Barrage Jammer

Barrage Jammer

salisalum

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2010
Posts
434
Reaction score
159
Mtakumbuka gari moja jeusi lenye antenna kibao lililokuwa likiambatana kwenye misafara ya rais mabarabarani. Hili gari lilikuwa kwenye misafara ya Rais Magufuli enzi za uhai wake. Nimeshindwa kuweka picha hapa ya gari hilo.

Huo ni mtambo maalum wa kuzuia simu za mkononi eneo analopita rais zisifanye kazi. Watega mabomu hutumia teknolojia ya simu za mkononi kuyalipua. Na hufanya hivyo hivyo ili yalipuke kwa wakati na muda sahihi wakati ambapo target waitakayo itakuwa usawa wa bomu lililotegwa ili kusababisha madhara makubwa.

Mtambo huu hutumika kwa viongozi wenye ulinzi mkubwa sana duniani.
 
Hili...
IMG_20210322_070443.jpg
 
Mtakumbuka gari moja jeusi lenye antenna kibao lililokuwa likiambatana kwenye misafara ya rais mabarabarani. Hili gari lilikuwa kwenye misafara ya Rais Magufuli enzi za uhai wake. Nimeshindwa kuweka picha hapa ya gari hilo.

Huo ni mtambo maalum wa kuzuia simu za mkononi eneo analopita rais zisifanye kazi. Watega mabomu hutumia teknolojia ya simu za mkononi kuyalipua. Na hufanya hivyo hivyo ili yalipuke kwa wakati na muda sahihi wakati ambapo target waitakayo itakuwa usawa wa bomu lililotegwa ili kusababisha madhara makubwa.

Mtambo huu hutumika kwa viongozi wenye ulinzi mkubwa sana duniani.
Kajilinda na mabomu kafa na kakitu kadogo tu....
 
Mzee hio ina block Frequencies fulani za mawasiliano, Na zinazobaki open zinakuwa Siri kwa Wanausalama ili ku facilitate Mawasiliano ya msafara, Hio Jammer car ina wide range ya kublock Frequencies kuanzia radio, microwave n.k ila at all lazima motorcade iwe communicated ila pia huenda far kwa kubeba mabags ikiwa wapo mbali na ilo gari ili kublock mawasiliano katika eneo alilopo mlindwaji.
 
Lakini pamoja mbwe mbwe zote kauawawa na mdudu mdogo sana, kifo ni kiboko yetu hata ulindwe na nuclear Mungu anaweza tuma mbu tu akakumaliza.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom