Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari za mchana wakuu, Bila shaka jumamosi njema sana leo. Naomba kuleta Uzi kuhusu bibi mkubwa mmoja ambaye kwenye soma soma za hapa na pale amenipa hamasa ya kushare nanyi historia ya maisha...
18 Reactions
56 Replies
12K Views
Utapeli wa 419 ni utapeli ambao pia unajulikana kama Lipa Ada Kabla (Advance Fee Scam). Ni utapeli ambao hufanywa kwa kiasi kikubwa nchini Nigeria, na namba 419 ni ‘code’ ya Nigeria ya kitengo cha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Tangu utotoni mpaka nakua nimekuwa nikisikia simulizi nyingi sana za mambo ya kuogofya, mambo ya kishirikiza, walozi, uganga, wakonikoni, Sasa hapa kwenye uganga mara nyingi watu huenda kueleza...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Ni amaeneo gani kuna wachawi zaidi kwa tanzania?
2 Reactions
163 Replies
108K Views
Unafikiri kwanini umeumbwa uishi, lakini badae unatakiwa ufe. Yaani umezaliwa unaishi lakini piga ua pamoja na mali zako badae unatakiwa ufe. KWANINI ???? Ni KWANINI..... wew haujiulizi sababu...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Natumaini wote wazima ndugu wa JF, Rejea kichwa cha habari hapo juu kwa kweli nimekua nikitafuta majibu ya hilo swali lakini nimekosa jibu sahihi Inasemekana na kusadikika ukristo ulikuja baada...
13 Reactions
253 Replies
47K Views
Rais wa zamani wa Syria bwana Hafez Assad (Baba yake na Bashar, rais wa sasa) alikuja kugundua ya kuwa idara ya ujasusi ya Israel (mafundi wa Mossad) walimtengenezea choo cha bandia kwa kutumia...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Wakuu JF ni chuo cha maarifa makubwa maana kumejaa ma-GT,katika pitapita zangu nimekutana na historia kwa ufupi kuhusu kitabu hiki "History of the necronomicon"ambacho kinasemekana ni kitabu...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Makaburi ya zamani ambayo yana majeneza kadha yaliyotengenezwa kwa mawe, na mkufu ulio na "ujumbe kutoka kuzimuni" vimegunduliwa nchini Misri. Ugunduzi huo umefanywa Minya, kusini mwa Cairo...
6 Reactions
22 Replies
5K Views
(Picha ikionyesha Warmhole na Nyota mbalimbali) Salute Comrades. Kwa references ya vitabu vya imani za dini mbalimbali zinasema kua hapo zamani Mungu aliumba ulimwengu, akaumba vyote vilivyomo...
21 Reactions
110 Replies
17K Views
Habarini wapenzi wa jukwaa hili....tulipoteana kidogo lakini naamini kila mmoja wetu ana siha njema...nawaombea afya tele na furaha pia Wengi wetu kama si kwa uchache basi kwa wingi tunachanganya...
21 Reactions
123 Replies
23K Views
Naomba kuzungumzia mfanano wa visa vya biblia takatifu na jinsi ambayo havipishani katika kusudio la ujumbe na maana licha ya stori na wahusika kuwa tofauti ila kinachowasilishwa huwa ni kile...
4 Reactions
39 Replies
8K Views
Wakuu poleni na majukumu na harakati za hapa kazi tuu!!ni mda mrefu kidogo sikuwa hapa jukwaani kutokana na kazi!!vilevile niwatakie heri ya chrissmass na mwaka mpya! Namshukuru mungu nimerudi...
9 Reactions
126 Replies
20K Views
Wakuu ni jambo la heri kumtukuza MUNGU,alitoa upendeleo zaidi kwa wanadam kuliko viumbe wengine,lakini mara nyingi wanadam tunamkwaza kwa matendo yetu maovu. Mungu anao uwezo wa kufan...
8 Reactions
106 Replies
15K Views
MKASA WA MAUAJI YA CHUMBA NAMBA 1046. (KIVULI CHA 'DON' NA JASHO LA WAPELELEZI) . . . . Katika jiji la Kansas, Missouri, mchana wa mwezi wa kwanza, tarehe 2 mwaka 1935, mwanaume mmoja aliingia...
27 Reactions
162 Replies
24K Views
Nashukuru Mungu kuendelea kuniweka hai kwa mengi niliyopitia nijionapo naendelea kuwa hai ni jambo la kustaajabisha ashukuriwe Mungu Muweza wa Yote. Poleni kwa majukumu ya kila siku na Mungu...
13 Reactions
59 Replies
9K Views
Inatisha sana. Hizi ni baadhi ya picha za ndani ya kanisa la Evora huko portugal lililojengewa kuta zake na decoratiwa kwa mafuvu. MAAJABU HAYATAISHA DUNIANI. [] Capela de Ossos Bone Chapel...
4 Reactions
37 Replies
7K Views
Bila shaka mmebahatika kuamka salama kama ilivyo kwa mzee wa kasumba Langu ni hili Naomba kujuzwa kuhusiana na masuala ya kijeshi na kiulinzi kwa ujumla wake. Hivi katika jeshi ni watu gani...
10 Reactions
354 Replies
58K Views
Katika kipindi hiki ambacho kuna vifo vingi, nime experience baadhi ya matukio ambayo huwa ni nadra kutokea ila huashiria jambo ambalo si la kheri 1. Kuna siku jirani yangu nilimkuta anamwaga...
11 Reactions
52 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…