Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,251
- 2,131
Habari zenu.
natumai ni wazima wa afya lakini wale ambao hawako fresh.Nawapa pole.
Thread hii inaweza isikupe majibu ya maswali yako mengi ambayo umatafuta majibu na ukakosa lakini inaweza kukupa moyo wa kuanza tena kusaka majibu ya maswali yako.Ama ukabaki njia panda usojuwe pa kwenda.
The greatest enemy of knowledge is not ignorance;it is the illusion of knowledg.By Stephen hawking.
Kumekuwa na hoja mbalimbali kuhusu uwepo wa viumbe waishio anga za mbali huko na sayari yetu(earth).Viumbe hao huitwa alliens,Wanasayansi na watafiti katika nchi mbalimbali wanakili uwepo wa viumbe hao wenye maarifa na ujuzi wa hali ya juu kabisa kuliko binadamu.Lakini kizuri zaidi wanasayansi wanasema viumbe hawa hutembelea dunia mara kwa mara.
Baadhi ya mataifa makubwa ambao yameendelea katika sayansi na teknolojia wanasema huwa wanapata signals zao hivyo hufanya mawasiliano na hawa viumbe alliens.Alliens wamekuwa msaada mkubwa sana kwa maisha ya binadamu hapa duniani kwani hutupatia ujuzi na maarifa yao.Bila shala alliens wapo na ipo siku watakuja duniani kuishi na sisi.
Fallen angles/watchers/annunaki.
Kwa mujibu wa maandika ya dini(ibraham religious)Uyahudi,islam and christian wanadai hapo zamani huko mbinguni kulitokea uhasi ambao ulipelekea robo tatu ya malaika kuamua kuondoka mara ya baada ya kufanya uhasi.
Kwa mujibu wa kitabu cha Enoch( book of enoch). Enoch ambaye alikuwa mtumishi wa Mungu lakini pia alitembea na Mungu ili kuonyeshwa ukuu na utukufu wake(Mungu).Anaeleza katika kitabu chake kuwa hapo zamani malaika walimuaasi mungu ndipo walipokimbilia duniani.
Malaika hawa wakiongozwa na Azazil na shemyza walipofika duniani waliwatamani wanawake wa kibinadamu,hivyo waliwaingilia kimwili(kujamiana)na kupata watoto.Malaika hawa walizaa na wanawake wa kibinadam viumbe wa ajabu sana waliofahamika kama Niphilims(giants).
Malaika hawa waasi ambao wanafahamika kama annunaka walifundisha wanadamu elimu ya mambo mbalimbali kama vile elimu ya sayansi na teknolojia,udaktari,unajimu, uchawi, urembo kwa wanawake,kutengeneza vifaa mbalimbali kama vile silaha za maangamizi.
Annunaki na watoto wao niphilims walifanya maovu sana duniani kwa kuua viumbe wengine hata binadamu
.Enoch anaeleza malaika hawa walimwaga sana damu za viumbe wengine wa Mungu.
Baada ya maovu kuwa mengi zaidi ndipo Mungu alipoamua kuwa angamiza kwa gharika la maji.Malaika hawa walikamatwa na kufungwa katika mbingu ya pili(second heaven).
Baada ya gharika kuisha maisha ya duniani kwa upande wa binadamu yalianza upya kwani ujuzi ma teknolojia ulisombwa na maji ya gharika,hivyo kizazi kipya kilianza from zero hadi hapa tulipo.
Conclusion:Baada ya kuzidi maovu duniani Mungu aliamua kuwafunga gerezani hawa malaika waasi katika mbingu ya pili ni miaka mingi sana imepita tangu wafungiwe huko mbinguni.Lakini kwa miaka ya hivi karibuni watalaamu wa sayansi na teknolojia wanasema kuwa kuna viumbe wenye ujuzi mkubwa na teknolojia kubwa kuliko sisi wanaishi huko anga za mbali knownn as alliens, hivyo hawa alliens wanaweka kuwa ndio wale malaika waasi.
Kumbuka baada ya kufungwa ni miaka mingi imepita hivyo hawa malaika watakuwa na familia na maisha yao huko anga za mbali,lakini pia wanatambua kuwa waliwahi kuja huku na kuishi na sisi binadamu.Hivyo wanakuja kidogo kidogo kabla ya ujio wao kamili.
L
Kama wanakuja hao alliens means huko gerezani watakuwa wanatoroka au wamepata get away ya kuingia duniani.
Samahani kwa bandiko hili refu:
Karibuni wajuzi na wataalamu wa mambo ili kujadili kwa undani zaidi.
natumai ni wazima wa afya lakini wale ambao hawako fresh.Nawapa pole.
Thread hii inaweza isikupe majibu ya maswali yako mengi ambayo umatafuta majibu na ukakosa lakini inaweza kukupa moyo wa kuanza tena kusaka majibu ya maswali yako.Ama ukabaki njia panda usojuwe pa kwenda.
The greatest enemy of knowledge is not ignorance;it is the illusion of knowledg.By Stephen hawking.
Kumekuwa na hoja mbalimbali kuhusu uwepo wa viumbe waishio anga za mbali huko na sayari yetu(earth).Viumbe hao huitwa alliens,Wanasayansi na watafiti katika nchi mbalimbali wanakili uwepo wa viumbe hao wenye maarifa na ujuzi wa hali ya juu kabisa kuliko binadamu.Lakini kizuri zaidi wanasayansi wanasema viumbe hawa hutembelea dunia mara kwa mara.
Fallen angles/watchers/annunaki.
Kwa mujibu wa maandika ya dini(ibraham religious)Uyahudi,islam and christian wanadai hapo zamani huko mbinguni kulitokea uhasi ambao ulipelekea robo tatu ya malaika kuamua kuondoka mara ya baada ya kufanya uhasi.
Kwa mujibu wa kitabu cha Enoch( book of enoch). Enoch ambaye alikuwa mtumishi wa Mungu lakini pia alitembea na Mungu ili kuonyeshwa ukuu na utukufu wake(Mungu).Anaeleza katika kitabu chake kuwa hapo zamani malaika walimuaasi mungu ndipo walipokimbilia duniani.
Malaika hawa waasi ambao wanafahamika kama annunaka walifundisha wanadamu elimu ya mambo mbalimbali kama vile elimu ya sayansi na teknolojia,udaktari,unajimu, uchawi, urembo kwa wanawake,kutengeneza vifaa mbalimbali kama vile silaha za maangamizi.
Annunaki na watoto wao niphilims walifanya maovu sana duniani kwa kuua viumbe wengine hata binadamu
Baada ya maovu kuwa mengi zaidi ndipo Mungu alipoamua kuwa angamiza kwa gharika la maji.Malaika hawa walikamatwa na kufungwa katika mbingu ya pili(second heaven).
Baada ya gharika kuisha maisha ya duniani kwa upande wa binadamu yalianza upya kwani ujuzi ma teknolojia ulisombwa na maji ya gharika,hivyo kizazi kipya kilianza from zero hadi hapa tulipo.
Conclusion:Baada ya kuzidi maovu duniani Mungu aliamua kuwafunga gerezani hawa malaika waasi katika mbingu ya pili ni miaka mingi sana imepita tangu wafungiwe huko mbinguni.Lakini kwa miaka ya hivi karibuni watalaamu wa sayansi na teknolojia wanasema kuwa kuna viumbe wenye ujuzi mkubwa na teknolojia kubwa kuliko sisi wanaishi huko anga za mbali knownn as alliens, hivyo hawa alliens wanaweka kuwa ndio wale malaika waasi.
Kumbuka baada ya kufungwa ni miaka mingi imepita hivyo hawa malaika watakuwa na familia na maisha yao huko anga za mbali,lakini pia wanatambua kuwa waliwahi kuja huku na kuishi na sisi binadamu.Hivyo wanakuja kidogo kidogo kabla ya ujio wao kamili.
L
Kama wanakuja hao alliens means huko gerezani watakuwa wanatoroka au wamepata get away ya kuingia duniani.
Samahani kwa bandiko hili refu:
Karibuni wajuzi na wataalamu wa mambo ili kujadili kwa undani zaidi.