Haya ni majukumu ya Usalama wa Taifa wawapo kazini

Zambotti

JF-Expert Member
Jul 2, 2016
1,959
3,590
download.jpg

Inafahamika kwamba usalama wa taifa au secret service kwa kimombo ni moja ya kitengo kinachofanya kazi zake kwa siri mno, hii ni kutokana na majukumu waliyo nayo juu ya taifa lakini pia na aina ya kazi yenyewe. Lakini hiyo haimanishi watu kuacha kutafuta taarifa juu ya utendaji wao kazi.

Katika namna hiyohiyo, vifuatavyo ni miongoni mwa vibainishi vya miongoni mwa mambo wanayoyafanya kama sehemu ya majukumu yao kazini. Hii ni katika kujifunza ni kwa namna gani hawa secret agents wanamlinda kiongozi wa nchi kutoka kwenye majanga ya uvamizi na matishio kutoka kwa watu wabaya.

1. WANATEMBEA NA BEGI LENYE DAMU YA RAIS
Ingawa mamilioni ya wanausalama wanaajiliwa lakini ni wachache sana ndio huteuliwa kuwa katika kitengo cha ulinzi wa Rais ambao hufaamika kama President Protechion Division (PPD). Hili ndio huwa kundi lenye jukumu la kumlinda Amiri jeshi mkuu wa nchi na familia yake. Kwa mujibu wa Jeffrey Robinson, mwandishi msaidizi wa Autobiogpraph ya mwanausalama mstaafu wa nchi ya marekani bwana Joseph Petro ijulikanayo kama Standing Next to History, anasema kitengo hiki ni mahususi kwa ajili ya kuhakikisha wanausalama wanafundishwa kitu kijulikacho kama “ten-minute medicine,” huu ni uwezo wa kumuhudumia Rais kiafya iwapo atapatwa na dharura ya kiafya katika eneo la mbali na msaada wa kihospitali.
images (10).jpg


Wanapokuwa matembezini na Rais Robinson anasema “huwa hatuchezi mbali na eneo la kituo cha afya au hospital yenye uwezo wa kutoa msaada kwa Rais iwapo atapatwa na tatizo, na ni lazima mwanausalama mmoja ataenda kukagua hospital kuanzia mapokezi mpaka vyumba vya wagonjwa na eneo la kufanyia operation hata kama hakuna tatizo lililojitokeza”.

Mafunzo haya ya matibabu ya kiafya kwa wanausalama ndio yaliokoa maisha ya aliyekuwa Rais wa marekaani bwana Ronald Reagan mwaka 1981 alipopigwa risasi, mwenyewe akidhani kuwa amejeruhiwa sehemu ndogo ya ubavu wa kushoto na mpango ukawa ni kumrudisha White House kuzingatia huduma bora ya kiafya lakini mwanausalama wa PPD, Agent Jerry Parr jirani ya Regan akamuona akitokwa na damu mdomoni ishara ya kwamba mapafu yake yanavuja damu, kwahivyo uamuzi wa kumkimbiza katika kituo cha afya cha jirani ukaja maramoja na akafanyiwa upasuaji kwa masaa kadhaa na hatimaye wakanusuru ile hatari ya maisha ya Rais.

2. WANAHAKIKISHA RAIS HAYUKO PEKEE AKE, HATA KAMA NI BAFUNI.
Kuwa mwanausalama katika kitengo cha ulinzi wa Rais ni kuhakikisha Rais hayuko mwenyewe hata katika kipindi cha faragha ndogo ambayo huenda ikatumika kumweka Rais katika hatari. Kwahivyo ni wajibu wa Agents kuhakikisha alipo Rais kuna usalama iwe katika ofisi ya daktari, hata chooni.
images (5).jpg


3. HUWA WANAPEWA AMRI YA KUMLINDA YEYOTE YULE
Rais na makamo wa rais hawana uwezo wa kukataa ulinzi kutoka kwa wanausalama pindi wanapoingia madarakani, ingawa wengine hupendelea ulinzi wao binafsi lakini hiyo ni mara chache. Kwa mujibu wa Ronald Kesser mwandishi wa kitabu In the President’s Secret Service anasema “wanausalama walianza kutoa ulinzi kwa baadhi ya wanafamilia wa George Bush baada ya shambulio la Sept 11, kwahiyo yakawa ni sehemu ya majukumu yetu kupeleka watoto shule na kuwaangalia, na kuwarudisha White House”
images (3).jpg


4. HUJIFUNZA VITU VIPYA WASIVYOVIPENDA KUFANYA
Kwasababu Rais hawezi kuachwa mwenyewe bila kuwa na kampani wa wanausalama hivyo ni jukumu lao kujifunza kila jipya analokuja nalo Rais ili kuendana nae. Mwanausalama Wood hakuwa anafahamu chochote katika habari za kuendesha farasi mpaka alipoteulliwa kumlinda Rais Clinton, kwasababu Rais anapenda kuendesha farasi na hawezi kuachwa mwenyewe kipindi cha hiyo michezo ikamfaa nayeye ajifunze pia.
images (9).jpg


5. HAKUNA KIAPO CHA KUFA KWA AJILI YA RAIS
Ingawa sinema za Hollywood zimekuwa zikiaminisha watu ya kuwa wale wanausalama wanaomlinda Rais wako tayari kujitolea maisha yao kwa ajili ya Rais, lakini ukweli unabaki kuwa si kweli maana nao ni sehemu ya binadamu wenye hofu ya maisha yao. Kesser anasema “inafahamika kuwa kitu kama hiko kinaweza kujitokeza…lakini kwa mwanausalama atachukua kila namna ya hatua kujiepusha na tatizo hilo..”

images (2).jpg

6. HAWAMBEBEI MTU MZIGO WAKE ( LUGGAGES)
Hii ni njia rahisi ya kumtania mwanausalama waambie wakusaidie kubeba mzigo.
Makamo wa Rais Walter Mondale alimuomba agent aliyekuwa lindo amsaidie kubeba nguo zake chafu kuzipeleka kwenye laundry,” Robinson akamwambia. “They don’t do that”.
images (4).jpg


KWA MSAADA WA GOOGLE TAFSIRI NI YANGU MWENYEWE!!!
 
View attachment 1206217
Inafahamika kwamba usalama wa taifa au secret service kwa kimombo ni moja ya kitengo kinachofanya kazi zake kwa siri mno, hii ni kutokana na majukumu waliyo nayo juu ya taifa lakini pia na aina ya kazi yenyewe. Lakini hiyo haimanishi watu kuacha kutafuta taarifa juu ya utendaji wao kazi.

Katika namna hiyohiyo, vifuatavyo ni miongoni mwa vibainishi vya miongoni mwa mambo wanayoyafanya kama sehemu ya majukumu yao kazini. Hii ni katika kujifunza ni kwa namna gani hawa secret agents wanamlinda kiongozi wa nchi kutoka kwenye majanga ya uvamizi na matishio kutoka kwa watu wabaya.

1. WANATEMBEA NA BEGI LENYE DAMU YA RAIS
Ingawa mamilioni ya wanausalama wanaajiliwa lakini ni wachache sana ndio huteuliwa kuwa katika kitengo cha ulinzi wa Rais ambao hufaamika kama President Protechion Division (PPD). Hili ndio huwa kundi lenye jukumu la kumlinda Amiri jeshi mkuu wa nchi na familia yake. Kwa mujibu wa Jeffrey Robinson, mwandishi msaidizi wa Autobiogpraph ya mwanausalama mstaafu wa nchi ya marekani bwana Joseph Petro ijulikanayo kama Standing Next to History, anasema kitengo hiki ni mahususi kwa ajili ya kuhakikisha wanausalama wanafundishwa kitu kijulikacho kama “ten-minute medicine,” huu ni uwezo wa kumuhudumia Rais kiafya iwapo atapatwa na dharura ya kiafya katika eneo la mbali na msaada wa kihospitali.
View attachment 1206218

Wanapokuwa matembezini na Rais Robinson anasema “huwa hatuchezi mbali na eneo la kituo cha afya au hospital yenye uwezo wa kutoa msaada kwa Rais iwapo atapatwa na tatizo, na ni lazima mwanausalama mmoja ataenda kukagua hospital kuanzia mapokezi mpaka vyumba vya wagonjwa na eneo la kufanyia operation hata kama hakuna tatizo lililojitokeza”.

Mafunzo haya ya matibabu ya kiafya kwa wanausalama ndio yaliokoa maisha ya aliyekuwa Rais wa marekaani bwana Ronald Reagan mwaka 1981 alipopigwa risasi, mwenyewe akidhani kuwa amejeruhiwa sehemu ndogo ya ubavu wa kushoto na mpango ukawa ni kumrudisha White House kuzingatia huduma bora ya kiafya lakini mwanausalama wa PPD, Agent Jerry Parr jirani ya Regan akamuona akitokwa na damu mdomoni ishara ya kwamba mapafu yake yanavuja damu, kwahivyo uamuzi wa kumkimbiza katika kituo cha afya cha jirani ukaja maramoja na akafanyiwa upasuaji kwa masaa kadhaa na hatimaye wakanusuru ile hatari ya maisha ya Rais.

2. WANAHAKIKISHA RAIS HAYUKO PEKEE AKE, HATA KAMA NI BAFUNI.
Kuwa mwanausalama katika kitengo cha ulinzi wa Rais ni kuhakikisha Rais hayuko mwenyewe hata katika kipindi cha faragha ndogo ambayo huenda ikatumika kumweka Rais katika hatari. Kwahivyo ni wajibu wa Agents kuhakikisha alipo Rais kuna usalama iwe katika ofisi ya daktari, hata chooni.
View attachment 1206219

3. HUWA WANAPEWA AMRI YA KUMLINDA YEYOTE YULE
Rais na makamo wa rais hawana uwezo wa kukataa ulinzi kutoka kwa wanausalama pindi wanapoingia madarakani, ingawa wengine hupendelea ulinzi wao binafsi lakini hiyo ni mara chache. Kwa mujibu wa Ronald Kesser mwandishi wa kitabu In the President’s Secret Service anasema “wanausalama walianza kutoa ulinzi kwa baadhi ya wanafamilia wa George Bush baada ya shambulio la Sept 11, kwahiyo yakawa ni sehemu ya majukumu yetu kupeleka watoto shule na kuwaangalia, na kuwarudisha White House”
View attachment 1206220

4. HUJIFUNZA VITU VIPYA WASIVYOVIPENDA KUFANYA
Kwasababu Rais hawezi kuachwa mwenyewe bila kuwa na kampani wa wanausalama hivyo ni jukumu lao kujifunza kila jipya analokuja nalo Rais ili kuendana nae. Mwanausalama Wood hakuwa anafahamu chochote katika habari za kuendesha farasi mpaka alipoteulliwa kumlinda Rais Clinton, kwasababu Rais anapenda kuendesha farasi na hawezi kuachwa mwenyewe kipindi cha hiyo michezo ikamfaa nayeye ajifunze pia.
View attachment 1206221

5. HAKUNA KIAPO CHA KUFA KWA AJILI YA RAIS
Ingawa sinema za Hollywood zimekuwa zikiaminisha watu ya kuwa wale wanausalama wanaomlinda Rais wako tayari kujitolea maisha yao kwa ajili ya Rais, lakini ukweli unabaki kuwa si kweli maana nao ni sehemu ya binadamu wenye hofu ya maisha yao. Kesser anasema “inafahamika kuwa kitu kama hiko kinaweza kujitokeza…lakini kwa mwanausalama atachukua kila namna ya hatua kujiepusha na tatizo hilo..”

View attachment 1206222
6. HAWAMBEBEI MTU MZIGO WAKE ( LUGGAGES)
Hii ni njia rahisi ya kumtania mwanausalama waambie wakusaidie kubeba mzigo.
Makamo wa Rais Walter Mondale alimuomba agent aliyekuwa lindo amsaidie kubeba nguo zake chafu kuzipeleka kwenye laundry,” Robinson akamwambia. “They don’t do that”.
View attachment 1206224

KWA MSAADA WA GOOGLE TAFSIRI NI YANGU MWENYEWE!!!
No 5.Ilitokea Gari linataka kugonga gari ya First lady wa hapa, pale chalinze ilibidi escort ikinge ubavu ikagongwa na aliyekufa mwanausalama driver First lady akapona je hiyo imekaaje?
 
No 5.Ilitokea Gari linataka kugonga gari ya First lady wa hapa, pale chalinze ilibidi escort ikinge ubavu ikagongwa na aliyekufa mwanausalama driver First lady akapona je hiyo imekaaje?
Maelezo yangu ni katika jumla ya maneno niliyosoma na si jumla ya dhana nzima ya utendaji wa hao ndugu zetu, maneno yangu yachukulie maneno kama maneno mengine, usinipachike maswali mazito kama vile mimi ni Habibu Hanga tafadhali ndugu yangu
 
Ulinzi wa Rais ni kitengo kidogo kilicho ndani ya kitengo kikubwa cha usalama wa taifa
Usalama wa taifa na walinzi wa Rais ni vitu viwili tofauti kabisa ndugu.usalama wa taifa ni kitengo kinachousiana na ulinzi wa nchi nzima wakati walinzi wa Rais wao wana dili na ulinzi wa Rais tu.Nchi nyingi usalama wa taifa ufanya kazi kwa ukaribu sana na jeshi tofauti na ulinzi wa Rais wao uwa awana ukaribu sana na jeshi kwa sababu ya viongozi wengi kukosa sana imani ya utii wa jeshi kwa iyo inapotokea akapinduliwa basi ulinzi wa kumfikisha sehemu salama na kukimbia Nchi unakuwepo.

Hii ndio silaa ya mwisho kabisa kwa Rais, maana uwa wapo tayari kupigana kufa na kupona ili tu Rais awe sehemu salama

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Usalama wa taifa na walinzi wa Rais ni vitu viwili tofauti kabisa ndugu.usalama wa taifa ni kitengo kinachousiana na ulinzi wa nchi nzima wakati walinzi wa Rais wao wana dili na ulinzi wa Rais tu.Nchi nyingi usalama wa taifa ufanya kazi kwa ukaribu sana na jeshi tofauti na ulinzi wa Rais wao uwa awana ukaribu sana na jeshi kwa sababu ya viongozi wengi kukosa sana imani ya utii wa jeshi kwa iyo inapotokea akapinduliwa basi ulinzi wa kumfikisha sehemu salama na kukimbia Nchi unakuwepo.

Hii ndio silaa ya mwisho kabisa kwa Rais, maana uwa wapo tayari kupigana kufa na kupona ili tu Rais awe sehemu salama

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
Nice mkuu
 
Good ILA je kuna utofauti wa kuwa usalama wa Taifa na kuwa PPU(PRESIDENTIAL PROTECTION UNIT),ni vema tukajua kuwatenganisha hawa na usalama wa Taifa.
Tofauti ipo na nikubwa tu wote wanapata basic knowledge sawa lakini huko mbele mafunzo yanatofautiana Sana. Kozi anazoenda mwana usalama yule aliyoko sengerema au babati ni tofauti sana na anaepanda Airbus kwenda na rais chato. Kule Kuna watu wapelelezi yaani shushushu na Kuna watu walinzi na hili linategemea elimu yako dunia ili wakutumieje baadae. Kuna mmoja alikuwa mlinzi was pinda na majaliwa Sasa hivi yupo TRA na Kuna wengine walikuwa walinzi wa Bilali wengine wakahamia kwa majaliwa na wengine wakahamishwa mwingine yupo Mwanza. Vitengo ni vingi hao waliopo makumbusho na wait huwa wanaenda kuangalia roster ukutani kujua amepangiwa majukumu gani tofauti na wale walioko permanent bandarini au airport. All in all kila sehemu wapo
 
Back
Top Bottom