Walinzi wa Rais kufuga vitambi imekaaje?

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,494
Habari!
Leo niliamua kushangaa kidogo ufunguzi wa kiwanda cha unga wa mahindi hapa kambi ya Mlale Songea! Nimefanikiwa kuwa mbele mbele kidogo hivyo tukio zima nimelishuhudia vyema!

Kuna haka ka changamoto ka walinzi wa raisi kuwa na vitambi plus unene usio na mpangilio, hivi hii imekaaje?

Yaani na mazoezi yote wanayofanya bado wanafuga vitambi? Jeshi haliwezi kupanga refresher trainings za kuwaporomoa vile vitumbo?

Kwa nini wasijifunze toka majeshi ya wenzetu?

Raisi anakonda, walinzi wake wananenepa!

Nashauri: Mtu akishindwa kuporomosha tambi lake aondolewe kwenye list ya walinzi wa The first One!

Wanajeshi nanyi hivyo vitambi mnavyofuga mviporomoe asee! Kama mmeshindwa hilo mkapashe misuli kidogo huko makambini au in real battles!!
images%20(1).jpg
20160301jb-17-620x410.jpg
images%20(3).jpg
images%20(2).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sizani kama unaelewa protocol ya usalama sijaona kitambi apo nimeona mwili achanisha kitambi na mwili hivi mtu wa usalama aliyebobea katika kuangalia usalama wa Rais lazima awe komando ?

Lazima utofautishe kiasi Kati ya mtu anayehakikisha ulinzi wa Rais na mlinzi wa Rais , anayehakikisha ulinzi wa Rais maana yake yeye ni intelijensia anazuia tukio kabla halijatokea mostly na yupo na jopo kubwa la walinzi wa Rais wasioonekana na wanaoonekana.

Boadguard aliyepo nyuma ya Rais ndio komandoo yeye yupo tayari kwa lolote kupambana kuokoa maisha ya Rais .

Kwahiyo hatuwezi kuwahukumu kwa kuwa na vitambi kazi yao kubwa wanaofanya ndio maana unaona ni vigumu sana Rais kudhurika.
 
Sizani kama unaelewa protocol ya usalama sijaona kitambi apo nimeona mwili achanisha kitambi na mwili hivi mtu wa usalama aliyebobea katika kuangalia usalama wa Rais lazima awe komando ?
Hao wa chini sio lazima wawe makomandoo, huenda ni kozi za uluteni Usu tu! Hilo zoezi la mwishoni kuvuka kwa kamba hata JKT tulipiga sana tu hata skauti tulipiga.

Kwa pic sikuweka picha yoyote ya walinzi wa leo, ila wenye vitambi wapo kibao tu. Hiyo pic ni old kidogo as hata yule Luteni wa zamani alikuwa bado anamlinda mkuu. Hapo waanalyse hao wawili wenye suti, muache Gambo as sio mlinzi!

Ulinzi huendana na fitness, unene unapunguza ufanisi wa flexibility (japo wapo wanene baadhi wako fit)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamshike bega rais uone shughuri ya kitambi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mpk nimshike bega?? Mbona sasa kama ni madhara yashakuwa yametokea kabla ya kulifikia bega?

Hata wewe nikikushika bega lazima utahitaji kunidhibiti, sembuse walinzi wa mkulu?

Wapunguze vitambi bana, warudi kwa zoezi wawe na fit bodies!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooohoh, unawaharibia wenzio ugali, usikute wakapanguliwa kweli. Maana huu ni kama uzi wa tatu hapa JF ukijadili vitambi vya hawa watu!!

Enzi za mkwere kulikuwa na mura mmoja matata/fitikali fit hata kwa macho, pembeni kuna mmama msuka twende kilioni. Kulikuwa hakuna vitambi safu ya ulinzi wa CNC
 
Habari!
Leo niliamua kushangaa kidogo ufunguzi wa kiwanda cha unga wa mahindi hapa kambi ya Mlale Songea! Nimefanikiwa kuwa mbele mbele kidogo hivyo tukio zima nimelishuhudia vyema!

Kuna haka ka changamoto ka walinzi wa raisi kuwa na vitambi plus unene usio na mpangilio, hivi hii imekaaje?

Yaani na mazoezi yote wanayofanya bado wanafuga vitambi? Jeshi haliwezi kupanga refresher trainings za kuwaporomoa vile vitumbo?

Kwa nini wasijifunze toka majeshi ya wenzetu?

Raisi anakonda, walinzi wake wananenepa!

Nashauri: Mtu akishindwa kuporomosha tambi lake aondolewe kwenye list ya walinzi wa The first One!

Wanajeshi nanyi hivyo vitambi mnavyofuga mviporomoe asee! Kama mmeshindwa hilo mkapashe misuli kidogo huko makambini au in real battles!!View attachment 1066009View attachment 1066022View attachment 1066023View attachment 1066024

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mpuuzi mzururaji jaribu kusogea karibu uone moto wake sio wazembe kama u
Ulivyo wewe Na Tumbo lako kama Meneja WA beer
 
Kuna mwamba mmoja ailiwai kumzaba kibao mzee wa msoga pale ccm kirumba mwanza juu ya jukwaa,,

,,ule ni udhaifu sana kwa usalama wa rais..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mpuuzi mzururaji jaribu kusogea karibu uone moto wake sio wazembe kama u
Ulivyo wewe Na Tumbo lako kama Meneja WA beer
Pole sana, hujui unaongea nini! Nenda hata mgambo utapata ABCs walau za ulinzi wa mtaa!

Yaani we unawapima walinzi wa Raisi kwa kupambana na raia watakaomsogelea rais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila kwa life la ikulu kuondoa kitambi ni ngumu sana, mfano mzuri ni yule jamaa black alie kua nae toka kwenye kampeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, ni ngumu. Ila kwa wenzetu, wangekuwa wanarudi refresher courses mf miezi 3, ukirudi uko fit kabisa. Au kuna kupangiwa kazi ingine wanaingia wengine. Mf pale Vatcan, walinzi wa rais huwa na 25 yrs, ukizi tu, unapunguzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom