Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Huu ni muendelezo wa Taratibu na Sheria za akili na ufahamu. Akili ya mwanadamu ni sehemu ambayo watafiti wengi wamekuwa wakihamasika kuielewa. Akili ni sehemu pana sana kwa mwanadamu. Ni...
16 Reactions
39 Replies
20K Views
Mara nyingi nimekua nikiona watu wanaoleta mada ambazo wanadhani ni ngumu kueleweka (hasa jukwaa hili) hua wanapenda kutumia misemo kama "Kwa akili ya kawaida huwezi kuelewa" au "mtu wa kawaida...
7 Reactions
45 Replies
7K Views
Kusoma Sheria ya Kwanza BONYEZA HAPA. Sheria Kuu Kumi za Ulimwengu na Akili (10 Laws of the Mind and Universe/Universal Laws Sheria ya Uhuru wa Kufikiria. Ni kutoka katika mada ya...
14 Reactions
53 Replies
12K Views
Tarehe 10 February mwaka 2017 ilikuwa ni siku ya kutimiza miaka 100 tangu kifo cha Geronimo ambaye alikuwa ni shujaa kutoka Jamii ya Apache( hawa ni mashujaa wa wahindi wekundu au wakazi asilia...
52 Reactions
399 Replies
91K Views
Hii ni simulizi ya ulimwengu wetu kabla ya utawala wa kwanza kuanza kuutawala ulimwengu wetu 7000BC. simulizi hii inaelezea jinsi gani ulimwengu wetu ulikuwa before the 1st Egypt civilization...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi? Naomba kuuliza mwenye ufahamu na haya mambo nadhani hili swala watu wa psychology watakua na ufahamu zaidi. Kwanza kabisa mimi binafsi kwa uelewa wangu nilikua najua kuwa...
0 Reactions
53 Replies
10K Views
Around 80 percent of Vatican priests are gay, according to a new book which details alleged secret relationships, male prostitutes and stunning hypocrisy from the most anti-gay members of upper...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Alikuwa ni mwandishi ambaye wengi wetu tulikuwa tukimsoma sana; aliuawa miaka michache tu iliyopita (2006);watuhumiwa kuhusika walikamatwa?
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Binadamu wa kwanza kuumbwa Na Mungu ni Adam Na Hawa.Watoto waliowazaa ni Abel Na Kaini.Abeli Na Kaini walioa je Wake zao ni kizazi cha nani?
12 Reactions
301 Replies
66K Views
Usome hapa Tujikumbushe Mfalme Nimrod wa mnara wa Babeli
0 Reactions
7 Replies
5K Views
PROSPERITY CONSCIOUSNESS EXERCISE Asalaam habari za siku hii njema na kubwa na ya mafanikio; Natumai mu wazima. Leo tuangazie namna ya kufanya zoezi la mafanikio katika akili yako. Hii ni kanuni...
11 Reactions
32 Replies
4K Views
Wanasema binadamu alitokana na jamii ya nyani (sokwe). Then evolution ikatake place hatua kwa hatua huku akipitia vipindi tofautitofauti kama vile HOMOSAPIENS,HOMOHABILLIS & ZINJANTHROPUS...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimekua nikisikia kuwa watu waliosoma sana ndio wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. Je mimi ambaye nimekomea darasa la saba, nifanyeje ili niboreshe uwezo wangu wa kufikiri ilihali sina uwezo wa...
4 Reactions
92 Replies
31K Views
Robert Schuller katika kitabu chake cha Tough Time never last but tough people do; akimaanisha nyakati ngumu hazidumu lakini lakini watu hodari hudumu ameelezea mambo ambayo huwafanya watu hodari...
13 Reactions
24 Replies
4K Views
Huyu ndie kiongozi mwenye mamlaka makubwa duniani kuliko mtu wa aina yoyote Adolfo Nicholas ni member wa JESUIT GROUP ambalo lipo chini ya Roman catholic, vatican city Jesuit ndio members wakubwa...
40 Reactions
465 Replies
81K Views
“HUMAN ZOO” - Historia iliyosahaulika Hakuna mwalimu mzuri kama historia, kwa kadiri unavyozidi kuitafuta ndivyo unavyopata fursa ya kufahamu mambo mengi. Katika shule zetu kwa kiasi kikubwa...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Hii ni makala inayoongelea kisa kimoja kitamu sana na cha kusikitisha sana kilichowahi kutokea nchini NORWAY miaka ya 1970’s katika jiji la BERGEN ambalo limezungukwa milima na kuvutia watalii...
8 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari zenu watu wa JF.. Leo tupate kujua kidogo kuhusiana na hawa watu tunaowaita "Waarabu"...Nimepitia pitia kidogo nchi zao na pia kusoma vitabu vyao vinavyoelezea maisha yao...haya yafuatayo...
52 Reactions
390 Replies
68K Views
Habari wana- JF! Karibu katika makala fupi kuhusu "Chanzo cha Uhai" CHANZO CHA UHAI Wanasayansi wengi wanaoamini mageuzi watakuambia kwamba uhai ulianza mabilioni ya miaka iliyopita kwenye...
0 Reactions
76 Replies
9K Views
Wakati wa ukoloni na utumwa, hawa watu walitupatia elimu mbovu, walitupatia malazi na mavazi mabaya, walitupatia chakula kibovu, walituibia malighafi nyingi kwa udanganyifu Bila kusahau madhila...
7 Reactions
60 Replies
7K Views
Back
Top Bottom