Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Nashanga wana JF na waTanzania tuhuma kubwa kwa jeshi la Polisi na maafisa wake waandamizi zilizotolewa na Reginald Mengi kuwa Polisi kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa Kiasia waliandaa mpango...
3 Reactions
62 Replies
11K Views
Nchi inaelekea pabaya waTANZANIA sasa wapigwa marufuku COCO BEACH! Kuna taarifa kuwa baada ya kutumia pesa za walipa kodi, WATANZANIA sasa wamepigwa MARUFUKU kwenda ufukweni na serikali kupitia...
1 Reactions
109 Replies
22K Views
Hackers from Israel were behind the discovery that Russian spies were using the popular Kaspersky Lab antivirus software to spy on American intelligence agencies, according to reports. The...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
NGUVU ZA ASILI NA NGUVU ZA AKILI. Nguvu za akili ni ule uwezo wa kumuunganisha mtu na nguvu asili. Hakuna kitu kishindacho nguvu za asili na nguvu za asili zikiingia ndani ya mwili wa binadamu...
19 Reactions
48 Replies
14K Views
Mtu wa falsafa, mwanamikakati, mpanga mipango na muandishi aliekua na uwezo, na mawazo ambayo yanatumika kwa kiasi kikubwa na mashirika ya kijasusi, kutoa elimu yakijasusi, usalama wa mataifa...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Hizi sifa nimezitoa nchi moja hivi siitaji jina. Lazima uwe mzalendo wa kweli wa nchi yako Usiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa Uwe na IQ kubwa Uwe na mafunzo ya kijeshi Upitie mafunzo ya...
9 Reactions
52 Replies
17K Views
Tangu zamani za kale, mwanadamu alitegemea neema ya asili ya mazingira ya eneo husika kujipatia mahitaji yake muhimu hasa chakula na makazi. Kuna baadhi ya maeneo yalijaliwa kuwa na: Mvua na maji...
2 Reactions
8 Replies
8K Views
Katika pitapita zangu nmekuja jua kuwa katika mtu kuna mambo makuu matatu, yaani nafsi, akili na mwili. Nafsi ndio mtu mwenye kwa maana yu hai hata ukitoka mwili(kufa). Leo nataka mwenye kujua...
7 Reactions
44 Replies
9K Views
Miaka ya karibuni kumekua na ukuaji wa cashless technology, na kuna nchi za Scandinavia ziko katika mpango wa kuondoa ela zote katika jamii zao japokua bado hawajafanikiwa Kwa 100%. Na ukuaji wa...
7 Reactions
68 Replies
9K Views
Habarini wanajukwaa...... Nianze nakuwaomba kama kutakua nakuongezea au kupunguza naomba marekebisho yatajwe ila si kuponda nadhani utakua msingi mzuri zaidi wa hoja ntakayoitoa Muda si mrefu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mara baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Sept 11, Rais wa Marekani wa wakati huo George W Bush, alitoa hotuba fupi akiwa na hasira na macho yake yakiwa mekundu, akiwa ametoka kujificha kwenye...
23 Reactions
51 Replies
8K Views
Nianze kwa kusema nakumbuka nikiwa bado mdogo mdogo, nilikuwa na sifa moja kubwa sana mtaani kwetu ya ubishi. Hata kama ulete fact za kiwango gani lakini niki-stickkatika msimamo wangu ni hapo...
19 Reactions
252 Replies
54K Views
Kafara ni aina ya sadaka ya damu inayotolewa ili kufunika uovu au shukrani Kwa Mungu/miungu. Na uovu ni udhaifu fulani unaotokana na jamii husika kwenda kinyume au kumsahau Mungu wao Kwa mda...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Tumekua tukishuhudia au sisi wenyewe kuvaa nguo nyeusi wakat tunapofiwa na ndugu ,jamaa na marafiki zetu wa karibu . Lakini hata hivyo watu wengi huwa hawaelewi why wafiwa na baadhi ya...
5 Reactions
18 Replies
5K Views
Here is the list of things which make our generation unhappy: Generation is unhappy because there is no optimism in society overall. More peace but division in politics makes it worse and...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna ulimwengu wa roho na wa mwili, ulimwengu wa roho mahali roho zipoishi na kuna miili ya huko ambayo haifii (living body) tofaut ya duniani ambayo hufa. Ulimwengu wa mwili mahali miili ya nyama...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Atheism, in general, the critique and denial of metaphysical beliefs in God or spiritual beings. As such, it is usually distinguished from theism, which affirms the reality of the divine and often...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini za mchana. Ninaleta uzi kidogo kuhusu ishu ya black magic, kwani katika soma soma ya vitabu nimepata vitu kidogo vya kuwashirikisha, karibuni. Tuanze nini maana ya Black Magic: huu ni...
2 Reactions
28 Replies
10K Views
Kumekuwa na utata mwingi kuhusu siku maalum hasa kwa ibada pale unapokutana na watu wanaosema sabato ni Jumapili na wengine wakisema ni Jumamosi na wote wakiwa sababu zinazowafanya waamini katika...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kampuni kubwa ya kutengeneza ndege Duniani ya Boeing yenye makao makuu yake Illinois Chicago Marekani imekumbwa na msukosuko wa ndege zake toleo jipya kabisa aina ya 737 MAX 8 kupata ajali mara...
19 Reactions
85 Replies
14K Views
Back
Top Bottom