Tofauti ya jehanum na kuzimu

Tofauti ya jehanum na kuzimu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,100
Reaction score
859,274
Habarini wapenzi wa jukwaa hili....tulipoteana kidogo lakini naamini kila mmoja wetu ana siha njema...nawaombea afya tele na furaha pia

Wengi wetu kama si kwa uchache basi kwa wingi tunachanganya matumizi ya haya maneno mawili...JEHANUM NA KUZIMU
haya maneno mawili yako kiroho zaidi, kiimani zaidi japo ukiyachukua kwa tafsiri nyingine mbadala yanazungumzika kiuhalisia

JEHANUM ni motoni...kwamba wale wote wafao wakiwa na dhambi na hawakutubia makosa yao wanaenda kwenye moto wakatupwe huko kwenye kila aina ya tabu mateso na ukatili wa aina zote....Lakini kiuhalisia wafu hawajafika jehanum bado wako kuzimu wakisubiri hukumu
KUZIMU sio JEHANUM ,kuzimu ni kaburini...ni sehemu wakaapo wafu ni makazi ya muda wakati wa kusubiri kiama na hukumu kuu....kuzimu no lango na mapito ya wafu kuelekea jehanum au peponi
Waendao kuzimu ni wafu,huwezi kufika kuzimu kama wewe si mfu...waendao kuzimu wana nafasi ya kurudi (sio duniani), waendao jehanum hawarudi....anayekwambia alifika kuzimu na kurudi si mkweli ,huyo alifika mpaka langoni lakini hakuingia ....kwa maneno mengine wanasema alichungulia kaburi....
Kwenye imani ya Kikristo kuna maneno yanasema hivi....AKAFA AKAZIKWA AKASHUKA KUZIMU....siku ya tatu akafufuka (dhana ya kurudi toka kuzimu)akapaa mbunguni (hakurudi na kukaa duniani)
Huwezi kufika jehanum bila kupitia kuzimu...hiyo ndio ya kuelekea motoni hivyo huwezi iruka abadan!...Kama ilivyo tafsiri ya wengi mbingu ni juu ,kuzimu ni chini....lakini jehamun iko pande zote ,haikwepeki ,haikimbiliki....unaweza kukwepa kwenda mbinguni lakini sio jehanum na njia ya kufika huko ni kupitia kuzimu tena ukiwa mfu [emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]weird phenomenon...

Tunapofanya ibada za kuwaombea wafu ili wasiende motoni bali peponi zile ni ibada tu za faraja na kuzuia roho hizo za wafu zisitangetange(dhana ya jehanum) bali zibaki kaburini (dhana ya pepo).... ...Ndugu zetu waliotangulia wako kwenye pepo na jehanum za muda tuu kwakuwa kiama bado....na kwa tafsiri ya hakika...kuzimu kupo na jehanum ipo...milki ya kuzimu ipo na milki ya jehanum ipo....na vitu viwili tofauti japo vinafanana kwakuwa tu kiasili chake ni WAFU
 
Hapa ndo dini zina nichanganya kabisa Uislam unasema MTU anapofariki basi kama ni wa Motoni anaanza kupata adhabu za Kabrini au kama ni mwema Ataanza stareheshwa .. Ukija kwa Budda wanao yao Mengine...
Hivi kwanini Tuna patishwa tabu na hizi dini hivi
 
Inakuwaje wafu waliokufa zamani sana zaidi ya miaka elf5 iliyopita??
Je sie tunaokufa leo au kesho kiuhalisia hatuwez kufanana nao...
Je hii inapimwaje walioishi kuzimu miaka kenda na tulioenda kuzimu leo hakuna huruma hapo
Habarini wapenzi wa jukwaa hili....tulipoteana kidogo lakini naamini kila mmoja wetu ana siha njema...nawaombea afya tele na furaha pia

Wengi wetu kama si kwa uchache basi kwa wingi tunachanganya matumizi ya haya maneno mawili...JEHANUM NA KUZIMU
haya maneno mawili yako kiroho zaidi, kiimani zaidi japo ukiyachukua kwa tafsiri nyingine mbadala yanazungumzika kiuhalisia

JEHANUM ni motoni...kwamba wale wote wafao wakiwa na dhambi na hawakutubia makosa yao wanaenda kwenye moto wakatupwe huko kwenye kila aina ya tabu mateso na ukatili wa aina zote....Lakini kiuhalisia wafu hawajafika jehanum bado wako kuzimu wakisubiri hukumu
KUZIMU sio JEHANUM ,kuzimu ni kaburini...ni sehemu wakaapo wafu ni makazi ya muda wakati wa kusubiri kiama na hukumu kuu....kuzimu no lango na mapito ya wafu kuelekea jehanum au peponi
Waendao kuzimu ni wafu,huwezi kufika kuzimu kama wewe si mfu...waendao kuzimu wana nafasi ya kurudi (sio duniani), waendao jehanum hawarudi....anayekwambia alifika kuzimu na kurudi si mkweli ,huyo alifika mpaka langoni lakini hakuingia ....kwa maneno mengine wanasema alichungulia kaburi....
Kwenye imani ya Kikristo kuna maneno yanasema hivi....AKAFA AKAZIKWA AKASHUKA KUZIMU....siku ya tatu akafufuka (dhana ya kurudi toka kuzimu)akapaa mbunguni (hakurudi na kukaa duniani)
Huwezi kufika jehanum bila kupitia kuzimu...hiyo ndio ya kuelekea motoni hivyo huwezi iruka abadan!...Kama ilivyo tafsiri ya wengi mbingu ni juu ,kuzimu ni chini....lakini jehamun iko pande zote ,haikwepeki ,haikimbiliki....unaweza kukwepa kwenda mbinguni lakini sio jehanum na njia ya kufika huko ni kupitia kuzimu tena ukiwa mfu [emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]weird phenomenon...

Tunapofanya ibada za kuwaombea wafu ili wasiende motoni bali peponi zile ni ibada tu za faraja na kuzuia roho hizo za wafu zisitangetange(dhana ya jehanum) bali zibaki kaburini (dhana ya pepo).... ...Ndugu zetu waliotangulia wako kwenye pepo na jehanum za muda tuu kwakuwa kiama bado....na kwa tafsiri ya hakika...kuzimu kupo na jehanum ipo...milki ya kuzimu ipo na milki ya jehanum ipo....na vitu viwili tofauti japo vinafanana kwakuwa tu kiasili chake ni WAFU
 
Inakuwaje wafu waliokufa zamani sana zaidi ya miaka elf5 iliyopita??
Je sie tunaokufa leo au kesho kiuhalisia hatuwez kufanana nao...
Je hii inapimwaje walioishi kuzimu miaka kenda na tulioenda kuzimu leo hakuna huruma hapo
Kimwili kuna tofauti kubwa kiroho hakuna
 
Inakuwaje wafu waliokufa zamani sana zaidi ya miaka elf5 iliyopita??
Je sie tunaokufa leo au kesho kiuhalisia hatuwez kufanana nao...
Je hii inapimwaje walioishi kuzimu miaka kenda na tulioenda kuzimu leo hakuna huruma hapo
Kufa ni kama kulala so alielala SAA 4 na aliyelala saa9 wote wamelala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom