots wenzake katika kituo Fulani cha anga za juu(space station) kilichopewa jukumu la kusambaza Nishati kwenye sayari nyingine kwa kutumia mionzi ya Microwave

Kutokana na uwezo mkubwa wa kufikiri aliokuwa nao,hatimaye Cutie akaanzisha dini yake iliyo wataka Robot kupiga magoti mbele ya "chanzo cha nishati" ya kituo hicho
Huku akiwambia kuwa,chanzo hicho cha Nishati alichokipa jina la Master,ndiye Mungu wao na yeye cutie ndie Nabii pekee wa Mungu huyo

"There is no master but master,and cutie is his prophet"
Robot huyu akaenda mbali zaidi na kuanza kudharau amri anazopewa na binadam huku akidai kuwa hata yeye ana uwezo wa kufikiri na kutoa maamuzi

Hukuu akirejea maneno ya mwanafalsafa Rene Descartes kuwa "I myself exist,because I think"
Juhudi za kumwangamiza Cutie zilishindikana na Robot wote wakawa waamuni wa dini yake"

Story hio ya zamani,hata kabla ya teknolojia ya Robot haijakuwa
Je siku moja tutakuwa na robot aina ya Cutie?

Artificial intelligence

Artificial intelligence ni ufaham au nafsi ya kutengeneza inayotumiwa na Mashine kwa msaada wa program ya computer

Mwaka 2015,kampuni la Marekani lenye makazi yake Hong Kong Hanson Robotics,lilitengeneza Robot mwenye mwonekano wa mwanadam(Android,)
Robot huyu ana uwezo mkubwa wa kuzungumza na mwanadam kiasi cha mwanadam kuhisi anazungumza na kiumbe chenye nafsi,Robot huyo akapewa jina la Sophia
Uwezo mkubwa wa huyu Robot ukafanya Nchi ya Saudi Arabia kumpa urai na akawa robot wa kwanza kuwa mwananchi

Sophia ni miongoni ya maelfu ya Robot wanaojulikana kama AL(artificial intelligent)
Lakini swali la kujiuliza ni kuwa "Je Robot hawa wana uwezo wa kufikiri kama tunavyodhani au kuaminishwa?
Jibu ni HAPANA

TURING TEST

Mwaka 1950,mgunduzi wa computer Alan Turing,alitengeneza mbinu itakayo wezesha kutambua kama Robot ana uwezo wa kufikiria

Alisema kuwa "kama Machine(Robot),anaye ongea na binadam ataweza kumfanya binadam ashindwe kutofautisha kuwa anayeongea nae ni Robot au binadam,basi Robot huyo atakuwa na uwezo wa kufikiri"

"If robot will convince human that is speaking to another Human,then that Robot can be considered to think"
Sasa Hawa AL,kama Sophia wamefanikiwa kufaulu Turing test,na kama wakifungiwa kwenye chumba,na ukapewa nafasi uonge nao,lazima utaamin kuwa unaongea na Binadam wenzako

Je ni kweli wanafikiria?

CHINESE ROOM ARGUMENT

Kujibu swali hilo hapo juu acha nitumie hoja hii

Moja kati ya wanafalsafa ma genius, walio fanikiwa kuonyesha upuuzi wa Artificial intelligence ni John searle
Searle alikuja na jaribio hili la kufikirika ( thought experiment) alilolipa jina la Chinese room

Kuna sherehe mtaa wa pili,nitaendelea nikirudi
 
Wasaaalam wana JI!

Kama wewe ni mpenzi wa Science fiction(sayansi ya kubuni),bila shaka jina Isaac Asimov sio geni kwako.
Mwaandishi huyu wa kimarekani aliwahi kuandika kitabu chenye mkusanyiko wa hadithi fupi za Robot kinachoitwa "I,Robot"

Katika kitabu hiki,kuna hadithi fupi inayoitwa "Runaround",hadithi hii inamuhusu Robot aliyepewa jina la QT-1 au kwa urahisi "Cutie"

Cutie alikuwa ni kiongozi wa Robots wenzake katika kituo Fulani cha anga za juu(space station) kilichopewa jukumu la kusambaza Nishati kwenye sayari nyingine kwa kutumia mionzi ya Microwave

Kutokana na uwezo mkubwa wa kufikiri aliokuwa nao,hatimaye Cutie akaanzisha dini yake iliyo wataka Robot kupiga magoti mbele ya "chanzo cha nishati" ya kituo hicho
Huku akiwambia kuwa,chanzo hicho cha Nishati alichokipa jina la Master,ndiye Mungu wao na yeye cutie ndie Nabii pekee wa Mungu huyo

"There is no master but master,and cutie is his prophet"
Robot huyu akaenda mbali zaidi na kuanza kudharau amri anazopewa na binadam huku akidai kuwa hata yeye ana uwezo wa kufikiri na kutoa maamuzi

Hukuu akirejea maneno ya mwanafalsafa Rene Descartes kuwa "I myself exist,because I think"
Juhudi za kumwangamiza Cutie zilishindikana na Robot wote wakawa waamuni wa dini yake"

Story hio ya zamani,hata kabla ya teknolojia ya Robot haijakuwa
Je siku moja tutakuwa na robot aina ya Cutie?

Artificial intelligence

Artificial intelligence ni ufaham au nafsi ya kutengeneza inayotumiwa na Mashine kwa msaada wa program ya computer

Mwaka 2015,kampuni la Marekani lenye makazi yake Hong Kong,lilitengeneza Robot mwenye mwonekano wa mwanadam(Android,)
Robot huyu ana uwezo mkubwa wa kuzungumza na mwanadam kiasi cha mwanadam kuhisi anazungumza na kiumbe chenye nafsi kama Sophia
Uwezo mkubwa wa huyu Robot ukafanya Nchi ya Saudi Arabia kumpa urai na akawa robot wa kwanza kuwa mwananchi

Robot ni miongoni ya maelfu ya Robot wanaojulikana kama AL(artificial intelligent)

Lakini swali la kujiuliza ni kuwa "Je Robot hawa wana uwezo wa kufikiri kama tunavyodhani au kuaminishwa?
Jibu ni HAPANA

TURING TEST

Mwaka 1950,mgunduzi wa computer Alan Turing,alitengeneza mbinu itakayo wezesha kutambua kama Robot ana uwezo wa kufikiria

Alisema kuwa "kama Machine(Robot),anaye ongea na binadam ataweza kumfanya binadam ashindwe kutofautisha kuwa anayeongea nae kuwa ni Robot au binadam,basi Robot huyo atakuwa na uwezo wa kufikiri"

"If robot will convince human that is speaking to another Human,then that Robot can be considered to think"
Sasa Hawa AL,kama Sophia wamefanikiwa kufaulu Turing test,na kama wakifungiwa kwenye chumba,na ukapewa nafasi uonge nao,lazima utaamin kuwa unaongea na Binadam wenzako

Je ni kweli wanafikiria?

CHINESE ROOM ARGUMENT

Kujibu swali hilo hapo juu acha nitumie hoja hii

Moja kati ya wanafasafa ma genius, walio fanikiwa kuonyesha upuuzi wa Artificial intelligence ni John searle
Searle alikuja na jaribio hili la kufikirika ( thought experiment) alilolipa jina la Chinese room

Kuna sherehe mtaa wa pili,nitaendelea nikirudi[/U]
mkubwa hongera kwa yote..


but naomba nikuhakikishie kuwa Mfumo wa kisasa wa utengenezaji wa Robort unaoenda kufanywa na kampuni inayokaa huko Japan inaenda kutengeneza Robort ambaye atakuwa ana uwezo wa kufanya mazungumzo na mwanadamu yoyote yule..


mpkaa sasa kampuni hiyo imeiuzia Google ink program maalum inayoitwa "OK GOOGLE' ambayo inasynchronize na google search engine ambayo inamsaidia mtu kutafuta documents zozote unazotaka mtandao kwa kuuliza swali lolote unalotaka google ikuletee majibu au informations zake..

pale ni kwamba kuna kuwa na Artifial Intelligent ambayo imesynchroniziwa na common language ( universal language kwenye mental processor yake)

inaweza kutambua sauti yoyote ile halafu itakujibu kwa usahihi..

Ingawa bado Google wanataka iwe inatumika kwa lugha zote duniani yani tunapoelekeaa itafanyiwa synchronization ya all language ili iwe rahis kutambua kitu unachouliza..

kuhusu Robort Sophia bado kuna draw backs nying sna kwa technolojia iliyotumika kumtengeneza sophia..

bado kuna makampuni mengine yamemuomba huyo huyo Sophia yamuongezea sensor mental detector ambayo atafanyiwa synchronization ya mental circuit zake na universal dictionary katika maneno yote..

yani wanaenda kumfeed processor zenye gigabyte za kutosha kiasi kwamba unapotaja neno lolote basi mental processor zake zinawahi kudetect kwenye mfumo wa recognition center na kutranslate hilo neno ndani ya sekunde moja kisha kuingiza taarifa hizo kwenye server ya dictionary yake na kupata options answers kwa neno lile..

unambiwa hivi The future is exciting


soma kitabu cha mwandishi mmoja mtabe wa phyisics of the future kinaitwa

PHYISICS OF THE FUTURE ,written by MICHIO KAKU ,

kaelezea protocol zote juu ya the future

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkubwa hongera kwa yote..


but naomba nikuhakikishie kuwa Mfumo wa kisasa wa utengenezaji wa Robort unaoenda kufanywa na kampuni inayokaa huko Japan inaenda kutengeneza Robort ambaye atakuwa ana uwezo wa kufanya mazungumzo na mwanadamu yoyote yule..

Robot kufanya mazungumzo na mwanadam inawezekana,ila Je huyo Robot anaelewa hayo mazungumzo?
And that's point ya huu uzi

pkaa sasa kampuni hiyo imeiuzia Google ink program maalum inayoitwa "OK GOOGLE' ambayo inasynchronize na google search engine ambayo inamsaidia mtu kutafuta documents zozote unazotaka mtandao kwa kuuliza swali lolote unalotaka google ikuletee majibu au informations zake..

pale ni kwamba kuna kuwa na Artifial Intelligent ambayo imesynchroniziwa na common language ( universal language kwenye mental processor yake)

inaweza kutambua sauti yoyote ile halafu itakujibu kwa usahihi..

Ingawa bado Google wanataka iwe inatumika kwa lugha zote duniani yani tunapoelekeaa itafanyiwa synchronization ya all language ili iwe rahis kutambua kitu unachouliza..

kuhusu Robort Sophia bado kuna draw backs nying sna kwa technolojia iliyotumika kumtengeneza sophia..

bado kuna makampuni mengine yamemuomba huyo huyo Sophia yamuongezea sensor mental detector ambayo atafanyiwa synchronization ya mental circuit zake na universal dictionary katika maneno yote..

yani wanaenda kumfeed processor zenye gigabyte za kutosha kiasi kwamba unapotaja neno lolote basi mental processor zake zinawahi kudetect kwenye mfumo wa recognition center na kutranslate hilo neno ndani ya sekunde moja kisha kuingiza taarifa hizo kwenye server ya dictionary yake na kupata options answers kwa neno lile..

unambiwa hivi The future is exciting


soma kitabu cha mwandishi mmoja mtabe wa phyisics of the future kinaitwa

PHYISICS OF THE FUTURE ,written by MICHIO KAKU ,

kaelezea protocol zote juu ya the future

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nimalize huu uzi,ndo utajua kwanini hizi teknolojia ni hazina matunda yanayokusudiwa
 
Robot kufanya mazungumzo na mwanadam inawezekana,ila Je huyo Robot anaelewa hayo mazungumzo?
And that's point ya huu uzi


Ngoja nimalize huu uzi,ndo utajua kwanini hizi teknolojia ni hazina matunda yanayokusudiwa
tangiapo wachache ndo wanatakiwa kuwa more civilized ila wengine tusubiri kuwa vyambo tu...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Robot kufanya mazungumzo na mwanadam inawezekana,ila Je huyo Robot anaelewa hayo mazungumzo?
And that's point ya huu uzi


Ngoja nimalize huu uzi,ndo utajua kwanini hizi teknolojia ni hazina matunda yanayokusudiwa
Artificial Intelligence has nothing to benefit from you but you to benefit from it..


Kwani nikisema simu unayotumia inabenefit nini kwako zaidi ya wew kubenefit from it coz inasimplify maongezi yako na mtu mwingine..

Lengo la kampuni ni kumfanya mwanadam awe more fantasy na technolojia kwa benefits wanazozijua wao..

Artificial Itelligence has nothing to benefit from your talkings..

Any way ngoja tusubiri umalizie uzi wako pengine there is something new unacho..

sory lakini ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu utiifu wao. Hawawezi siku wakaamua wao ndiyo wawe ma master na sisi watumwa wao?
Niliangalia Tau etc inaonesha Robot anaweza kataa shauri au akajiamulia master mwingine mbali na creator wake
 
Vipi kuhusu utiifu wao. Hawawezi siku wakaamua wao ndiyo wawe ma master na sisi watumwa wao?
Niliangalia Tau etc inaonesha Robot anaweza kataa shauri au akajiamulia master mwingine mbali na creator wake
Robot kwa teknolojia ya sasa hawawezi kwenda nje ya mfumo unaowaongoza(Program)

Kama utawa program kuwa wewe wanapiga makofi kila unapo maliza kuongea,wataendelea kufanya ivo milele mpaka pale utakapo badili software inayo waongoza
 
Robot kwa teknolojia ya sasa hawawezi kwenda nje ya mfumo unaowaongoza(Program)

Kama utawa program kuwa wewe wanapiga makofi kila unapo maliza kuongea,wataendelea kufanya ivo milele mpaka pale utakapo badili software inayo waongoza
Na kama softwares au program ulizotumia kumtengeneza Robot zikaliwa na virus whats Next kwa robot wako mkuu?

Tumeshuhudia tu baadhi ya simu ambazo program zake zimeliwa na virus (Eg tecno phone) zinavyojioparate ukigusa audio file inafungua contact sometime inajipiga mara inajitype ili mradi tu vurugu mechi.

Sasa pata picha Robot ambayo umeiunda na software zake zikaliwa na virus alafu ikaanza kujioparate yenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkubwa hongera kwa yote..


but naomba nikuhakikishie kuwa Mfumo wa kisasa wa utengenezaji wa Robort unaoenda kufanywa na kampuni inayokaa huko Japan inaenda kutengeneza Robort ambaye atakuwa ana uwezo wa kufanya mazungumzo na mwanadamu yoyote yule..


mpkaa sasa kampuni hiyo imeiuzia Google ink program maalum inayoitwa "OK GOOGLE' ambayo inasynchronize na google search engine ambayo inamsaidia mtu kutafuta documents zozote unazotaka mtandao kwa kuuliza swali lolote unalotaka google ikuletee majibu au informations zake..

pale ni kwamba kuna kuwa na Artifial Intelligent ambayo imesynchroniziwa na common language ( universal language kwenye mental processor yake)

inaweza kutambua sauti yoyote ile halafu itakujibu kwa usahihi..

Ingawa bado Google wanataka iwe inatumika kwa lugha zote duniani yani tunapoelekeaa itafanyiwa synchronization ya all language ili iwe rahis kutambua kitu unachouliza..

kuhusu Robort Sophia bado kuna draw backs nying sna kwa technolojia iliyotumika kumtengeneza sophia..

bado kuna makampuni mengine yamemuomba huyo huyo Sophia yamuongezea sensor mental detector ambayo atafanyiwa synchronization ya mental circuit zake na universal dictionary katika maneno yote..

yani wanaenda kumfeed processor zenye gigabyte za kutosha kiasi kwamba unapotaja neno lolote basi mental processor zake zinawahi kudetect kwenye mfumo wa recognition center na kutranslate hilo neno ndani ya sekunde moja kisha kuingiza taarifa hizo kwenye server ya dictionary yake na kupata options answers kwa neno lile..

unambiwa hivi The future is exciting


soma kitabu cha mwandishi mmoja mtabe wa phyisics of the future kinaitwa

PHYISICS OF THE FUTURE ,written by MICHIO KAKU ,

kaelezea protocol zote juu ya the future

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema jamaa namuonà kama yuko theoretical sana I mean vitu anavyozungumza sidhani kama ni applicable in real life
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom