getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Wakuu habari za jioni..
Kumekuwa na makala mbalimbali zinaozo elezea umbali ambao wanasayansi wameshafikia angani. Wameweza safiri mpaka kwenye mwezi na wameweza tuma vyombo vya uchunguzi katika anga kujua sayari nyingine na umbali wake.
Je Binadamu ameshakwenda umbali gani chini ya ardhi kwa rekodi zilizopo? Je binadamu wameshasafiri kwa umbali upi kwenda chini na wamegundua kitu gani chini ya ardhi ya sayari yetu katika kudrill. Ama kuchimba?
Nawasilisha kwa wataalam wa Elimu ya miamba..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na makala mbalimbali zinaozo elezea umbali ambao wanasayansi wameshafikia angani. Wameweza safiri mpaka kwenye mwezi na wameweza tuma vyombo vya uchunguzi katika anga kujua sayari nyingine na umbali wake.
Je Binadamu ameshakwenda umbali gani chini ya ardhi kwa rekodi zilizopo? Je binadamu wameshasafiri kwa umbali upi kwenda chini na wamegundua kitu gani chini ya ardhi ya sayari yetu katika kudrill. Ama kuchimba?
Nawasilisha kwa wataalam wa Elimu ya miamba..
Sent using Jamii Forums mobile app