DGOMBUSI
Member
- Sep 3, 2017
- 39
- 53
Habari wana jukwaa
mimi naitwa Dgombusi
Leo ntaenda kuzungumzia siri moja kubwa ambayo asilimia 1 au 2 ya watu wanifahamu vizuri kuhusu dunia yetu
Aslimia 99 yatu wengi hawa ifahamu siri hii kubwa kuhusu Dunia yetu hii
Nitaanza kwa kutoa mifano ya baadhi ya watu walio kuwepo wanafahamu vizuri Kuhusu ulimwengu wetu huu
NIKOLA TESLA
ALBERT EINSTEIN
HENRY FORD
THOMAS A. EDISON
LEONARDO DA VINCI
Nawengine ambao sijawa orodhesha hapa ila najua unawajua
Nitaenda kuzungumza vitu kwa mafungu 10 ili uweze kuelewa vizuri
1.The secret nature of the reality
Kuna sili moja kubwa ambayo secret society wanaifahamu kuhusu ulimwengu wetu huu
Na wanafanya agenda ya ku program mind na perception za watu kuhusu ukweli wa sisi ni wakinani na kwanini tupo hapa
Wanafanya kila kitu ili wewe toka unakua mpaka saivi usahau kuwa wewe ni nani na kwanini uko hapa
2.Dunia hii ni holographic simulation
Sasa twende taratibu taratibu tuta elewana mwishoni
Kila kitu unachokiona na kukigusa yaani kinashikika
Ni illusion of light and energetic information ambacho kina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
3. What is Reality
Kama unaikumbuka kuna movie moja inaitwa The matrix ya 1999
hiyo movie ni zaidi ya movie ni documentary
Kuna scene moja neo anamuuliza morpheus This is not real
Morpheus akamjibu
Kwaiyo kumbe kitu halisi ni taarifa zinzopelekwa kwenye ubongo wako na kufanyiwa utambuzi (electrical information interpreted in you brain)
kwenye Electromagnetic spectrum
Ni 0.005% ndogo sana ya realty tunayo iona na ubongo wetu kufanya utambuzi
Kwaiyo kuna asilimia kubwa ya reality ambayo huioni kwa macho (unseen reality) ndiyo ambayo ni projection ya hii holographic word
Kwaiyo kila kitu unachokiona kina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Lakin mtetemo wake unakuwa ni mdogo sana ndio maana unakiona kiko kigumu na ukikishika hata mtetemo wake huwezi kugundua
4. Energy frequency and vibration
Kila kitu unachokiona ni energetic information ambayo ina vibrate katika frequency fulani
Kwaiiyo unaweza kuona kumbe ndio maana nikola tesla alituambia
Ukitaka kuelewa dunia hii fikiria kwa kuangalia frequency energetic and vibration
Sababu ndio asili ya kila kitu unachokiona
Kwaiyo ninachotaka kukuambia ni kuwa kila kitu ni energetic information field iwe ni
(meza. Gari. Nyumba. Milima. Maji nk…..)
Nakina mtetemo (vibrate) katika frequency yake
5. Matter is energy
Ngonja nianze na nukuu moja ya einstein kuhusu matter
Sasa hapa Twende Taratibu tutaelewana tu kama una swali usisite kuniuliza
matter ni energy ambayo ina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Na kila kitu tuchakiona na kukishika ni illusion of light na Energy vibration
Kwaiyo kila kitu ni energy
6.How our brain decoding reality
Kwanzaa naomba nikumbushe kuwa wewe sio ubongo (brain)
Na wala wewe sio mwili (body)
Yani wewe uko nyuma ya vitu vyote hivyo viwili
Kwaiyo umeanza kukumbuka kuwa kumbe mimi siyo ubongo (brain) na siyo mwili (body)
Lakini nimevaa hivi vitu viwili kwa anjiri ya kuishi kwenye hii virtual reality word (Holographic)
Kwaiyo tumenza kuelewana kuwa kumbe ubongo (brain) ni kwa ajili ya kufanya utambuzi wa energetic information ambayo ndiyo tunaviita matter (physical thing)
Ngonja niende kwa mifano mpaka tuta elewana tu
Mfano Kutoka kwenye matrix movie
Picha hii ni Kabla ubongo wako ujafanya utambuzi wa data ambayo ni energetic information field
Baada ya ubongo wako kufanya utambuzi wa data hiyo ambayo ni energetic information field ndiyo hunaona rangi yaani unaona vizuri
Kwaiyo kila kitu unachokiona ni energetic information
Iwe ni mti meza nyumba gari nk
Sasa una anzakuona kumbe ubongo na mwili ni vitu viwili ambavyo ni mevivaa kwa ajili ya kuishi kwenye hii holographic universe ambayo kila kitu kimetengenezwa kwa energy na tena kina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Kwaiyo ninachotaka kukuambia ni kwamba hakuna kitu ambacho kina rangi
Ila rangi inatokana baada ya ubongo wako kufanya utambuzi wa energetic information
ubongo
Unafanya utambuzi wa illusion of light and energetic information field
Kwaiyo energetic information ndiyo hizo tunazo ziita matter mwanzoni tulikuwa tunazani ni vitu halisi ambavyo vinashikika na vina rangi
kumbe ni energetic information na tena zina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Visible light in electromagnetic spectrum
Sasa ngonja niongelee visible light in electromagnetic spectrum
ambayo ubongo wetu hufanya utambuzi (deconding)
Rangi unazo ziona zina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Rangi nyekundu huwa unawahii kuiona kwa sababu ina mtetemo(vibrate) katika frequency ya juu kuliko nyingine
7. The Body
Kwaiyo unaweza ukaanza kuona tumeshaongelea kuhusu ubongo na tuka sema ni kompyuta uliyo nayo kwa ajili ya kuchakata na kufanya utambuzi wa energetic information field kwenye hii Holographic universe
Sasa ngonja nizungumzie kuhusu mwili wako na milango 5 ya fahamu
Mwili wako ni kama motherboard inayopeleka taarifa kwenye cpu (central processing unit) ambayo ndiyo ubongo wako alafu ubongo unachakata hiyo input ndiyo unapata matokeo ya hiyo input
Eye
Kwaiyo ni hivi jicho lako huwa linapokea mawimbi ya mwanga (light huwa ina mawimbi yanaitwa photon)
Hayo ndiyo yanapeleka information kwenye ubongo wango
(hapa ngonja nitumie picha 2 ili uwezee kuelewa
Ya kwanza inayonekana vizuri na picha ya pili ni energetic information )
Ubongo wako unafanya utambuzi wa hayo mawimbi ya Energetic information field ndiyo unaona picha
Hearing
Na Kwenye kusikia ni hivyo ivyo unasikia ni mawimbi ya sauti ndiyo ubongo wako unafanya utambuzi wa hayo mawimbi ndiyo
unasikia maneno
Taste Touch Smell
Ngonja hizi nizielezee kwa ufupi tu ili nisije nikakuchanganyia madude mengi ukashindwa kuelewa
Kwaiyo unaona hii milango yote ya fahamu (sense) zote zinapeleka tarifa (electrical signal) kwenye ubongo alafu ubongo ndiyo unafanya utambuzi (processing)
8. Human is way of processing information
Kwaiyo utaanza kuuona kumbe binadamu ni kompyuta uliyoivaa kwa ajili ya kukuwezesha kuishi kwenye hii dunia ambayo ni holographic simulation
(human is the way of processing information from virtual reality universe)
Kwaiyo nadhani umesha anza kuelewa kumbe mmi nimevaa ubongo
Yaani kama ambavyo una vaa virtual reality box ili uchenze virtual reality game
Na kama ambavyo unavaa virtual reality suit
ili uweze kucheza virtual reality game
Kwaiyo kwa mifano hiyo utaweza kugundua kuwa kumbe sisi tumevaa huu mwili na huu ubongo
Kwa ajili ya kuishi na kufurahia utukufu wa mungu kwenye dunia ambayo ni holographic simulation
9. Virtual reality Universe
Kwaiyo nadhani mpaka kufikia hapa Tupo pamoja kama kuna mtu nimemwacha
Au nimechanganya sehemu uliza swali lako
Kwaiyo umeanza kuelewa kuwa tunaishi kwenye virtual reality universe
Na hii dunia yetu ni holographic ni illusion of light and energetic information
Na sisi sio ubongo na wala sio mwili
Ila tumevaa hivi kwa ajili ya kuishi kwenye hii illusion of reality
Kwaiyo ukianza kufikiria hivyo utaanza kuuona kumbe hii dunia good simulation
Kwa ajili ya sisi kuishi kwa furaha na upendo na wala hakuna kitu kigumu
Ugumu unakuja pale unapofikiria kuwa wewe ni wa kwenye hii dunia
Kwaiyo unaona kuna watu wachache ambayo wanajua siri hii ya dunia
Na wanaitumia vibaya kuwa nyanyasa
Watu wengine
10.Were not human
Human is just experience we have in this holographic universe
Human is way of processing information
We are consciousness
Hitimisho
Nadhani leo utakuwa umepata kitu cha kujifunza
Chakukukumbuka sana sana wazungu wanasema key point
Asanteni sana wana jukwaa
###REMEMBER WHO YOU ARE###
mimi naitwa Dgombusi
Leo ntaenda kuzungumzia siri moja kubwa ambayo asilimia 1 au 2 ya watu wanifahamu vizuri kuhusu dunia yetu
Aslimia 99 yatu wengi hawa ifahamu siri hii kubwa kuhusu Dunia yetu hii
Nitaanza kwa kutoa mifano ya baadhi ya watu walio kuwepo wanafahamu vizuri Kuhusu ulimwengu wetu huu
NIKOLA TESLA
ALBERT EINSTEIN
HENRY FORD
THOMAS A. EDISON
LEONARDO DA VINCI
Nawengine ambao sijawa orodhesha hapa ila najua unawajua
Nitaenda kuzungumza vitu kwa mafungu 10 ili uweze kuelewa vizuri
- The secret nature of reality
- Dunia hii ni holographic simulation
- What is Reality
- Energy frequency and vibration
- Matter is energy
- How our brain decoding reality
- The Body
- Human is way of processing information
- Virtual reality Universe
- Were not human
1.The secret nature of the reality
Kuna sili moja kubwa ambayo secret society wanaifahamu kuhusu ulimwengu wetu huu
Na wanafanya agenda ya ku program mind na perception za watu kuhusu ukweli wa sisi ni wakinani na kwanini tupo hapa
Wanafanya kila kitu ili wewe toka unakua mpaka saivi usahau kuwa wewe ni nani na kwanini uko hapa
2.Dunia hii ni holographic simulation
Sasa twende taratibu taratibu tuta elewana mwishoni
Kila kitu unachokiona na kukigusa yaani kinashikika
Ni illusion of light and energetic information ambacho kina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
3. What is Reality
Kama unaikumbuka kuna movie moja inaitwa The matrix ya 1999
hiyo movie ni zaidi ya movie ni documentary
Kuna scene moja neo anamuuliza morpheus This is not real
Morpheus akamjibu
Kwaiyo kumbe kitu halisi ni taarifa zinzopelekwa kwenye ubongo wako na kufanyiwa utambuzi (electrical information interpreted in you brain)
kwenye Electromagnetic spectrum
Ni 0.005% ndogo sana ya realty tunayo iona na ubongo wetu kufanya utambuzi
Kwaiyo kuna asilimia kubwa ya reality ambayo huioni kwa macho (unseen reality) ndiyo ambayo ni projection ya hii holographic word
Kwaiyo kila kitu unachokiona kina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Lakin mtetemo wake unakuwa ni mdogo sana ndio maana unakiona kiko kigumu na ukikishika hata mtetemo wake huwezi kugundua
4. Energy frequency and vibration
Kila kitu unachokiona ni energetic information ambayo ina vibrate katika frequency fulani
Kwaiiyo unaweza kuona kumbe ndio maana nikola tesla alituambia
Ukitaka kuelewa dunia hii fikiria kwa kuangalia frequency energetic and vibration
Sababu ndio asili ya kila kitu unachokiona
Kwaiyo ninachotaka kukuambia ni kuwa kila kitu ni energetic information field iwe ni
(meza. Gari. Nyumba. Milima. Maji nk…..)
Nakina mtetemo (vibrate) katika frequency yake
5. Matter is energy
Ngonja nianze na nukuu moja ya einstein kuhusu matter
Sasa hapa Twende Taratibu tutaelewana tu kama una swali usisite kuniuliza
matter ni energy ambayo ina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Na kila kitu tuchakiona na kukishika ni illusion of light na Energy vibration
Kwaiyo kila kitu ni energy
6.How our brain decoding reality
Kwanzaa naomba nikumbushe kuwa wewe sio ubongo (brain)
Na wala wewe sio mwili (body)
Yani wewe uko nyuma ya vitu vyote hivyo viwili
Kwaiyo umeanza kukumbuka kuwa kumbe mimi siyo ubongo (brain) na siyo mwili (body)
Lakini nimevaa hivi vitu viwili kwa anjiri ya kuishi kwenye hii virtual reality word (Holographic)
Kwaiyo tumenza kuelewana kuwa kumbe ubongo (brain) ni kwa ajili ya kufanya utambuzi wa energetic information ambayo ndiyo tunaviita matter (physical thing)
Ngonja niende kwa mifano mpaka tuta elewana tu
Mfano Kutoka kwenye matrix movie
Picha hii ni Kabla ubongo wako ujafanya utambuzi wa data ambayo ni energetic information field
Baada ya ubongo wako kufanya utambuzi wa data hiyo ambayo ni energetic information field ndiyo hunaona rangi yaani unaona vizuri
Kwaiyo kila kitu unachokiona ni energetic information
Iwe ni mti meza nyumba gari nk
Sasa una anzakuona kumbe ubongo na mwili ni vitu viwili ambavyo ni mevivaa kwa ajili ya kuishi kwenye hii holographic universe ambayo kila kitu kimetengenezwa kwa energy na tena kina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Kwaiyo ninachotaka kukuambia ni kwamba hakuna kitu ambacho kina rangi
Ila rangi inatokana baada ya ubongo wako kufanya utambuzi wa energetic information
ubongo
Unafanya utambuzi wa illusion of light and energetic information field
Kwaiyo energetic information ndiyo hizo tunazo ziita matter mwanzoni tulikuwa tunazani ni vitu halisi ambavyo vinashikika na vina rangi
kumbe ni energetic information na tena zina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Visible light in electromagnetic spectrum
Sasa ngonja niongelee visible light in electromagnetic spectrum
ambayo ubongo wetu hufanya utambuzi (deconding)
Rangi unazo ziona zina mtetemo (vibrate) katika frequency fulani
Rangi nyekundu huwa unawahii kuiona kwa sababu ina mtetemo(vibrate) katika frequency ya juu kuliko nyingine
7. The Body
Kwaiyo unaweza ukaanza kuona tumeshaongelea kuhusu ubongo na tuka sema ni kompyuta uliyo nayo kwa ajili ya kuchakata na kufanya utambuzi wa energetic information field kwenye hii Holographic universe
Sasa ngonja nizungumzie kuhusu mwili wako na milango 5 ya fahamu
Mwili wako ni kama motherboard inayopeleka taarifa kwenye cpu (central processing unit) ambayo ndiyo ubongo wako alafu ubongo unachakata hiyo input ndiyo unapata matokeo ya hiyo input
Eye
Kwaiyo ni hivi jicho lako huwa linapokea mawimbi ya mwanga (light huwa ina mawimbi yanaitwa photon)
Hayo ndiyo yanapeleka information kwenye ubongo wango
(hapa ngonja nitumie picha 2 ili uwezee kuelewa
Ya kwanza inayonekana vizuri na picha ya pili ni energetic information )
Ubongo wako unafanya utambuzi wa hayo mawimbi ya Energetic information field ndiyo unaona picha
Hearing
Na Kwenye kusikia ni hivyo ivyo unasikia ni mawimbi ya sauti ndiyo ubongo wako unafanya utambuzi wa hayo mawimbi ndiyo
unasikia maneno
Taste Touch Smell
Ngonja hizi nizielezee kwa ufupi tu ili nisije nikakuchanganyia madude mengi ukashindwa kuelewa
Kwaiyo unaona hii milango yote ya fahamu (sense) zote zinapeleka tarifa (electrical signal) kwenye ubongo alafu ubongo ndiyo unafanya utambuzi (processing)
8. Human is way of processing information
Kwaiyo utaanza kuuona kumbe binadamu ni kompyuta uliyoivaa kwa ajili ya kukuwezesha kuishi kwenye hii dunia ambayo ni holographic simulation
(human is the way of processing information from virtual reality universe)
Kwaiyo nadhani umesha anza kuelewa kumbe mmi nimevaa ubongo
Yaani kama ambavyo una vaa virtual reality box ili uchenze virtual reality game
Na kama ambavyo unavaa virtual reality suit
ili uweze kucheza virtual reality game
Kwaiyo kwa mifano hiyo utaweza kugundua kuwa kumbe sisi tumevaa huu mwili na huu ubongo
Kwa ajili ya kuishi na kufurahia utukufu wa mungu kwenye dunia ambayo ni holographic simulation
9. Virtual reality Universe
Kwaiyo nadhani mpaka kufikia hapa Tupo pamoja kama kuna mtu nimemwacha
Au nimechanganya sehemu uliza swali lako
Kwaiyo umeanza kuelewa kuwa tunaishi kwenye virtual reality universe
Na hii dunia yetu ni holographic ni illusion of light and energetic information
Na sisi sio ubongo na wala sio mwili
Ila tumevaa hivi kwa ajili ya kuishi kwenye hii illusion of reality
Kwaiyo ukianza kufikiria hivyo utaanza kuuona kumbe hii dunia good simulation
Kwa ajili ya sisi kuishi kwa furaha na upendo na wala hakuna kitu kigumu
Ugumu unakuja pale unapofikiria kuwa wewe ni wa kwenye hii dunia
Kwaiyo unaona kuna watu wachache ambayo wanajua siri hii ya dunia
Na wanaitumia vibaya kuwa nyanyasa
Watu wengine
10.Were not human
Human is just experience we have in this holographic universe
Human is way of processing information
We are consciousness
Hitimisho
Nadhani leo utakuwa umepata kitu cha kujifunza
Chakukukumbuka sana sana wazungu wanasema key point
- Ubongo wako ni kwa ajili ya kuchakata na kufanya utambuzi wa energetic information
- mwili wako ni kwa ajili ya kuishi kwenye hii virtual reality word
- Kila kitu unachokiona ni energetic information field na kina vibrate katika frequency fulani
Asanteni sana wana jukwaa
###REMEMBER WHO YOU ARE###