Je, mitume na manabii waliopita kabla ya yesu na Muhammad walikuwa dini gani?

Rough player

Member
May 26, 2018
39
119
Natumaini wote wazima ndugu wa JF,

Rejea kichwa cha habari hapo juu kwa kweli nimekua nikitafuta majibu ya hilo swali lakini nimekosa jibu sahihi

Inasemekana na kusadikika ukristo ulikuja baada ya yesu inamaana huko nyuma kabla ya yeye kuja ukristo haukuwepo

Vile vile kwa uislam inasemekana kwamba huko nyuma kabla ya muhammad hakukuwa na neno linaloitwa uislam inamaana na inawezekana manabii na mitume waliopita hawakuwa wakristo wala waislam

Swali langu ni hili je hao manabii kama mussa, yusuph, ibrahim, suleyman yakobo walikua dini gani??

Nawasilisha
 
Muhimu. Swali lako limejikita katika dinii naomba nikujibu kwa mujibu wa Kitabu na sunna.(Qur'an na hadith)

Kwanza kabisa naomba ufahamu kuwa uislam umeenzaa kwa nabii Adam kuendelea, isipokuwa wakati anakuja naabii Muhammad (Rehema na amani ziwe juu yake) umma ulikuwa umepotea na kuuacha uislamu hivyo ktk kipindi kile uislamu ulishasahaulika na watu. Hata hivyo watu walee walikuwa wanaabudu masanamu.


Sasa mtume alivyokuja kuwaita watu katika uislamu, umma ule ukawa haujui kabisa uislam na ndiyo maana wakamuwekea vipingamizi vizito mtuu juu ya itikadi anayoitangaza,

Kwa kauli nyepesi tunasema mtume alikuja kufufua uislam katika umma ambao uislamu ulipokufa.



Kuhusiana na manabii na mitume wote waliopita walikuwa waislam ushahidi tunaupata kwenye Qur'an.
 
Mwenyezmungu ametuma Mitume wote 124,000 ila 25 ndio waliotajwa kwa majina ila wote waliotumwa dunian walikuja kufundisha dini moja ya kumuabudu Mungu mmoja na kujusalimisha kwa Mungu wao...mafundishi yote ya manabii msingi wange ndio huo...kuwaita watu kujisalimisha kwa Mungu wao na kumuabudu yeye pekee na kufata aliyo yaagiza kitendo hicho kwa lugha ya kiarabu kinaitwa ISLAAM...neno ISLAAM linatokana na mzizi neno SILIM maana yake kujisalimisha pia linatokana na mzizi neno salam maana yake amani...so mitume wote kuanzia adam had Muhhamad walifundisha aman na kujisalimisha kwa MwenyezMungu.!..

Ukristo ni neno lulitokana wahayahud kuwatambulisha wale waliokuwa wanafata mafundisho ya Yesu ambao wayahud wengi wakimktaa so wale walikuwa wanafata mafumdisho yake waliitwa wafuasi wa masihi ambayo hiyo masihi ikatafsiriwa kwa kigiriki kama kristos na baadae kwa kingereza kama crirst..ndio maana tafuta bible zote na vitabu vyote hakuna mahali Yesu amehubuiri Ukristo au kutamka hilo neno sababu neno hilo limekuja miaka 300 baada ya yeye kuondoka na limetokana jina lake na yeye hakuja na dini mpya...kama alivyosema amekuja kutekeleza yaliyopita na sio kuyavunja au kuyabadili.!
 
Muhimu. Swali lako limejikita katika dinii naomba nikujibu kwa mujibu wa Kitabu na sunna.(Qur'an na hadith)

Kwanza kabisa naomba ufahamu kuwa uislam umeenzaa kwa nabii Adam kuendelea, isipokuwa wakati anakuja naabii Muhammad (Rehema na amani ziwe juu yake) umma ulikuwa umepotea na kuuacha uislamu hivyo ktk kipindi kile uislamu ulishasahaulika na watu. Hata hivyo watu walee walikuwa wanaabudu masanamu.


Sasa mtume alivyokuja kuwaita watu katika uislamu, umma ule ukawa haujui kabisa uislam na ndiyo maana wakamuwekea vipingamizi vizito mtuu juu ya itikadi anayoitangaza,

Kwa kauli nyepesi tunasema mtume alikuja kufufua uislam katika umma ambao uislamu ulipokufa.



Kuhusiana na manabii na mitume wote waliopita walikuwa waislam ushahidi tunaupata kwenye Qur'an.
Ninyi waislam Mnaamini vitabu vingapi?
 
Ninyi waislam Mnaamini vitabu vingapi?
Vitabu vinne
Zaburi- alipewa daud (R.A)
Torah-Mussa (R.A)
Injili- iSA( Yesu)
Quran- Muhhamad (S.WA)

Hivi ni vitabu vitakatifu vilivyotemshwa kwa kwa mitume hawa ambavyo vimetwaja kwa mjiana ila.vimeteremshwa vitabu vingi na vilikuwa vinateremshwa kwa watu wa anaeo fulan na kwa kipind fulan, ila Quran nu kitabu kilichotereshwa kwa ajili ya ulimwengu mzima na had mwisho wa dunia ndio kifuatwe kama amabavyo Muhhamad (S.A.W) alivyokuwa kwa ajili ya ulimwengu mzima na sio mtume wa waarabu au mashariki ya kati kama wengine walivyotumwa.!
 
Muhimu. Swali lako limejikita katika dinii naomba nikujibu kwa mujibu wa Kitabu na sunna.(Qur'an na hadith)

Kwanza kabisa naomba ufahamu kuwa uislam umeenzaa kwa nabii Adam kuendelea, isipokuwa wakati anakuja naabii Muhammad (Rehema na amani ziwe juu yake) umma ulikuwa umepotea na kuuacha uislamu hivyo ktk kipindi kile uislamu ulishasahaulika na watu. Hata hivyo watu walee walikuwa wanaabudu masanamu.


Sasa mtume alivyokuja kuwaita watu katika uislamu, umma ule ukawa haujui kabisa uislam na ndiyo maana wakamuwekea vipingamizi vizito mtuu juu ya itikadi anayoitangaza,

Kwa kauli nyepesi tunasema mtume alikuja kufufua uislam katika umma ambao uislamu ulipokufa.



Kuhusiana na manabii na mitume wote waliopita walikuwa waislam ushahidi tunaupata kwenye Qur'an.
Ok, kama UISLAM ulikuwepo kabla ya mtume Muhhamad, imekuaje mafundisho na taratibu nyingi za dini ya KIISLAM zimekuja baada ya mtume Muhhamad? kama misingi na mafundisho ya dini ya KIISLAM ilikuwepo kabla ila ilitokea tu watu wakaicha kwann asingeendeleza yale mafundisho yalokuwepo kabla yake ili kuwarudisha watu ktk huo UISLAM? kuja na utaratibu wake hamuoni kwamba amekiuka Utaratibu na Misingi ya UISLAM asilia ulokuwepo kabla yake?

NB: Msingi wa maswali yangu umejengwa kutokana na majibu yako ktk hii thread.
 
Hawakuwa na dini.

Dini zimekuja baadae baada ya vikundi vya watu wachache kukusanya baadhi ya stori za watu maarufu wa zamani kama kina Ibrahim, Jesus, Musa, Muhammad, yeshua nk kwa manufaa yao binafsi hasa lengo kubwa likiwa ni kuipishanisha jamii na ukweli halisi.
Japo hawa hawa unaowaita manabii na mitume ndio wapandaji/waasisi wa mbegu hizi za udini

Kwani kwamfaa nini mwanadamu kuwa na dini?
Je, ulizaliwa na dini? Au kuna chochote cha kujivunia pale unapoitwa muislamu au mkristo au mbudha?

Tangu zama za kale imeeleweka na kujulikana ya kwamba dini na udini ndilo janga la kwanza kwa kuchukua uhai wa watu wengi kuliko janga lolote!

Je, tuendelee kushikamana na hizi dini ambazo ndizo kikwazo kikubwa cha sisi wanadamu na mazingira yetu kwa ujumla kukomboka?

Kauli mbiu yangu ni kuwa, "DINI NDIZO GIZA LA KWANZA KABLA YA GIZA LIONEKANALO KWA MACHO"
 
Muhimu. Swali lako limejikita katika dinii naomba nikujibu kwa mujibu wa Kitabu na sunna.(Qur'an na hadith)

Kwanza kabisa naomba ufahamu kuwa uislam umeenzaa kwa nabii Adam kuendelea, isipokuwa wakati anakuja naabii Muhammad (Rehema na amani ziwe juu yake) umma ulikuwa umepotea na kuuacha uislamu hivyo ktk kipindi kile uislamu ulishasahaulika na watu. Hata hivyo watu walee walikuwa wanaabudu masanamu.


Sasa mtume alivyokuja kuwaita watu katika uislamu, umma ule ukawa haujui kabisa uislam na ndiyo maana wakamuwekea vipingamizi vizito mtuu juu ya itikadi anayoitangaza,

Kwa kauli nyepesi tunasema mtume alikuja kufufua uislam katika umma ambao uislamu ulipokufa.



Kuhusiana na manabii na mitume wote waliopita walikuwa waislam ushahidi tunaupata kwenye Qur'an.
Wapi imeandikwa Adam alikuwa muislamu na Mimi nikasome
 
Vitabu vinne
Zaburi- alipewa daud (R.A)
Torah-Mussa (R.A)
Injili- iSA( Yesu)
Quran- Muhhamad (S.WA)

Hivi ni vitabu vitakatifu vilivyotemshwa kwa kwa mitume hawa ambavyo vimetwaja kwa mjiana ila.vimeteremshwa vitabu vingi na vilikuwa vinateremshwa kwa watu wa anaeo fulan na kwa kipind fulan, ila Quran nu kitabu kilichotereshwa kwa ajili ya ulimwengu mzima na had mwisho wa dunia ndio kifuatwe kama amabavyo Muhhamad (S.A.W) alivyokuwa kwa ajili ya ulimwengu mzima na sio mtume wa waarabu au mashariki ya kati kama wengine walivyotumwa.!
Injili hii ya kwenye biblia au kuna nyingine
 
Vitabu vinne
Zaburi- alipewa daud (R.A)
Torah-Mussa (R.A)
Injili- iSA( Yesu)
Quran- Muhhamad (S.WA)

Hivi ni vitabu vitakatifu vilivyotemshwa kwa kwa mitume hawa ambavyo vimetwaja kwa mjiana ila.vimeteremshwa vitabu vingi na vilikuwa vinateremshwa kwa watu wa anaeo fulan na kwa kipind fulan, ila Quran nu kitabu kilichotereshwa kwa ajili ya ulimwengu mzima na had mwisho wa dunia ndio kifuatwe kama amabavyo Muhhamad (S.A.W) alivyokuwa kwa ajili ya ulimwengu mzima na sio mtume wa waarabu au mashariki ya kati kama wengine walivyotumwa.!
Adam alipewa kitabu gani?
 
Injili hii ya kwenye biblia au kuna nyingine
Nani aliyekwambia kwenye bible kuna injili
Kwenye bible Hamna injili
Hahaa!!! Wewe ndo hamnazo,empty set sasa kama mnaamini injili kwa nini mnasema Yesu sio Mungu
Yesu mungu sasa mbona amesulubiwa??

Hahaa!!! Wewe ndo hamnazo,empty set sasa kama mnaamini injili kwa nini mnasema Yesu sio Mungu
Yesu sio mungu mkuu unapotea kiasi kikubwa sana
Nitajie andiko kwenye bible linalosema yesu mungu au ukristo ni dini kwenye bible then nitakuamini
Hayo mazingira ya kuaminishwa kua yesu ni mungu kwa sababu ya miujiza yake!! mtapotea sana masihi dajjal atakapokuja na akidai kwamba yeye ni mungu
Ni kwamba ukifuatilia vizuri dini ya kikristo ni dini iliyoanzishwa na watu kwa ajili ya mipango yao
Na ndiyo maana haijakamilika imelack vitu vingi sana
 
Back
Top Bottom