Habari zenu.
natumai ni wazima wa afya lakini wale ambao hawako fresh.Nawapa pole.
Thread hii inaweza isikupe majibu ya maswali yako mengi ambayo umatafuta majibu na ukakosa lakini inaweza kukupa...
Kwa muda mrefu nimefuatilia kuhusu mpango wa hizi secret societies wa kuestablish mpango wao wa One World Order. Kwa taarifa tu ni kuwa kwa sasa mpango wao uko ktk hatua za mwisho na nchi pekee...
Wakuu kama swali linavyouliza hapo juu;
Nimekuwa nikipata mkanganyiko mkubwa pale ambapo nakutana na mjadala unaoelezea chanzo au mwanzo wa dhambi.
Nadharia ya kwanza ni kuwa chanzo cha dhambi...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dinosaria_wa_Tendaguru
Kuna kijitabu kiliochotolewa mnamo mwaka 1998 kuhusu dinosauri ambao mifupa yao yalipatikana pale Tendaguru, Lindi. Jina la Tendaguru ni...
Kutokana na wimbi la mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi kote nchini inashauriwa kuwa kila kituo cha polisi ijengwe mortuary ili maiti zote zinazotokana na mauaji ya polisi zihifadhiwe huko...
Njia iliyotumika:
Malori yenye baruti vilipushi yalitumika kutekeleza mashambulio mbele ya balozi.
Idadi ya waathirika:
Zaidi ya watu 300 (Tanzania na Kenya) waliuwawa huku 4000 wakijeruhiwa...
hii ni picha ya dunia iliyotokana na CGI,na nyingine nyingi kama tunaweza kushare,unaweza kutazama kwa umakini picha halisi na isiyo halisi yaani za kuundwa na computer kupelekea kufanana kama...
Kheri nusu shari kuliko shari kamili, wanaoukuja kuchukua vitambulisho vya taifa ni kama heading inavyosema ni vizuri kuchukua hatua kabla ya ajali.
Je wameukana uraia wao huko walikotoka. Vyombo...
Wakuu hebu tusome hadithi hizi za kushangaza kuhusiana na makundi ya mafia. Ukijisikia kuchangia, wewe changia, lakini dhumuni kuu ni kuelimishana na kupass time kwani leo ni jumatatu,wengi bado...
ni swali dogo fikirishi kidogo . leo hii ukiulizwa wamisri bila shaka kabisa utasema ni waarabu. ukiulizwa wazambia utasema ni waafrika. ukiulizwa wamarekani/faransa utasema ni wazungu. ukiulizwa...
Habari wakuu,
Dunia ilipofika sasa ni kwenye stage ya "high manipulation zone" ni hatua ambayo wanadamu asilimia kubwa wako easily controlled na so called "hidden system" ambayo huona output zake...
Jana wakati nipo katika mizunguko yangu pale Kawe - Dsm lilitokea jambo ambalo nilikuwa nasikia katika hadithi za vijiweni but for the first time nlikuwa katika scene iliyomuhusisha kijana mmoja...
Almost half of the global population believes in the concept of re-incarnation. This is a belief of the soul re-living the physical life after the death of an individual. The form and status of...
Kwanini Marekani ! Kila Kichwa Cha Mtu Duniani Anasema Yake Kwa Amerika Ivi Nchi Ya Marekani Wanategemea Nini Haswa Kwa Ubabe Wake Ambacho Ukikipata Hicho Umemuua Mwamerika
Ni Nini Icho Na...
Excluding few freethinkers and philosophers, good number of human race believe in scriptures. Can somebody give me the logical reasons behind this fate..?
Wakuu!
Nimeanzisha uzi huu kujaribu kutoa utetezi kinyume na hoja inayopinga uwepo wa Mungu kwa hoja kwamba ulimwengu huu unathibitisha kwamba 'Mungu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote'...
Mnyama huyu hufahamika pia kwa jina la ndovu au kwa lugha ya kigeni huitwa Elephant, lakini pia jina lake la kisayansi hufahamika kama Loxodanta Africana.
Tembo ndio mnyama pekee ambaye ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.