Usigeuke nyuma wala Kuaga

Usigeuke nyuma wala Kuaga

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,757
Tangu utotoni mpaka nakua nimekuwa nikisikia simulizi nyingi sana za mambo ya kuogofya, mambo ya kishirikiza, walozi, uganga, wakonikoni,

Sasa hapa kwenye uganga mara nyingi watu huenda kueleza matatizo yao ili wapate tiba na hii ni kwa wanao amini hupona ila kwa wasio amini huona kama kanjanja tu,

Mtaalamu hufanya mambo yake mpaka mwisho kama nikuchanjwa chale, kuogeshwa dawa kulingana na tatizo uliloeleza pia maelekezo mengine hupewa baada ya shughuri kumalizika,

Kumekuwa na kauli au maagizo/maelekezo, kuwa Unapopewa Dawa kwa mtaalamu pindi unapoondoka hutakiwi kuaga wala kugeuka nyuma,pia wengine husema unapopanga safari ya kwenda kwa mtaalamu ukikutana na mtoto wa kiume basi mambo yako yatakuwa sawa

swali ni je nini hutokea endapo ukigeuka nyuma na ukiaga

Cc Mshana Jr
 
Tangu utotoni mpaka nakua nimekuwa nikisikia simulizi nyingi sana za mambo ya kuogofya, mambo ya kishirikiza, walozi, uganga, wakonikoni,

Sasa hapa kwenye uganga mara nyingi watu huenda kueleza matatizo yao ili wapate tiba na hii ni kwa wanao amini hupona ila kwa wasio amini huona kama kanjanja tu,

Mtaalamu hufanya mambo yake mpaka mwisho kama nikuchanjwa chale, kuogeshwa dawa kulingana na tatizo uliloeleza pia maelekezo mengine hupewa baada ya shughuri kumalizika,

Kumekuwa na kauli au maagizo/maelekezo, kuwa Unapopewa Dawa kwa mtaalamu pindi unapoondoka hutakiwi kuaga wala kugeuka nyuma,pia wengine husema unapopanga safari ya kwenda kwa mtaalamu ukikutana na mtoto wa kiume basi mambo yako yatakuwa sawa

swali ni je nini hutokea endapo ukigeuka nyuma na ukiaga

Cc Mshana Jr
Mmh haya ni mapya kwangu... Nijuavyo mimi mengine ni masharti tu ya mganga ya kutishana yasiyo beba uhalisia wowote
 
Hiyo huwa ni usalama wa yeye. Asklimia kubwa ya waganga hufanya kazi kabla ya malipo hivyo unapoondoka bila kuaga huwa inamwezesha kuwa na muungano flani wa kiroho na wewe. Mi huko nilishafika. Niliambiwa nisiage siku ya kwanza ila siku ya kwenda kumripa tuliagana na kila mtu wala sikuona simu ya kunituhumu. Ukimuaga na ukamdhurumu anakuwa na nafasi ndogo ya kukuvuta
 
Mmh haya ni mapya kwangu... Nijuavyo mimi mengine ni masharti tu ya mganga ya kutishana yasiyo beba uhalisia wowote
kama wewe hufahamu basi zitakuwa stori tu na masharti uchwara ya wataalam
Hiyo huwa ni usalama wa yeye. Asklimia kubwa ya waganga hufanya kazi kabla ya malipo hivyo unapoondoka bila kuaga huwa inamwezesha kuwa na muungano flani wa kiroho na wewe. Mi huko nilishafika. Niliambiwa nisiage siku ya kwanza ila siku ya kwenda kumripa tuliagana na kila mtu wala sikuona simu ya kunituhumu. Ukimuaga na ukamdhurumu anakuwa na nafasi ndogo ya kukuvuta
sawa sawa
 
Mmh haya ni mapya kwangu... Nijuavyo mimi mengine ni masharti tu ya mganga ya kutishana yasiyo beba uhalisia wowote
kama wewe hufahamu basi zitakuwa stori tu na masharti uchwara ya wataalam
Hiyo huwa ni usalama wa yeye. Asklimia kubwa ya waganga hufanya kazi kabla ya malipo hivyo unapoondoka bila kuaga huwa inamwezesha kuwa na muungano flani wa kiroho na wewe. Mi huko nilishafika. Niliambiwa nisiage siku ya kwanza ila siku ya kwenda kumripa tuliagana na kila mtu wala sikuona simu ya kunituhumu. Ukimuaga na ukamdhurumu anakuwa na nafasi ndogo ya kukuvuta
sawa sawa
 
Mmh haya ni mapya kwangu... Nijuavyo mimi mengine ni masharti tu ya mganga ya kutishana yasiyo beba uhalisia wowote
kama wewe hufahamu basi zitakuwa stori tu na masharti uchwara ya wataalam
Hiyo huwa ni usalama wa yeye. Asklimia kubwa ya waganga hufanya kazi kabla ya malipo hivyo unapoondoka bila kuaga huwa inamwezesha kuwa na muungano flani wa kiroho na wewe. Mi huko nilishafika. Niliambiwa nisiage siku ya kwanza ila siku ya kwenda kumripa tuliagana na kila mtu wala sikuona simu ya kunituhumu. Ukimuaga na ukamdhurumu anakuwa na nafasi ndogo ya kukuvuta
sawa sawa
 
Hiyo huwa ni usalama wa yeye. Asklimia kubwa ya waganga hufanya kazi kabla ya malipo hivyo unapoondoka bila kuaga huwa inamwezesha kuwa na muungano flani wa kiroho na wewe. Mi huko nilishafika. Niliambiwa nisiage siku ya kwanza ila siku ya kwenda kumripa tuliagana na kila mtu wala sikuona simu ya kunituhumu. Ukimuaga na ukamdhurumu anakuwa na nafasi ndogo ya kukuvuta
Mkuu wasalimie Igombe, Kayenze mpaka Mabhibhi
 
Mmh haya ni mapya kwangu... Nijuavyo mimi mengine ni masharti tu ya mganga ya kutishana yasiyo beba uhalisia wowote
kama wewe hufahamu basi zitakuwa stori tu na masharti uchwara ya wataalam
Hiyo huwa ni usalama wa yeye. Asklimia kubwa ya waganga hufanya kazi kabla ya malipo hivyo unapoondoka bila kuaga huwa inamwezesha kuwa na muungano flani wa kiroho na wewe. Mi huko nilishafika. Niliambiwa nisiage siku ya kwanza ila siku ya kwenda kumripa tuliagana na kila mtu wala sikuona simu ya kunituhumu. Ukimuaga na ukamdhurumu anakuwa na nafasi ndogo ya kukuvuta
sawa sawa
Mkuu wasalimie Igombe, Kayenze mpaka Mabhibhi
Kayenze hivi kule ni kama uko Mkoa mwingine vile hahahah
 
Stori tu! Hakuna cha majini wala nini!

Siku moja nitafanya utafiti wa vitendo niende kwa mganga nikamdhihaki nijue kama ana lolote la kunifanya!

Hakuna kitu! 100%
 
Kama alikwambia ulete mbuzi au kuku
Hapo ata tumia nafasi hio kukwambia usigeuke nyuma usije ona jinsi anavo beba kitoweo kupeleka kwake
 
Stori tu! Hakuna cha majini wala nini!

Siku moja nitafanya utafiti wa vitendo niende kwa mganga nikamdhihaki nijue kama ana lolote la kunifanya!

Hakuna kitu! 100%
hahahahaha yaani unadhamiria kufanya hivo, utuletee mrejesho
 
Back
Top Bottom