Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,840
- 2,426
hii ni picha ya dunia iliyotokana na CGI,na nyingine nyingi kama tunaweza kushare,unaweza kutazama kwa umakini picha halisi na isiyo halisi yaani za kuundwa na computer kupelekea kufanana kama zote ni halisia...
Katika picha ya dunia mpka leo haifaamiki ilipigwa pigwaje na kwa umbali upi mpka kuleta muonekano huo la hasha hii picha si ya kweli na kuna uwezekano hakuna anaefahamu umbo la dunia liko vipi....
Tukisema walitumia hubble darubin kuna uwezekana mkubwa lenzi mduara iliyo mbele ya darudini hiyo kujiundia picha mfano wa duara kulingana na umbo la jicho la binadamu lililoendana sambamba na mbinuko duara wa darubin hiyo....
Ni vigumu mno kuamini kwa haraka haraka kama dunia ni yenye umbo la tufe....ipi ni real image ya planet hata ISS camera zao za live earth huwa na mjongeo tu usio na ukomo na wanakwesha kutuonesha bara la atrantika na badala yake wanaonesha mabara mengine...
Ni kwanini hizo kamera zao hata izo wazoita voyger zinazogundua sayari hazijawai hata sikumoja kuonesha ujumla wa bara la atlantika na lipo vipi kimuonekano wa kawaida wote kwa cgi zao kama wanavyofanya kwa muonekano wa mabara mengine...
Si kuishia hapoo tuu inakuwaje wanarusha vitu anga za juu zaidi ili hali wao wameshindwa kuzunguka bara la atlantika kunani pale hata kama ni kuna baridi kiasi gani sidhani kama wameshindwa kutengeneza vifaa vya kuwasitili na baridi wawapo huko....
Katika picha ya dunia mpka leo haifaamiki ilipigwa pigwaje na kwa umbali upi mpka kuleta muonekano huo la hasha hii picha si ya kweli na kuna uwezekano hakuna anaefahamu umbo la dunia liko vipi....
Tukisema walitumia hubble darubin kuna uwezekana mkubwa lenzi mduara iliyo mbele ya darudini hiyo kujiundia picha mfano wa duara kulingana na umbo la jicho la binadamu lililoendana sambamba na mbinuko duara wa darubin hiyo....
Ni vigumu mno kuamini kwa haraka haraka kama dunia ni yenye umbo la tufe....ipi ni real image ya planet hata ISS camera zao za live earth huwa na mjongeo tu usio na ukomo na wanakwesha kutuonesha bara la atrantika na badala yake wanaonesha mabara mengine...
Ni kwanini hizo kamera zao hata izo wazoita voyger zinazogundua sayari hazijawai hata sikumoja kuonesha ujumla wa bara la atlantika na lipo vipi kimuonekano wa kawaida wote kwa cgi zao kama wanavyofanya kwa muonekano wa mabara mengine...
Si kuishia hapoo tuu inakuwaje wanarusha vitu anga za juu zaidi ili hali wao wameshindwa kuzunguka bara la atlantika kunani pale hata kama ni kuna baridi kiasi gani sidhani kama wameshindwa kutengeneza vifaa vya kuwasitili na baridi wawapo huko....
