Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 859
Nchi inaelekea pabaya waTANZANIA sasa wapigwa marufuku COCO BEACH!
Kuna taarifa kuwa baada ya kutumia pesa za walipa kodi, WATANZANIA sasa wamepigwa MARUFUKU kwenda ufukweni na serikali kupitia halmashauri ya jiji
Jamani haya yanatokea TANZANIA ya mwaka 2007 na siyo 1957
Kuna taarifa kuwa baada ya kutumia pesa za walipa kodi, WATANZANIA sasa wamepigwa MARUFUKU kwenda ufukweni na serikali kupitia halmashauri ya jiji
Jamani haya yanatokea TANZANIA ya mwaka 2007 na siyo 1957