lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,151
- 33,335
Dah Mimi sio mtaalam kabisa wa mambo haya. Mambo ya udukuzi.lakini nimeingiwa na hofu Sana.
Pegasus Ni kifaa kilichotengenezwa na kampuni binafsi ya Israel.
Pegasus spyware inaweza kupenya kwenye simu za smart na kufyonza ujumbe wote,picha zote na kurekodi mazungumzo.
Pegasus imeshatumika kulenga Marais kumi na Moja Waziri Mkuu mmoja na mfalme mmoja..
Pia wanasiasa wa vyama vya Upinzani hawakubaki salama.
Serikali zilizouziwa kifaa hiki zimekitumia kuwachunguza watu ambao serikali iliwaona Ni kero kwake.
Pegasus imekua ikiuzwa kwa Siri Sana na kampuni hiyo kwa nchi zilizofanyiwa uchunguzi wa kutosha.
Hofu niliyonayo Ni usalama wa uhuru wetu,wa viongozi wetu na hasa viongozi wetu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama.
Hivi najiuliza kweli Tuko salama?
Pegasus imekua ikitumiaka kunasa mawasiliani ya viongozi wa kisiasa wa upande wa Upinzani huko kote ilikouzwa,watu maarufu na hasa viongozi.
Rais wa Ufaransa ametoa anti uchunguzi ufanyike juu ya uwepo wa kifaa hiki.
Habari hii nimeipata kutoka Al Jazeera.
Wataalam wa hizi mambo karibu hapa.
Pegasus Ni kifaa kilichotengenezwa na kampuni binafsi ya Israel.
Pegasus spyware inaweza kupenya kwenye simu za smart na kufyonza ujumbe wote,picha zote na kurekodi mazungumzo.
Pegasus imeshatumika kulenga Marais kumi na Moja Waziri Mkuu mmoja na mfalme mmoja..
Pia wanasiasa wa vyama vya Upinzani hawakubaki salama.
Serikali zilizouziwa kifaa hiki zimekitumia kuwachunguza watu ambao serikali iliwaona Ni kero kwake.
Pegasus imekua ikiuzwa kwa Siri Sana na kampuni hiyo kwa nchi zilizofanyiwa uchunguzi wa kutosha.
Hofu niliyonayo Ni usalama wa uhuru wetu,wa viongozi wetu na hasa viongozi wetu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama.
Hivi najiuliza kweli Tuko salama?
Pegasus imekua ikitumiaka kunasa mawasiliani ya viongozi wa kisiasa wa upande wa Upinzani huko kote ilikouzwa,watu maarufu na hasa viongozi.
Rais wa Ufaransa ametoa anti uchunguzi ufanyike juu ya uwepo wa kifaa hiki.
Habari hii nimeipata kutoka Al Jazeera.
Wataalam wa hizi mambo karibu hapa.