Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,100
- 859,274
Habarini wapenzi wa jukwaa hili....tulipoteana kidogo lakini naamini kila mmoja wetu ana siha njema...nawaombea afya tele na furaha pia
Wengi wetu kama si kwa uchache basi kwa wingi tunachanganya matumizi ya haya maneno mawili...JEHANUM NA KUZIMU
haya maneno mawili yako kiroho zaidi, kiimani zaidi japo ukiyachukua kwa tafsiri nyingine mbadala yanazungumzika kiuhalisia
JEHANUM ni motoni...kwamba wale wote wafao wakiwa na dhambi na hawakutubia makosa yao wanaenda kwenye moto wakatupwe huko kwenye kila aina ya tabu mateso na ukatili wa aina zote....Lakini kiuhalisia wafu hawajafika jehanum bado wako kuzimu wakisubiri hukumu
KUZIMU sio JEHANUM ,kuzimu ni kaburini...ni sehemu wakaapo wafu ni makazi ya muda wakati wa kusubiri kiama na hukumu kuu....kuzimu no lango na mapito ya wafu kuelekea jehanum au peponi
Waendao kuzimu ni wafu,huwezi kufika kuzimu kama wewe si mfu...waendao kuzimu wana nafasi ya kurudi (sio duniani), waendao jehanum hawarudi....anayekwambia alifika kuzimu na kurudi si mkweli ,huyo alifika mpaka langoni lakini hakuingia ....kwa maneno mengine wanasema alichungulia kaburi....
Kwenye imani ya Kikristo kuna maneno yanasema hivi....AKAFA AKAZIKWA AKASHUKA KUZIMU....siku ya tatu akafufuka (dhana ya kurudi toka kuzimu)akapaa mbunguni (hakurudi na kukaa duniani)
Huwezi kufika jehanum bila kupitia kuzimu...hiyo ndio ya kuelekea motoni hivyo huwezi iruka abadan!...Kama ilivyo tafsiri ya wengi mbingu ni juu ,kuzimu ni chini....lakini jehamun iko pande zote ,haikwepeki ,haikimbiliki....unaweza kukwepa kwenda mbinguni lakini sio jehanum na njia ya kufika huko ni kupitia kuzimu tena ukiwa mfu [emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]weird phenomenon...
Tunapofanya ibada za kuwaombea wafu ili wasiende motoni bali peponi zile ni ibada tu za faraja na kuzuia roho hizo za wafu zisitangetange(dhana ya jehanum) bali zibaki kaburini (dhana ya pepo).... ...Ndugu zetu waliotangulia wako kwenye pepo na jehanum za muda tuu kwakuwa kiama bado....na kwa tafsiri ya hakika...kuzimu kupo na jehanum ipo...milki ya kuzimu ipo na milki ya jehanum ipo....na vitu viwili tofauti japo vinafanana kwakuwa tu kiasili chake ni WAFU
Wengi wetu kama si kwa uchache basi kwa wingi tunachanganya matumizi ya haya maneno mawili...JEHANUM NA KUZIMU
haya maneno mawili yako kiroho zaidi, kiimani zaidi japo ukiyachukua kwa tafsiri nyingine mbadala yanazungumzika kiuhalisia
JEHANUM ni motoni...kwamba wale wote wafao wakiwa na dhambi na hawakutubia makosa yao wanaenda kwenye moto wakatupwe huko kwenye kila aina ya tabu mateso na ukatili wa aina zote....Lakini kiuhalisia wafu hawajafika jehanum bado wako kuzimu wakisubiri hukumu
KUZIMU sio JEHANUM ,kuzimu ni kaburini...ni sehemu wakaapo wafu ni makazi ya muda wakati wa kusubiri kiama na hukumu kuu....kuzimu no lango na mapito ya wafu kuelekea jehanum au peponi
Waendao kuzimu ni wafu,huwezi kufika kuzimu kama wewe si mfu...waendao kuzimu wana nafasi ya kurudi (sio duniani), waendao jehanum hawarudi....anayekwambia alifika kuzimu na kurudi si mkweli ,huyo alifika mpaka langoni lakini hakuingia ....kwa maneno mengine wanasema alichungulia kaburi....
Kwenye imani ya Kikristo kuna maneno yanasema hivi....AKAFA AKAZIKWA AKASHUKA KUZIMU....siku ya tatu akafufuka (dhana ya kurudi toka kuzimu)akapaa mbunguni (hakurudi na kukaa duniani)
Huwezi kufika jehanum bila kupitia kuzimu...hiyo ndio ya kuelekea motoni hivyo huwezi iruka abadan!...Kama ilivyo tafsiri ya wengi mbingu ni juu ,kuzimu ni chini....lakini jehamun iko pande zote ,haikwepeki ,haikimbiliki....unaweza kukwepa kwenda mbinguni lakini sio jehanum na njia ya kufika huko ni kupitia kuzimu tena ukiwa mfu [emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]weird phenomenon...
Tunapofanya ibada za kuwaombea wafu ili wasiende motoni bali peponi zile ni ibada tu za faraja na kuzuia roho hizo za wafu zisitangetange(dhana ya jehanum) bali zibaki kaburini (dhana ya pepo).... ...Ndugu zetu waliotangulia wako kwenye pepo na jehanum za muda tuu kwakuwa kiama bado....na kwa tafsiri ya hakika...kuzimu kupo na jehanum ipo...milki ya kuzimu ipo na milki ya jehanum ipo....na vitu viwili tofauti japo vinafanana kwakuwa tu kiasili chake ni WAFU